Mahusiano yamekuwa ghali sana wazazi tunzeni mabinti zenu

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
1,945
5,849
Wana Jf. Nawasalim

Mambo yamebadilika mahusiano ni ghali mno , hasara kwa mwanaume na mwanaume ukiendekeza chini kibunda hutosave na wala hutopata kipande cha ardhi pakuzikiwa ukifa,

nashauri ile kanuni ya kunyakua binti aliye iva iva na kumuweka ndani alafu mzee anaenda kutoa taarifa kwa wazazi wa binti irudishwe kuokoa hiki kizazi kilicho athiriwa na mizinga ya hapa na pale kutoka kwa wanawake

Ndugu katika ujenzi wa Taifa, vijana tumekuwa tukipambana sana kujenga uchumi wa taifa kwa kulipa kodi na uchumi wetu binafsi pamoja na tuwapendao ila kwa upande mwingine tunazidiwa sana na siyo kawaida ni vile tuu hatusemi na sasa lazima tuweke wazi wajue kwanini hatutaki kuoa.

Ndugu zangu huwezi amini kabisa mahusiano ya siku hizi yamekuwa ghali sana kupita kiasi na mwanaume ukiendekeza chini utakufa hata kipande cha ardhi pakuzikiwa utakosa kabisa

Wazazi mmesahau majukumu yenu kwa watoto wenu wa kike (mabinti zenu) , unatongoza binti mnakaa kwenye mahusiano katika kuchunguzana unakuja kugundua mzazi hana lolote analo muhudumia binti yake zaidi ya malazi na chakula tuu na kama binti anasoma utakuta hela ya ada yenyewe na Uniform anatoa kwa mbinde sana.

Binti akisha vunja ungo anahitaji kupendeza , kusuka ,kuonekana ana meremeta na kunukia na wazazi wetu hata kuwafungia vihela kidogo hilo hakuna mpo mpo tuu kwa kweli mkisingizia ugumubwa maisha na utandawazi ndiyo unaoharibu vijana wa kiume na kike na kupelekea kuona ndoa ni mzigo.

HATIMAYE:

Mabinti wengi sasa wamehamishia mzigo huo wa malenzi kwa vijana wanaojitafuta kiuchumi na wenye nia nzuri ya kuwaoa kabisa hali inayoleta tishio na hujuma kuu ndani ya mahusiano na uchumi wa mwanaume

Unakuta binti unamtongoza vizuri tuu kwa nia ya kuja kumuoa, unamdate tuu kwa nia njema kabisa ila sasa ni vizinga ,njaa, nguo, mafuta, mara kusuka , mara taulo za kike, mara vinauli nauli na viakiba akiba vya hela vya kuzugia town binti anaomba hela MPAKA MWANAUME UNAOGOPA KURUDIA KUTONGOZA UNAKIMBIA TUU UKIWAONA NA KUJIFANYA HUNA HABARI NAO

Wanaume tunafika mahali tunakataa ndoa, hatutaki kutongoza tunafanya tuu timing ya kupata uroda kwa muda na tunapotea ni heka heka kweli kweli , wengine wanadiriki kujiunga CHAPUTA na kushtua Nyeto ili kubana kibunda kwa sababu wanawake wamekuwa ghali sana kweli kweli

Sii mishangazi, sii single mother, sii wake za watu na wala sii mabinti wote wamekuwa ghali kweli kila mtu akipata mwanaume wa kumtongoza ana muangushia zigo la matatizo lukuki mpaka tunasema hivi kwanini nime mtongoza, kabla ya hapo alikuwa anaishije huyu mwanamke.

Wazazi fanyeni majukumu yenu kwa mabinti zenu mtuepushie hili janga la kuombwa hela na kuliliwa shida mpaka akili inachangamka ,kumbwa ma mawazo mengi hadi nguvu za kiume tunaonekana hatuna kumbe tunazo za kutosha tuu , kwa kweli hali hii inapelekea ugumu sana kwenye swala la mapenzi,

Nawaambia wazazi sisi vijana wenu msipo fanya majukumu yenu kama wazazi kwa mabinti zenu hakika sisi hatutooa na waambieni tutazalisha mabinti zenu kwa kuwahonga elfu 3 (Tsh 3000) na chipsi mayai alafu tunawaachia hapo nyumbani muangaike nao.

