Emmathias
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 678
- 947
Kwaiyo hakuna aja ya kunawa!!!.?Wakati mimi naenda kunawa nikifungua ile koki ya maji kama nina corona si nawaacha hapo kwenye koki ?
Na nikifunga koki baada ya kunawa nawachukua tena corona wangu na wengine nawaacha ?
Anaekuja kunawa atasalimika vipi ?
Sent using Jamii Forums mobile app