Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,251
- 35,593
Kuna kitu huwa kinanishangaza sana katika karne hii ya 21 kila nikisikia kuwa wachezaji wa timu fulani (hususani Yanga na Simba) wamepigwa faini kwa kosa la kuingia uwanjani pasipo kupita kwenye geti rasmi la wachezaji (kuruka ukuta) na wakaingia uwanjani (pitch) na vyumbani.
Maswali ninayojiuliza ni haya;
1. Kwanini hili suala liwe jambo rahisi sana kwa wachezaji kiasi cha kujirudia rudia lakini lisiwezekane kwa mashabiki?
2. Kwanini mamlaka ya ulinzi na usalama haikubali kuwajibika kwa hili?
Maswali ninayojiuliza ni haya;
1. Kwanini hili suala liwe jambo rahisi sana kwa wachezaji kiasi cha kujirudia rudia lakini lisiwezekane kwa mashabiki?
2. Kwanini mamlaka ya ulinzi na usalama haikubali kuwajibika kwa hili?