Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,662
Kutwa kujishtukia...
Ukiimba basi unamuimba yeye..hata nyimbo za siasa.
Yalinikuta loh



hata nyimbo za siasa pia?Kutwa kujishtukia...
Ukiimba basi unamuimba yeye..hata nyimbo za siasa.
Yalinikuta loh



hata nyimbo za siasa pia?Umemove on then unamfatilia mtu kwa kumuombea mabaya that is bullshit.Haujaelewa..walishatengana muda..hana hisia naye...ameshamove on ...
Kumbe ww mkorofi eeh? Unampa nini?Hahahhaaha...mie naupendaga ule wa gigy money..nampa papa..bas weee
![]()




Papa😋Kumbe ww mkorofi eeh? Unampa nini?![]()
Baadae anasema ulikuwa unamwimbia vijembe, na nilivyo napenda kuimba imba basi kipindi hicho nafyata mkia..najizuia.hata nyimbo za siasa pia?
Nacheka huku mimi jmn🤣🤣🤣Baadae anasema ulikuwa unamwimbia vijembe, na nilivyo napenda kuimba imba basi kipindi hicho nafyata mkia..najizuia.
Mateso bila chuki yaani...ndo mzigo wangu huo hakuna namnaNacheka huku mimi jmn![]()


Si ndo kam huyu akiwa broke anataka na ww uwe broke...usioge ..ulale lale kama yy...akishika tama na ww shika tama😅,!Mateso bila chuki yaani...ndo mzigo wangu huo hakuna namna![]()
Ha haha hiyo Kali. Huyu akiwa broke mahasira kibao. Utagombezwa kila kitu utakachofanya.Si ndo kam huyu akiwa broke anataka na ww uwe broke...usioge ..ulale lale kama yy...akishika tama na ww shika tama,!
Achana naye,nishamjua ndomana nimempotezea hahahahHaujaelewa..walishatengana muda..hana hisia naye...ameshamove on ...
Hahahahah unaota wewe nirudie uchafu huo?hapana ,nitatengwa na ukoo kurudi jalalaniMimi..simlazimishi aache Ulozi...nachomuonesha Ni kuutumia kwa manufaaaa Sio kwa kufilisika.....
Nyie unaweza mloga mtu ... akifilisika alafa akawa mzigo wako....
Just imagine huyo mwanaume afilisike alafu arudi aanze kukopa kwa huyu dada....
They have history... Huyu akibembelezwa na huyo baba watoto ANAkuwa mpole...anauza na kiwanja anampa mtaji tena
Wameanza namaliza,ahhh mnanikata stimu naangalia mechi ya Simba hapa,Simba hajawahi tishwa na swala kamwe🤣🤣🤣Uko tayari kuishi na matokeo ya uamuzi huo? Siku mwanao akimtaka babake utamjibu nini? Na ikiwa upande wa pili nao waki-revenge na ikajibu huoni utakuwa chanzo cha uyatima na kuathiri hatima yake?
Vv
Hatumpigi radi tunamshusha kimya kimya,wakistuka yuko zero 🙌Huo ni mtazamo wako
Unamshauri vizuri hata mimi naungana na wewe
Ila sasa kuupokea ushauri wako au kuuacha ni maamuzi yake hatuwezi kumlazimisha
Maisha ni yake ,akiharibu ni yeye mimi na wewe hatudhuriki so tumuache mtu atumie nafasi ya maisha yake kama anavyo taka
Script ya maisha yake ni yake wacha sisi tutengeneze script tofauti kupitia makosa yake
Umeshamwambia inatosha tuendelee kusubiri muendelezo wa hizo radi![]()
We njoo na huyo babe wako, mbona hamjiamini?waaah hahahahApo safi. Kwaio usharudi toka Sumbawanga ndani ndani huko eeh?
Mi prawns sizipendagi wallahiiii kitu kina external skeleton unakivunja using teeth i felt nasty to chew it yaani...
Ask a waiter there kama kuna Bourbon ... kama ipo tufanyie table reservation nataka nimlete Quetzal nmempenda mno
Thubutuuu sirudiagi matapishi mie,Hana maajabu ya mimi kurudi,Mimi Kama Wana wa Israel walitumia miaka 40 kuvuka jangwa na wakasema ,mwambie farao sirudi Tena misri,naenda kanaaniMimi..simlazimishi aache Ulozi...nachomuonesha Ni kuutumia kwa manufaaaa Sio kwa kufilisika.....
Nyie unaweza mloga mtu ... akifilisika alafa akawa mzigo wako....
Just imagine huyo mwanaume afilisike alafu arudi aanze kukopa kwa huyu dada....
They have history... Huyu akibembelezwa na huyo baba watoto ANAkuwa mpole...anauza na kiwanja anampa mtaji tena
Sijamfatilia yeye na mkewe ndo wameanza kwa mwanangu,mie namaliza🙏Umemove on then unamfatilia mtu kwa kumuombea mabaya that is bullshit.
do you my dear...Do youThubutuuu sirudiagi matapishi mie,Hana maajabu ya mimi kurudi,Mimi Kama Wana wa Israel walitumia miaka 40 kuvuka jangwa na wakasema ,mwambie farao sirudi Tena misri,naenda kanaani
Ndio sitarudia Tena misri naenda kanaani 🤣🤷💥👊🏼do you my dear...Do you
Be brave nobody is above you expect God 🙏Mimi huwa natamani kuanzisha mada ila nikifikiria comments za wadau naishiwa nguvu, siwezi vumilia kejeli nitaikimbia jf
Uyo babe wangu is one in a billion if you must know😁🤩😍We njoo na huyo babe wako, mbona hamjiamini?waaah hahahah