Usikariri maswala ya uongozi katibu mkuu ndio mtu anaesimamia maswala ya uendeshwaji wa wizara kila siku obvious moja ya majukumu yake ni kuchukua hatua so is the hospital manager at execution level (depending on decentralised decisions).
Hayo ni matokeo ya ku speed up maamuzi ya kazi sio kila kitu mpaka ajuzwe waziri (ndio maana kuna decentralised decision making all the way mpaka kwa wakurugenzi na katika taasisi za serikali) lakini waziri ndio mwenye mamlaka ya mwisho kwenye wizara. Ata execution strategy inayoandaliwa na wataalamu anaweza ikataa akaamuru wabadili mbinu (ni vitu vya kawaida kwenye nchi za siasa za ushindani ambapo support inatokana na ideology) mtu pekee anaeweza muamuru waziri ni raisi.
In otherwords waziri ni General Manager kwenye wizara, whereas Permanent Secretary or chief strategist (acts as the operation manager). Walau kulingana na everyday duties.
Given their powers waziri has powers to intervene at any level anaweza ata mrudisha kazini mtu aliesimamishwa na katibu mkuu, wakati katibu mkuu awezi mrudisha kazini mtu aliesimamishwa na waziri (provided those decision don’t clash with the employment rights of the individual by law).
Hapana asee huyu mama yupo vizuri sana. Tuendelee kumpa muda haya mambo ya kuteuliwa na kutengeliwa bin vuu yanahitaji akili nyingi sana kujua boss wako anatakaje.Huyu Gwajima waziri hana tofauti na Gwajima mchungaji
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ameagiza Daktari aliyejimilikisha hospitali ya Amana kwa lengo la kujitajirisha achukuliwe hatua kali
Daktari huyo mwenye jina kapuni amebainika kutumia Vifaa vya Hospitali hiyo ambavyo vinamilikiwa na Serikali ili kuwatibu Wagonjwa lakini malipo yote alikuwa akiyapokea binafsi
Tuhuma dhidi yake zimetolewa na Mgonjwa kwa Wizara hiyo ambaye alilipishwa laki 7 na kuhudumiwa na Nesi huku akiwa amelazwa Gesti badala ya kulazwa kwenye Wodi za Wagonjwa na wala hakuambiwa anaumwa nini
Waziri wa Afya ameagiza hatua zote za kinidhamu zifuatwe katika kumshughulikia Daktari huyo. Ametoa agizo hilo akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Dar es Salaam alipotembelea Hospitali ya Amana kujionea utendaji kazi.
Ndugu mtu anaeidhinisha ajira za serikali ni waziri na mtu mwenye kuamua kupunguza ajira serikalini ni waziri kama hujui.Acha porojo nyingi waziri hana mamlaka ya kuajiri au kufukuza watumishi wa umma.Ni kwamba utakuwa hujui mfumo wa utumishi wa umma unavyofanya kazi Tanzania au ni mpiga zumari tu.
Wizara ya afya kwa mara ya kwanza haina waziri bali inamcheza cinema tu.
Yes, you are right
Wizara ya afya aindeshwi kwa utashi wa mtu, asilimia kubwa ya guidelines zinatolewa na WHO watu wote duniani wana implement kwa mtindo wao.
Sisi tatizo letu tukisha copy practice regulations azifuatwi, na hakuna watchdog to reinforce adherence. Soma hizo safe practice guidelines za wizara ya afya uone ni makosa mangapi wamefanya.
Tumezoea kuona watu wasiokuwa na skills wakisimamia hiyo wizara, anapoingia technocrat tunaona anakurupuka kumbe anafanya kazi yake ya kuendesha wizara kwa ustadi wa hali ya juu.
Mzee hueleweki mara useme mzima mara mgonjwaHii habari ya "jina kapuni" chanzo chake ni wapi?
Mtu mzima na akili timamu unakubali kulazwa guest ukiwa mgonjwa?!
Give me a break.
