Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
- #481
Love gani iliyofosiwa🤣🤣🤣Don't force love, love come automatically
Both we are sharing the same destine.
Love gani iliyofosiwa🤣🤣🤣Don't force love, love come automatically
Both we are sharing the same destine.
Sasa kama yeye anapenda kununa nifanyeje? Nijinyonge??? Hell no...ukinuna nakuacha hivyo hivyo utajua mwenyewe ukiamua kukaa bubu mwezi mzima bas sawa..Afu akianza kuchepuka unaanza kulia,mkikosana Kama wapenzi ni suala la kuzungumza na sio kununa na kususa.msingi wa mahusiano ni mazungumzo.
Hahahah mie sirogi mapenzi,namshughulikia aliyekuwa anahangaika kuniharibia mwanangu future yake.Sasa kama yeye anapenda kununa nifanyeje? Nijinyonge??? Hell no...ukinuna nakuacha hivyo hivyo utajua mwenyewe ukiamua kukaa bubu mwezi mzima bas sawa..
Kuchepuka kupo tu binti...hata muwe mnacheka kila siku atachepuka tu..huwajui wanaume wewe that's y unahangaika kuroga. U are wasting your precious time...hata hivyo nakusapoti endelea kumkomesha huyo bwege as long as moyo wako unataka hivyo
Nilishapita stage ya kujipendekeza kwa mume pasua kichwa. Amani ya ndoa ipo mikononi mwake...akitaka amani itakuwepo..akitaka shari itakuwepo pia.Afu akianza kuchepuka unaanza kulia,mkikosana Kama wapenzi ni suala la kuzungumza na sio kununa na kususa.msingi wa mahusiano ni mazungumzo.
Haujaelewa..walishatengana muda..hana hisia naye...ameshamove on ...Don't force love, love come automatically
Both we are sharing the same destine.
Nilishapita stage ya kujipendekeza kwa mume pasua kichwa. Amani ya ndoa ipo mikononi mwake...akitaka amani itakuwepo..akitaka shari itakuwepo pia.
Natimiza majukumu yangu kadri ya uwezo wangu..akiona simfai aniambie naondoka dakika hiyo hiyo.
Yeye ndo anitake na sio mimi nimtake yeye. Nipo hapa kwaajili yake so ni jukumu lake kunifanya nizidi kuwepo kwa kudumisha amani ya moyo wangu.
Hakuna watu sumu kama wanaume ..unaweza timiza kila kitu anachowish kwako ..na bado akazibua nje...chaaSasa kama yeye anapenda kununa nifanyeje? Nijinyonge??? Hell no...ukinuna nakuacha hivyo hivyo utajua mwenyewe ukiamua kukaa bubu mwezi mzima bas sawa..
Kuchepuka kupo tu binti...hata muwe mnacheka kila siku atachepuka tu..huwajui wanaume wewe that's y unahangaika kuroga. U are wasting your precious time...hata hivyo nakusapoti endelea kumkomesha huyo bwege as long as moyo wako unataka hivyo
inshort nachomwambia Huyu Dada nikwamba...Huo uchawi WAKE HAUNA MAANA WALA MSAAADA.... ..My dear mbona una muattack huyu mleta mada
Tumuache na maisha yake,hivi tukisema kila mtu alete maisha yake hapa mbona tutakimbiana
Uko tayari kuishi na matokeo ya uamuzi huo? Siku mwanao akimtaka babake utamjibu nini? Na ikiwa upande wa pili nao waki-revenge na ikajibu huoni utakuwa chanzo cha uyatima na kuathiri hatima yake?Wewe ndio umenielewa,na kwa sababu hiyo na heshima ya mwanangu,lazima jamaa tumrudishe chini,piga ua garagaza anarudi moja,wazee wangu wamechungulia wameona na wameamua hivo![]()
Asante Sana...twende tukaswali DhuhurSawa mwalimu wa zamu nimekusikia,sabato njema![]()
inshort nachomwambia Huyu Dada nikwamba...Huo uchawi WAKE HAUNA MAANA WALA MSAAADA.... ..




Ni kweli, na hili gurudumu anapaswa kuliendesha yeye kwa amani, akileta kero zisizo na msingi basi unaharibu tu maana ndivyo anavyotaka.Hakuna watu sumu kama wanaume ..unaweza timiza kila kitu anachowish kwako ..na bado akazibua nje...chaa
Ukiamua kuleta bandiko vumilia yote...Mimi nilita bandiko la Chopping board nilikomaMy dear mbona una muattack huyu mleta mada
Tumuache na maisha yake,hivi tukisema kila mtu alete maisha yake hapa mbona tutakimbiana



Mapenzi UFundi unafichwa Kama kiroba za bangi?... Mimi Sina Mume ...na Kama kukosewa nshakosewa Sana.... Lakini level zako za kuuza kiwanja kwenda Kuroga sijafikia....... Tujifunze kusamehe watu... Wewe maisha yako HUJAWAI kosea Watu?......Mwache huyo aliolewa kwa kumloga mwanaume,anadhani kila mwanamke anafosi ndoa Kama yeye.mapenzi ni ufundi![]()
Mimi..simlazimishi aache Ulozi...nachomuonesha Ni kuutumia kwa manufaaaa Sio kwa kufilisika.....Huo ni mtazamo wako
Unamshauri vizuri hata mimi naungana na wewe
Ila sasa kuupokea ushauri wako au kuuacha ni maamuzi yake hatuwezi kumlazimisha
Maisha ni yake ,akiharibu ni yeye mimi na wewe hatudhuriki so tumuache mtu atumie nafasi ya maisha yake kama anavyo taka
Script ya maisha yake ni yake wacha sisi tutengeneze script tofauti kupitia makosa yake
Umeshamwambia inatosha tuendelee kusubiri muendelezo wa hizo radi![]()


....Ukiamua kuleta bandiko vumilia yote...Mimi nilita bandiko la Chopping board nilikoma![]()


nimeupitia kwa juu juu nimechekaHa haaa chopping boardUkiamua kuleta bandiko vumilia yote...Mimi nilita bandiko la Chopping board nilikoma![]()
Chopping board yangu inafungus... wengine nimeokota jalalani...Jamaninimeupitia kwa juu juu nimecheka




Mimi huwa natamani kuanzisha mada ila nikifikiria comments za wadau naishiwa nguvu, siwezi vumilia kejeli nitaikimbia jfChopping board yangu inafungus... wengine nimeokota jalalani...Jamani
Kila nikiangalia naingiwa simanzi
Mimi...nshazizoea kabisa kejeli za wanaJF.....Wala hazinipi shidaMimi huwa natamani kuanzisha mada ila nikifikiria comments za wadau naishiwa nguvu, siwezi vumilia kejeli nitaikimbia jf