Uchaguzi 2020 Hoja binafsi: Dkt. Magufuli anastahili kupewa miaka mingine 5

Magufuli atashinda kwa asilimia kuanzia 83, kwa ufupi uchaguzi huu umekuwa mwepesi kwa CCM kuliko chaguzi zote. Nashangaa nguvu nyingi wanazotumia CCM uchaguzi huu wakati ushindi kwao ni wazi (ukitoa Zanzibar).

Nasikitika tu kwa uelekeo wa wabunge wengi wa upinzani kutorudi bungeni. Tunaenda kuwa na bunge litalotawaliwa na CCM kama miaka kabla ya 2010.
Nimekuelewa kaka
Yani hawachomoki Huku Mainland,
CCM ushindi mapema Sanaaa
 
Kwa kipi alichokifanya kinachompa sababu ya kustahili kupewa miaka 5 mingine?

Mataga mtakuja kutaja madaraja, sijui ndege, sijui bwawa la maji, miaka 60 ya uhuru bado tunampongeza kiongozi kwa kujenga madaraja?
 
Magufuli atashinda kwa asilimia kuanzia 83, kwa ufupi uchaguzi huu umekuwa mwepesi kwa CCM kuliko chaguzi zote. Nashangaa nguvu nyingi wanazotumia CCM uchaguzi huu wakati ushindi kwao ni wazi (ukitoa Zanzibar).

Nasikitika tu kwa uelekeo wa wabunge wengi wa upinzani kutorudi bungeni. Tunaenda kuwa na bunge litalotawaliwa na CCM kama miaka kabla ya 2010.
Kichaa mmoja alisikika akisema "Nikijitekenya hivi naona raaaaha!"
 
Magufuli atashinda kwa asilimia kuanzia 83, kwa ufupi uchaguzi huu umekuwa mwepesi kwa CCM kuliko chaguzi zote. Nashangaa nguvu nyingi wanazotumia CCM uchaguzi huu wakati ushindi kwao ni wazi (ukitoa Zanzibar).

Nasikitika tu kwa uelekeo wa wabunge wengi wa upinzani kutorudi bungeni. Tunaenda kuwa na bunge litalotawaliwa na CCM kama miaka kabla ya 2010.
UNAFIKI.
 
leo nimeamini kweli dini ina nguvu sana kwenye maamuzi ya binadam, sikuwahi kujua mtu unaweza kuwa mnafiki kiasi hiki. Yani kama Magufuli anastahili mitano tena basi Kikwete alikuwa anastahili 20 ila ulimtukana kwa kila tusi, kila sifa mbaya ulimpa yeye kumbe kisa ilikuwa dini yake na wala si utendaji wake maana kwa mwenye common sense tu anajua Kikwete was better than the incumbent. Anyway wachatuendelee kuwa maskini, washa tuendelee kuwa na haki kwa wachache kwasababu watu mnaoweza kuchambua mnalalia dini zenu na watu wenu kuliko uhalisia wa taifa na watu wake.
 
Uzuri ni kwamba hata wewe internet ikizimwa hautakuwa na uwezo wa kutuandikia huu ushenzi.

Unampigia kampeni ibilisi??
 
Acha nikwambie, Magufuli wako hashindi uchaguzi wa mwaka huu, na aliyoyafanya kupitia vikosi vyake huko Zanzibar usiku wa kuamkia leo mwambie ajiandae kwenda ICC.

Nakuhakikishia muda si mrefu ICC wanatoa hati za kukamatwa kwa Magufuli, Mabeyo, Diwani na Sirro. Mark my words.

Haya ni pembeni na vikwazo vinavyoenda kutolewa na USA na EU.

Si mnadhani udhalimu unalipa eeh??? Sasa jiandaeni kujua kuwa hamjui
 
Asante sana Mzee Mwenzangu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, umeusema ukweli fulani mkubwa sana kumhusu Lissu, na kwa ruhusa yako, naomba kukata vipande vidogo vidogo vya hoja zako, nivitumie kama darasa, kuwaelimisha vijana humu jf.
Kwa kuanzia naanzia na ukweli huu kumhusu Tundu Lissu

P

Njaa ni mbaya sana, huyu mtu akipewa kinyesi atakula
 



Naamini kuwa Rais Magufuli anastahili kupewa nafasi nyingine ya kuliongoza Taifa letu kwa miaka mingine mitano. Hoja zinazotolewa bado hazijatosha kuwafanya Watanzania wengi kutokumuunga mkono. Ushindi wake utakaribia asilimia 80...

Lissu atapigiwa kura na watu wengi vilevile lakini ana kazi kubwa zaidi ya kuuelekeza upinzani kuelekea 2025. Hadi hivi sasa hajajaribiwa kama kiongozi mkuu wa upinzani, anaenda kujaribiwa sasa

Rais mbaguzi, anayeonesha chuki za wazi kwa baadhi ya raia anastahili vipi kuendelea kuongoza? Rais anayetamka maneno ya kibaguzi hadharani hafai kuwa kiongozi.
 
leo nimeamini kweli dini ina nguvu sana kwenye maamuzi ya binadam, sikuwahi kujua mtu unaweza kuwa mnafiki kiasi hiki. Yani kama Magufuli anastahili mitano tena basi Kikwete alikuwa anastahili 20 ila ulimtukana kwa kila tusi, kila sifa mbaya ulimpa yeye kumbe kisa ilikuwa dini yake na wala si utendaji wake maana kwa mwenye common sense tu anajua Kikwete was better than the incumbent. Anyway wachatuendelee kuwa maskini, washa tuendelee kuwa na haki kwa wachache kwasababu watu mnaoweza kuchambua mnalalia dini zenu na watu wenu kuliko uhalisia wa taifa na watu wake.
Nchi ina wanafiki wengi sana ndio maana haitakaa iondokane na umaskini.
Mijitu mingi inajifanya hamnazo tu ili lipate uteuzi lipate kujaza tumbo
 
..haya maccm yanatabiri ushindi wa 80% maana ndivyo wamepanga kuiba na kujitangazia....wamesahau hata kule belarussia lukashenko alijitangazia ushindi huo huo wa 80% baada ya kuiba kura....lakini hadi leo wananchi wake wamemkataa na wanashinda barabarani hadi aondoke...naona hii ya kuiba kura na kujitangazia ushindi mkubwa ndio fashion mpya ya midikteta kukatalia madarakani..wanafikiri watu watahadaika kwa gap hiyo kubwa ya wizi wa kura....
 
Back
Top Bottom