Hofu: Nimekuwa mtu mwenye hofu sana kuanzisha mahusiano ya mapenzi mapya kwa kipindi kirefu sasa!

AlmightyGod

Member
May 21, 2023
94
347
Habari wanajamii,

Hili suala sasa limekuwa likinitatiza sana na kunipa hofu sana kwa kipindi kirefu mno sana.

Hapo awali nilikua na mahusiano na binti flani hivi na tulipendana sana katika mahusiano yetu, Kila mmoja alimweshimu na kujali hisia za mwenzake hata ilifikia kuamua kuishi pamoja kwa kipindi cha miaka mitano(5) na kila mmoja wetu alifahamika kwenye familia za wazazi wa pande zote mbili(2) mapenzi yalikua yameshamiri sana upendo wa kweli ulionekana baina yetu.

Tulijiwekea mipango mingi sana hapo mbeleni na baadhi tulishaanza kuifanyia kazi na ilifanikiwa kwa asilimia kadhaa hivi hadi pale ilipotokea upande wangu kusimamishwa kazi ndipo mipango michache haikuweza kusonga kutokana na upungufu wa kipato, Lkn mwanaume sikusita kupambana zaidi ili nimtimizie mwenza wangu mahitaji yake na siku ziweze kuendelea kwani nilitambua kutokua na ajira sio mwisho wa maisha wala mahusiano yangu kwa ujumla.

Pamoja na jitihada zangu zote zile sikua nafahamu nini kinachofuata mbele yangu, Ilikua bahati sana kufikia mwaka wa tano(5) kwenye mahusiano yetu binti alishika ujauzito na aliniambia hili mapema na mimi nikalipokea kwa furaha sana hata kuongeza juhudi za upambanaji sana mwenza wangu asijekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi kulingana na hali aliyokuwa nayo kipindi hicho.

Ila kitu ambacho kilijitokeza na kufanya moyo wangu upasuke na kuogopa kuingia kwenye mahusiano tena ni yule binti alinisaliti na kukimbia na ujauzito wangu na kutokomea nchini Finland na mtasha mmoja hivi pasipo taarifa kwangu wala kwa wazazi wake, kwasababu jambo la kwanza nililofanya baada ya kukimbia na huyo binti niliwasiliana na familia yake(wazazi) ila majibu walionipa ni kuwa hawafahamu lolote lile juu ya hili, Kwakweli niliumia sana.

Zikapita siku, miezi na miaka miwili mbele nikapokea simu siku moja(1) Jumapili majira ya saa nne(4) asubuhi na namba ngeni kupitia WhatsApp video call na mimi sikusita kuipokea ila nilishangazwa kuona ninae zungumza naye alikua ni yule mpenzi wangu alienikimbia pasipo taarifa. Basi mwanaume nikakaza nafsi na kuzungumza naye kwa utulivu kabisa ndipo aliponiambia alijifungua salama na alipata mapacha wakiume na wakike ambao amewapa majina Allan na Mishell hili likanipa furaha sana moyoni.

Maongezi yaliendelea nikimsihi arudi nyumbani lakini sikuweza kumshawishi kamwe, kwani alisema tayari anauraia pacha na watoto sii watanzania na hataweza kurudi huku kwa sababu hiyo, Dah! Niliumia sana moyoni na ukazidi kuvunjika sana.

Hii ndio sababu iliyonifanya kubaki kuwa bachelorhood brother mwenye upweke moyoni hadi hivi leo na sifikirii kuingia penzini ilihali maisha yamenyooka sasa lkn hofu yangu ni kutendwa na binti mwingine kwa mara ya pili.

NAOMBENI USHAURI NINI NIFANYE JUU YA HILI; JE NIUFUNGUE MOYO WANGU TENA?
 
Habari wanajamii,

Hili suala sasa limekuwa likinitatiza sana na kunipa hofu sana kwa kipindi kirefu mno sana.

Hapo awali nilikua na mahusiano na binti flani hivi na tulipendana sana katika mahusiano yetu, Kila mmoja alimweshimu na kujali hisia za mwenzake hata ilifikia kuamua kuishi pamoja kwa kipindi cha miaka mitano(5) na kila mmoja wetu alifahamika kwenye familia za wazazi wa pande zote mbili(2) mapenzi yalikua yameshamiri sana upendo wa kweli ulionekana baina yetu.

Tulijiwekea mipango mingi sana hapo mbeleni na baadhi tulishaanza kuifanyia kazi na ilifanikiwa kwa asilimia kadhaa hivi hadi pale ilipotokea upande wangu kusimamishwa kazi ndipo mipango michache haikuweza kusonga kutokana na upungufu wa kipato, Lkn mwanaume sikusita kupambana zaidi ili nimtimizie mwenza wangu mahitaji yake na siku ziweze kuendelea kwani nilitambua kutokua na ajira sio mwisho wa maisha wala mahusiano yangu kwa ujumla.

