Destruction
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 284
- 508
Nimekuelewa kakaMagufuli atashinda kwa asilimia kuanzia 83, kwa ufupi uchaguzi huu umekuwa mwepesi kwa CCM kuliko chaguzi zote. Nashangaa nguvu nyingi wanazotumia CCM uchaguzi huu wakati ushindi kwao ni wazi (ukitoa Zanzibar).
Nasikitika tu kwa uelekeo wa wabunge wengi wa upinzani kutorudi bungeni. Tunaenda kuwa na bunge litalotawaliwa na CCM kama miaka kabla ya 2010.
Yani hawachomoki Huku Mainland,
CCM ushindi mapema Sanaaa