...Hakika Maswali Muhimu Mengi Yanayokosa Majibu! Miaka Mitano MingineHii ni habari ya propaganda.
Imeandaliwa ili kuwahadaa wananchi waendelee kuwa mazuzu.
Hivi alilazwaje guest na kisha kulipishwa laki 7?
Alishikiwa bunduki ili alipishwe hiyo fedha?
Kama yalikuwa makubaliano yao ilikuwaje atoe malalamiko kwa wizara/Waziri?.
Mtuhumiwa jina kapuni.
Kwahiyo wakitaja jina wanaona watafuta ushahidi au watamdhalilisha?.
Kama fedha cash laki 7 alikuwa nazo alikubali vipi kulazwa guest house?
Je, mgonjwa wa kulazwa hospitali alijipeleka yeye mwenyewe?
Hapakuwa na ndugu waliokuwa wakija kumjulia hali?
Nimekuwa nikijiuliza muda mrefu, umenisaidia, kwa nia njema tu: hivi hawa watu ni ndugu?Huyu Gwajima waziri hana tofauti na Gwajima mchungaji
I don't know about her qualifications, but from the wide view of my experience, she is not talented to be a leader.She has already failed, trust me..
Cinema zimeanza mkuu, wakiona hakuna kinachotrend wanabuni kitu😂😂Hii ni habari ya propaganda.
Imeandaliwa ili kuwahadaa wananchi waendelee kuwa mazuzu.
Hivi alilazwaje guest na kisha kulipishwa laki 7?
Alishikiwa bunduki ili alipishwe hiyo fedha?
Kama yalikuwa makubaliano yao ilikuwaje atoe malalamiko kwa wizara/Waziri?.
Mtuhumiwa jina kapuni😁😁😁😁😁.
Kwahiyo wakitaja jina wanaona watafuta ushahidi au watamdhalilisha?.
Kama fedha cash laki 7 alikuwa nazo alikubali vipi kulazwa guest house?
Je, mgonjwa wa kulazwa hospitali alijipeleka yeye mwenyewe?
Hapakuwa na ndugu waliokuwa wakija kumjulia hali?
Hivi kweli kuna really qualified doctors wako mtaani? Hii si kweli. Labda vyuo private. Maana ile ripoti ya TAKUKURU ilizua maswali mengi sana.
Kumchukulia hatua tu huyo daktari sio suluhisho la kudumu. Inabidi uchunguzi zaidi how was that possible inawezekana hiyo sio isolated case ni culture yao hapo Amana.
Weka tangazo kama kuna watu wengine washafanyiwa utaratibu huo wajitokeze, kuna vijana wengi wamehitimu mpaka leo awajapangiwa kazi useless Dr wafukuzwe tu.
Huyu mama ata sort hii wizara kuna tatizo kubwa sana supervision and control measures za HR, nurse anatokaje bila ya senior kwenye ward kujua one of the staff is missing kama sio muda wa break. Lazima ni culture ya wengi hapo Amana aliekamatwa ni mmoja tu.
Sisi watanzania tuna utamaduni mmoja wa kishamba sana kila sehemu tukifika tunachofikiria ni kupiga deals tu.
Daa!! Kumbe tupo wengi hatumjui!!Technocrat ni mtu wa aina gani?
You seem to be a very good crammer!The mere fact waziri anaitwa overseer unatakiwa uelewa that is a synonym for manager.
Nani ni nani hapo wizarani ni jukumu lako kujua roles za senior managers, middle managers and lower managers in line with government administration roles.
Mfano katibu mkuu ni chief operation manager and what senior manager do you think a minister is?
Vinginevyo tunataka kupeana kazi ya kutoa somo la management and honestly I don’t believe it’s my duty.
Mwacheni Dr awanyoshee system za afya ambazo zilikuwa tia maji tia maji for a long time, walau kaingia mtu mwenye matching skills za kuisimamia hiyo wizara.You seem to be a very good crammer!