Hakuna namna
 
Ndiyo maana mtu akiwa anakihudumia kibinti kama girlfriend wake halafu athibitishe kwamba anamsaliti kinachofuata ni kulipiza kisasi Kwa mauaji tu,akifikiria mkwanja wake alioupoteza pale,halafu wanakuja watu wa sociology wanasema vijana Wana tatizo la afya ya akili,ilihali hawajui Kwa nini mauaji ya wasichana yanashamiri.
 
Ndiyo maana mtu akiwa anakihudumia kibinti kama girlfriend wake halafu athibitishe kwamba anamsaliti kinachofuata ni kulipiza kisasi Kwa mauaji tu,akifikiria mkwanja wake alioupoteza pale,halafu wanakuja watu wa sociology wanasema vijana Wana tatizo la afya ya akili,ilihali hawajui Kwa nini mauaji ya wasichana yanashamiri.
Ndiyo uue? Si mshtaki arudishe.Acha Uchawi mkuu
 
Wana Jf. Nawasalim

Mambo yamebadilika mahusiano ni ghali mno , hasara kwa mwanaume na mwanaume ukiendekeza chini kibunda hutosave na wala hutopata kipande cha ardhi pakuzikiwa ukifa,

nashauri ile kanuni ya kunyakua binti aliye iva iva na kumuweka ndani alafu mzee anaenda kutoa taarifa kwa wazazi wa binti irudishwe kuokoa hiki kizazi kilicho athiriwa na mizinga ya hapa na pale kutoka kwa wanawake

Ndugu katika ujenzi wa Taifa, vijana tumekuwa tukipambana sana kujenga uchumi wa taifa kwa kulipa kodi na uchumi wetu binafsi pamoja na tuwapendao ila kwa upande mwingine tunazidiwa sana na siyo kawaida ni vile tuu hatusemi na sasa lazima tuweke wazi wajue kwanini hatutaki kuoa.

Ndugu zangu huwezi amini kabisa mahusiano ya siku hizi yamekuwa ghali sana kupita kiasi na mwanaume ukiendekeza chini utakufa hata kipande cha ardhi pakuzikiwa utakosa kabisa

Wazazi mmesahau majukumu yenu kwa watoto wenu wa kike (mabinti zenu) , unatongoza binti mnakaa kwenye mahusiano katika kuchunguzana unakuja kugundua mzazi hana lolote analo muhudumia binti yake zaidi ya malazi na chakula tuu na kama binti anasoma utakuta hela ya ada yenyewe na Uniform anatoa kwa mbinde sana.

Binti akisha vunja ungo anahitaji kupendeza , kusuka ,kuonekana ana meremeta na kunukia na wazazi wetu hata kuwafungia vihela kidogo hilo hakuna mpo mpo tuu kwa kweli mkisingizia ugumubwa maisha na utandawazi ndiyo unaoharibu vijana wa kiume na kike na kupelekea kuona ndoa ni mzigo.

HATIMAYE:

Mabinti wengi sasa wamehamishia mzigo huo wa malenzi kwa vijana wanaojitafuta kiuchumi na wenye nia nzuri ya kuwaoa kabisa hali inayoleta tishio na hujuma kuu ndani ya mahusiano na uchumi wa mwanaume

Unakuta binti unamtongoza vizuri tuu kwa nia ya kuja kumuoa, unamdate tuu kwa nia njema kabisa ila sasa ni vizinga ,njaa, nguo, mafuta, mara kusuka , mara taulo za kike, mara vinauli nauli na viakiba akiba vya hela vya kuzugia town binti anaomba hela MPAKA MWANAUME UNAOGOPA KURUDIA KUTONGOZA UNAKIMBIA TUU UKIWAONA NA KUJIFANYA HUNA HABARI NAO

Wanaume tunafika mahali tunakataa ndoa, hatutaki kutongoza tunafanya tuu timing ya kupata uroda kwa muda na tunapotea ni heka heka kweli kweli , wengine wanadiriki kujiunga CHAPUTA na kushtua Nyeto ili kubana kibunda kwa sababu wanawake wamekuwa ghali sana kweli kweli

Sii mishangazi, sii single mother, sii wake za watu na wala sii mabinti wote wamekuwa ghali kweli kila mtu akipata mwanaume wa kumtongoza ana muangushia zigo la matatizo lukuki mpaka tunasema hivi kwanini nime mtongoza, kabla ya hapo alikuwa anaishije huyu mwanamke.

