Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
- #521
Ok hongera to live is to love🙏Uy
Uyo babe wangu is one in a billion if you must know😁🤩😍
Ok hongera to live is to love🙏Uy
Uyo babe wangu is one in a billion if you must know😁🤩😍
Ujasiri huo nawaachia nyieBe brave nobody is above you expect God![]()
Ok hongera to live is to love🙏
Kazi ipo walah!!Hapana lazima nilipe kisasi kwa heshima ya mwanangu, huyu hakuja kwa bahati mbaya,alipangwa aje Kama mzaliwa wa kwanza kwa babaye,mauchafu aliyomfanyia huyo mama wa kambo wakati alimkuta mtoto,nikikusimulia yanatisha,kwahiyo narudi katavi kuongea na wazee.
Hahahaha najua pa kukupataMwanayanga mwenzangu...Nilikuamini mawazo yako nikabet mtaji wa Tigopesa kwa yanga....Nitumie 50K... Mkuuu
Hali Ni mbaya sijui ntakula Nini yarabh![]()
Nikopeshe million ....mambo yakitiki nakupa million 10...Hahahaha najua pa kukupata
Hata ww mbona ulisema unataka kumroga X wako au unadhan tumesahauMkuuu...hata mtu akipanga kunidhuru Mimi nikajua itaniuma sanaaaaaaaa...
But Sasa kwenda mbio kwa waganga Mungu asinipe mtihani wakunifisha Huku...
Haya Sio maisha kabisa....maisha yakiwaki Sana hayo
Hahahahah unazan kubet rahsi hivyoNikopeshe million ....mambo yakitiki nakupa million 10...
Mambo magumu magumu yooote Mimi siwezi..hata Kuroga TU...nishawai kuwaza Kuroga...nikajiangaliaaa nikaona Siwezi Stoop that lowHahahahah unazan kubet rahsi hivyo
Mkuu...Nina maisha magumu..Sina hela yakutosha...kila sehemu Hoves...Hata ww mbona ulisema unataka kumroga X wako au unadhan tumesahau
Baadae anasema ulikuwa unamwimbia vijembe, na nilivyo napenda kuimba imba basi kipindi hicho nafyata mkia..najizuia.



akigeuka akakuta unapiga mihayo, anasema ulikuwa unamzomea 

Bado umeubeba huo mzigo?Mateso bila chuki yaani...ndo mzigo wangu huo hakuna namna![]()
Hahahahaaakigeuka akakuta unapiga mihayo, anasema ulikuwa unamzomea
![]()
Tumia kiswahili tutaelewa vizuri tu. Acha kuforce.Be brave nobody is above you expect God![]()
Si foc naongea na kuandika lugha 5,mbona unajistukia? mwalimu wa upe Nini?manake walorisit wanakuwaga na hasira hahahahTumia kiswahili tutaelewa vizuri tu. Acha kuforce.
Tangu nilipoanza kusoma mwanzo wa story na majigambo ya mtoa mada nimejifunza kuwa jamaa alianza kupotezea baada ya masimango kuzidi. Haya anayosema nilimtoa chini na kuanza kumvalisha boxer ndiyo yaliyomkimbiza jamaa. Ogopa mwanamke akiwa na kazi na pesa. Wanakuwa na midomo michafu mpaka utajutia mahusiano. Mara utasikia "ulijua viatu wewe? Kuvaa kwenyewe nimekufundisha mimi".Halafu usisikilize upande mmoja tu. Ukute huyu dada ndio msumbufu mpk watu wamezila kusomesha mtoto kutokana na kero za mama yake.
Hayo mambo yanataka usikilize pande mbili
Story ya upande mmoja hiyo. Mwanga ukigeuka masimango ni giza tu. Unokosesha kuchanua....aende ustawi wa jamii tu...atasomeshwa tu ..ila kiuhalisia inauma mtu umempa mwanga leo anakuumiza nafsi hvy?
Kipepeo wa chuma1 mchumba hasaidiwi..ungemuacha ajipush mwenyewe. Sema hukujua ...pole dogo