Pamoja na jitihada zangu zote zile sikua nafahamu nini kinachofuata mbele yangu, Ilikua bahati sana kufikia mwaka wa tano(5) kwenye mahusiano yetu binti alishika ujauzito na aliniambia hili mapema na mimi nikalipokea kwa furaha sana hata kuongeza juhudi za upambanaji sana mwenza wangu asijekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi kulingana na hali aliyokuwa nayo kipindi hicho.

Ila kitu ambacho kilijitokeza na kufanya moyo wangu upasuke na kuogopa kuingia kwenye mahusiano tena ni yule binti alinisaliti na kukimbia na ujauzito wangu na kutokomea nchini Finland na mtasha mmoja hivi pasipo taarifa kwangu wala kwa wazazi wake, kwasababu jambo la kwanza nililofanya baada ya kukimbia na huyo binti niliwasiliana na familia yake(wazazi) ila majibu walionipa ni kuwa hawafahamu lolote lile juu ya hili, Kwakweli niliumia sana.

Zikapita siku, miezi na miaka miwili mbele nikapokea simu siku moja(1) Jumapili majira ya saa nne(4) asubuhi na namba ngeni kupitia WhatsApp video call na mimi sikusita kuipokea ila nilishangazwa kuona ninae zungumza naye alikua ni yule mpenzi wangu alienikimbia pasipo taarifa. Basi mwanaume nikakaza nafsi na kuzungumza naye kwa utulivu kabisa ndipo aliponiambia alijifungua salama na alipata mapacha wakiume na wakike ambao amewapa majina Allan na Mishell hili likanipa furaha sana moyoni.

Maongezi yaliendelea nikimsihi arudi nyumbani lakini sikuweza kumshawishi kamwe, kwani alisema tayari anauraia pacha na watoto sii watanzania na hataweza kurudi huku kwa sababu hiyo, Dah! Niliumia sana moyoni na ukazidi kuvunjika sana.

Hii ndio sababu iliyonifanya kubaki kuwa bachelorhood brother mwenye upweke moyoni hadi hivi leo na sifikirii kuingia penzini ilihali maisha yamenyooka sasa lkn hofu yangu ni kutendwa na binti mwingine kwa mara ya pili.

NAOMBENI USHAURI NINI NIFANYE JUU YA HILI; JE NIUFUNGUE MOYO WANGU TENA?
Mke wako anafanya je mpago wa paperwork kutafuta visa tickets kuenda nje bila wewe kupata fununu yoyote hata kushutuka, utakua na matatizo katika mapezi wanawake sio wazuri katika kutunza siri kama hiyo wa mchakato mrefu Finland sio Kenya au Rwanda kwamba unaamuka asubuhi na kuondoka, tena huenda hawana ubalozi hapa Dar nadhani mpaka mtu afuate Kenya, kama sio chai, jiangalie kwanza kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya.
 
Mzee Mzee punguza nyeto mzee,na uache kusingiziwa utatendwa,ofukozi utatendwa,so is every body.Imagine ex wako anakamuliwa na mtasha mida hii nataipu hapa,maana kwao sahizi nahisi ni usiku,ila wewe unapiga nyeto thats not fair.Ingia mtaani tafuta nyapu chakata,ila uwe na Hela.
 
Mke wako anafanya je mpago wa paperwork kutafuta visa tickets kuenda nje bila wewe kupata fununu yoyote hata kushutuka, utakua na matatizo katika mapezi wanawake sio wazuri katika kutunza siri kama hiyo wa mchakato mrefu Finland sio Kenya au Rwanda kwamba unaamuka asubuhi na kuondoka, tena huenda hawana ubalozi hapa Dar nadhani mpaka mtu afuate Kenya, kama sio chai, jiangalie kwanza kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya.
Alinieleza mipango yote ilivyofanyika baada ya kunipigia simu! Na issue ilisukwa na huyo mtasha na alimbambikia mimba...ili iwe rahisi kwake kueleweka...Pili alimdanganya yeye ni yatima na maisha ni magumu sana kwake...tatu alikua anafanya kazi hotelini upande wa sells, passport alikuanayo kitambo sana, Katika kuendelea kumdadisi alinitumia picha na video za wanangu hapo ndio nilichoka yani wakike ni mimi mtupu na jembe langu mama ake kabisa...
 
pole sana ndo maisha hayo, you just move on maisha ndo hayahaya
Nimejaribu kuanza na mahusiano mengine lkn moyo unasita sana, hivyo nimekuwa mtumwa wa mapenzi kwa mdaa sasa pale napo hitaji huduma nitanunua ila siwezi kuwa na wakudumu nae tena💔🥀💔
 
Mzee Mzee punguza nyeto mzee,na uache kusingiziwa utatendwa,ofukozi utatendwa,so is every body.Imagine ex wako anakamuliwa na mtasha mida hii nataipu hapa,maana kwao sahizi nahisi ni usiku,ila wewe unapiga nyeto thats not fair.Ingia mtaani tafuta nyapu chakata,ila uwe na Hela.
Sipigi master baba! Huwa na nunua lkn ni pisi za maofisini tena wakali balaa na wanajielewa sana...kuna mmoja ndio namtumia hadi ameamua kunipa jina mume wake, Kwani ninapohitaji atakuja mdaa wowote...
 
