Denton_GrootBoom
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 545
- 915
And be assured... utapendwa mpaka kuzeeka pamoja. Hutokaa uachwe provided thou hath this mindset. Amani iwe nanyiNdo hivyo
And be assured... utapendwa mpaka kuzeeka pamoja. Hutokaa uachwe provided thou hath this mindset. Amani iwe nanyiNdo hivyo
Tatizo lako wewe nawe ni wale wale. Ona ulivyo na fikra pofu. Unadhani matukio kama hayo kuho mamtoni hayapo?!!Unaishi wapi wewe? Ukute naongea na mtu yuko mamtoni huko...ina maana hujui wanaume wengi sana wanatelekeza watoto zao wa kuwazaA bila sababu kbs? Point ni moja hata kama mwanamke ana kidomo domo hutakiwi kuzira mwanao...mzire mwanamke sio mwanao..damu yako hiyo..ndo hayo yanakuja ya kina diamond
Tatizo lako wewe nawe ni wale wale. Ona ulivyo na fikra pofu. Unadhani matukio kama hayo kuho mamtoni hayapo?!!
Ukifuatilia maneno ya mtoa mada anatuhumu mtoto wake kutendewa vibaya na kwamba wanataka kumdhuru, mara ooh baba hataki kumsomesha. Kwa tuhuma kama hizi zinakupa sura ipi? na wadhani maneno gani yanatamkwa/kuongelewa? Majibu ya naswali haya yatakupa mwanga.
Brilliant. Hayo ndiyo maisha.Bado ninao na siutupi ng'o. Na yeye kabeba mizigo yangu mingi tu. Ndo maisha

Asante mkuuAnd be assured... utapendwa mpaka kuzeeka pamoja. Hutokaa uachwe provided thou hath this mindset. Amani iwe nanyi
Kasema atatusimulia vita ikiishaKipepeo wa chuma1 njoo hapa leo utuambie kwann.hutaki kwenda ustawi wa jamii na mwanao alifanywa nn na mke mwenzio🤭
Bora wewe una akili mingi mingi....wenzio wanauza viwanja eti wanaenda kurogea jmn, halafu hapo mtu amesoma na ana watoto wanamtegemea.Mkuu...Nina maisha magumu..Sina hela yakutosha...kila sehemu Hoves...
Alafu nitoe hela nikampe mtu Amroge mtu....nikheri nimpe hela atengeze Mambo ....niondokane na huuu umasikini....
But siwezi toa hela kwa mganga...Imani yangu juu ya hayo Mambo...HAIPO
Wonders shall never endBora wewe una akili mingi mingi....wenzio wanauza viwanja eti wanaenda kurogea jmn, halafu hapo mtu amesoma na ana watoto wanamtegemea.
I, wishes to get one like you. And that one im going to keep. Kumbe una akili all that time ila ulikua unashabikia ulozi wa huyu witch mpaka anakua encouraged to go on getting a big head hahah... basi let me assume ayo ndo mapungufu uliyosema jamaa anakubebea ety... ata ivyo throughoutly look like you are flexible na unarekebishika(men likes!) unlike this one rigid woman you entertain... she sure is heading to a breakdown na tumemwambia sisi wanaume wote apa haoleki/atumuwezi straight from us men... its written kichwa cha mwanamke ni man. Kichwa cha man ni kristo. Asa anafail sana to think and behave as she is. Ask her to swallow her pride. Pride and vendetta is eating this woman from Katavi... It has been established for sureAsante mkuu
Hahahahah ustawi wa jamii mwanangu akalipwe elfu 60 kila mwezi za manyanyaso thubutuuu,Niko kilingeni,Sheria zetu sio rafikiKipepeo wa chuma1 njoo hapa leo utuambie kwann.hutaki kwenda ustawi wa jamii na mwanao alifanywa nn na mke mwenzio🤭
Fanya yako kistaarabu tu,mlio uko njian hahahHahahaa aliyefeli la saba
Umemtongoza kakuzalisha kakuacha sababu alikuwa hakupendi.
Mwerevu yeyote yule anajua hamna mwanaume ataoa zezeta kama wewe neverrrr hayupo yaani mtu akisoma tu comment zako anajua jinsi gani jamaa ameponea kwenye tundu la sindano..
Wewe ni wakuzalishwa tu niamini mimi hutakaa kuja kuwa na msaada kwa mwanaume zaidi ya kumuongezea matatizo,yeyote yule akijichanganya kwako atapata stress tu ..
Mie mwenyewe mwanasheria Ila Niko kilingeni shubamit 🤣🤣Hilo nalo kweli mkuu maana hagusii kabisa masuala ya kisheria licha ya wadau kadhaa kumshauri ivo ameshipalia uchawi tu
Mimi ni mkorofi pale tu unaponifanyia ukorofi, ila mtu akinitreat right kikweli ni mtulivu na mvumilivu wa hali ya juu.I, wishes to get one like you. And that one im going to keep. Kumbe una akili all that time ila ulikua unashabikia ulozi wa huyu witch mpaka anakua encouraged to go on getting a big head hahah... basi let me assume ayo ndo mapungufu uliyosema jamaa anakubebea ety... ata ivyo throughoutly look like you are flexible na unarekebishika(men likes!) unlike this one rigid woman you entertain... she sure is heading to a breakdown na tumemwambia sisi wanaume wote apa haoleki/atumuwezi straight from us men... its written kichwa cha mwanamke ni man. Kichwa cha man ni kristo. Asa anafail sana to think and behave as she is. Ask her to swallow her pride. Pride and vendetta is eating this woman from Katavi... It has been established for sure
Kumbe kaoa? Pole sana
Unafiki unalipa ehHii pole kama sio yakinafiki sijui
Hahahaha ..umeongea point mama!Mimi ni mkorofi pale tu unaponifanyia ukorofi, ila mtu akinitreat right kikweli ni mtulivu na mvumilivu wa hali ya juu.
Namsapoti huyu dada kwasababu Kuna some men wanafanya makosa ya makusudi kabisa kutesa wadada kwa kupitia watoto wao.
Mwanaume anatakiwa kulea mtoto haijalishi mke yukoje, so lazima kumpa pesa mkononi mwanamke mkorofi, unaweza lipa Ada straight shuleni, Kama ni nguo nunua peleka. Yaani chochote kile lkn hakikisha unajali mtoto.
Si entertain mwanaume wa hivyo kweli nakwambia, that's y nasapoti aogwe ili awe hana kitu kabisa ijulikane.
Ila pia huyu mwenzetu anatuchora tu hapo na story yake isiyoeleweka.
Hizi ndo Vita nisizo ziweza... KHERI Ni niombe Dua TU....Uchawi unahtaji pesa na connections za waganga Wazuri.
Nimeenda sana kwa waganga miaka mi5 nyuma.
Nenda kimbinu Kama jamaa na yeye Ana hela mnaweza poteana hata kupoteza hadi waganga wenu .
Jipange sana.
Fanya yako kistaarabu tu,mlio uko njian hahah