Wazazi fanyeni majukumu yenu kwa mabinti zenu mtuepushie hili janga la kuombwa hela na kuliliwa shida mpaka akili inachangamka ,kumbwa ma mawazo mengi hadi nguvu za kiume tunaonekana hatuna kumbe tunazo za kutosha tuu , kwa kweli hali hii inapelekea ugumu sana kwenye swala la mapenzi,

Nawaambia wazazi sisi vijana wenu msipo fanya majukumu yenu kama wazazi kwa mabinti zenu hakika sisi hatutooa na waambieni tutazalisha mabinti zenu kwa kuwahonga elfu 3 (Tsh 3000) na chipsi mayai alafu tunawaachia hapo nyumbani muangaike nao.

Hakuna namna
Umenena vyedi kabisa
 
Dah! We nae unapiga panapouma aiseee! Japo ni ukweli 75%. Uwezo mdogo wa wazazi,si sababu ya watoto wao kuombaomba. Tatizo,hawataki kulidhika na hali zao,wanataka waonekane wanajiweza. Mengine yatakwambia ni machamungu(hayajielewi),halafu yanaomba kama 30 elfu eti ya kuchangia semina,kwamba ni viongozi. Unajiuliza,bila wewe,huo mchango halitoi? Sasa mbaya zaidi,kama hayo yanaleta kiki ya Mungu,hayajui hata hatumtambui
 
Ndiyo maana mtu akiwa anakihudumia kibinti kama girlfriend wake halafu athibitishe kwamba anamsaliti kinachofuata ni kulipiza kisasi Kwa mauaji tu,akifikiria mkwanja wake alioupoteza pale,halafu wanakuja watu wa sociology wanasema vijana Wana tatizo la afya ya akili,ilihali hawajui Kwa nini mauaji ya wasichana yanashamiri.

Kuua binti kisa kakusaliti sio poa.

Muhimu kijana usikubali kuwa na girlfriend mmoja ama mke mmoja. Always keep them in competition to keep you

Mmoja abaki kuwa ni Mama mzazi pekee. Zingatia.
 
Usijiroge ukaomba namba maana inakuja na majukumu ambayo anastahili baba yake .
Kabisa mkuu, sasa hivi ukiomba namba na ukatongoza unageuzwa baba, mpaka unajiambia kabla sijamfata alikua anaishije huyu mwanamke/ binti.

Mbaya zaid ukiingia naye kwenye mahusiano anakuomba hadi vitu ambavyo hawezi muomba baba yake labda aombe kupitia kwa mama. Ila kwako sasa anakuja direct .

Utasikia baby nimekaribia P' sina hela mara baby pichu zimechakaa.

Sometime tunatoa tuu maana unapiga hesabu acha nitoe ni msitiri huyu binti ila shida sasa anaenda tena kugawa huko
 
Kwa hiyo wewe unataka wazazi tufanye kila kitu wewe uje uchojoe ch--p tu pumbavu.
Fanya majukumu yako, sis tutakuja kuwaletea mahari na kumtunza huyo mwanao ukubwa wake wote mpaka siku ya kifo chake akiwa ndani ya ndoa.

Akiwa kwako fanya kazi yako kama mzazi, binti kavunja ungo usisubirie akuambie naomba hela ya taulo ,pichu au nini mzazi jiongeze.

Toa mkwanja kwa heshima muambie hii utanunua mahitaji yako ya muhimu binti mwenye akili anaelewa atafanya nini na hiyo ela.
 
Watakwambia "MWANAUME KUHUDUMIA"

Aisee inakera ila tutafanyaje sasa.

Either uchague mwanamke au uchague malengo Yako!?
Mwanaume kuhudumia akiwa ndani na ni mama watoto, siyo analala kwao anasema hudumia.

Mara utasikia ""baby naomba hela ya matumizi ""

Yani ni shida kweli kweli, yani inafikia mahali unajisemea sasa ana umuhimu gani wa kuwa na wazazi
 
Back
Top Bottom