Habari wanajamii,

Hili suala sasa limekuwa likinitatiza sana na kunipa hofu sana kwa kipindi kirefu mno sana.

Hapo awali nilikua na mahusiano na binti flani hivi na tulipendana sana katika mahusiano yetu, Kila mmoja alimweshimu na kujali hisia za mwenzake hata ilifikia kuamua kuishi pamoja kwa kipindi cha miaka mitano(5) na kila mmoja wetu alifahamika kwenye familia za wazazi wa pande zote mbili(2) mapenzi yalikua yameshamiri sana upendo wa kweli ulionekana baina yetu.

Tulijiwekea mipango mingi sana hapo mbeleni na baadhi tulishaanza kuifanyia kazi na ilifanikiwa kwa asilimia kadhaa hivi hadi pale ilipotokea upande wangu kusimamishwa kazi ndipo mipango michache haikuweza kusonga kutokana na upungufu wa kipato, Lkn mwanaume sikusita kupambana zaidi ili nimtimizie mwenza wangu mahitaji yake na siku ziweze kuendelea kwani nilitambua kutokua na ajira sio mwisho wa maisha wala mahusiano yangu kwa ujumla.

Pamoja na jitihada zangu zote zile sikua nafahamu nini kinachofuata mbele yangu, Ilikua bahati sana kufikia mwaka wa tano(5) kwenye mahusiano yetu binti alishika ujauzito na aliniambia hili mapema na mimi nikalipokea kwa furaha sana hata kuongeza juhudi za upambanaji sana mwenza wangu asijekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi kulingana na hali aliyokuwa nayo kipindi hicho.

Ila kitu ambacho kilijitokeza na kufanya moyo wangu upasuke na kuogopa kuingia kwenye mahusiano tena ni yule binti alinisaliti na kukimbia na ujauzito wangu na kutokomea nchini Finland na mtasha mmoja hivi pasipo taarifa kwangu wala kwa wazazi wake, kwasababu jambo la kwanza nililofanya baada ya kukimbia na huyo binti niliwasiliana na familia yake(wazazi) ila majibu walionipa ni kuwa hawafahamu lolote lile juu ya hili, Kwakweli niliumia sana.

Zikapita siku, miezi na miaka miwili mbele nikapokea simu siku moja(1) Jumapili majira ya saa nne(4) asubuhi na namba ngeni kupitia WhatsApp video call na mimi sikusita kuipokea ila nilishangazwa kuona ninae zungumza naye alikua ni yule mpenzi wangu alienikimbia pasipo taarifa. Basi mwanaume nikakaza nafsi na kuzungumza naye kwa utulivu kabisa ndipo aliponiambia alijifungua salama na alipata mapacha wakiume na wakike ambao amewapa majina Allan na Mishell hili likanipa furaha sana moyoni.

Maongezi yaliendelea nikimsihi arudi nyumbani lakini sikuweza kumshawishi kamwe, kwani alisema tayari anauraia pacha na watoto sii watanzania na hataweza kurudi huku kwa sababu hiyo, Dah! Niliumia sana moyoni na ukazidi kuvunjika sana.

Hii ndio sababu iliyonifanya kubaki kuwa bachelorhood brother mwenye upweke moyoni hadi hivi leo na sifikirii kuingia penzini ilihali maisha yamenyooka sasa lkn hofu yangu ni kutendwa na binti mwingine kwa mara ya pili.

NAOMBENI USHAURI NINI NIFANYE JUU YA HILI; JE NIUFUNGUE MOYO WANGU TENA?
Pole mkuu. Ila kila siku huwa nasema, vijana na mabinti ambao hawakurukaruka wakati wanabalehe, aakijakupenda na kuachwa wanaweza hata kujiua. Sisi tulio ruka ruka na kina mwajuma ndara fupi, hili ni jbo dogo sana.

Watoto wapo hai fresh. Wakikutafuta sawa wasipo utafuta sawa. Songa mbele. Shida ya baadhi ya watu ni kuhisi jambo wanalopitia wao ni wa kwanza. Kila linalotokea kwako sio jipya, lilitokea linatokea na litatokea
 
Nimejaribu kuanza na mahusiano mengine lkn moyo unasita sana, hivyo nimekuwa mtumwa wa mapenzi kwa mdaa sasa pale napo hitaji huduma nitanunua ila siwezi kuwa na wakudumu nae tena💔🥀💔
inaonekana umeshakata tamaa tayari, lakini maisha hayapo hivyo fungua moyo watu wakupende muanze maisha mapya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom