Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Hapana siwezi mloga mpenzi wangu,kaniona ,kanipenda kanipenda yumeridhiana tukawa pamoja.Ukimloga mtu akupende sio mapenzi.Huyu tunaye mshughulikia kanionea Sana Mimi na mwanangu na kunichokoza kwa muda mrefu,so anastahili hili.
Kakuona... kakupenda...mkapendana...anauwezo wakuoa wake wawili...au zaidi...ila kwa mapenzi alionayo kwako....AKAONA AKUPE CHEO CHA MCHEPUKO.....

nawewe kwa kupendwa huko penzi limekukolea...umeridhia kuwa mchepuko ilhali...amekwambia mwenyewe Ana uwezo wakuoa wake wawili....

Kama unaguvu za Kuroga kiasi hicho...alafu huwezi roga ukafanywa mke..maana kupendwa.ushapendwa...

Basi nidhahiri.kuwa WEWE NDO UMEROGWA na mke wa mchepuko wake...

Utumike Kama mchepuko uzae mtoto.mwingine..... hapo ndo utaanza Sasa kukumbuka Kuroga Baada ya kuachwa
 
Kakuona... kakupenda...mkapendana...anauwezo wakuoa wake wawili...au zaidi...ila kwa mapenzi alionayo kwako....AKAONA AKUPE CHEO CHA MCHEPUKO.....

nawewe kwa kupendwa huko penzi limekukolea...umeridhia kuwa mchepuko ilhali...amekwambia mwenyewe Ana uwezo wakuoa wake wawili....

Kama unaguvu za Kuroga kiasi hicho...alafu huwezi roga ukafanywa mke..maana kupendwa.ushapendwa...

Basi nidhahiri.kuwa WEWE NDO UMEROGWA na mke wa mchepuko wake...

Utumike Kama mchepuko uzae mtoto.mwingine..... hapo ndo utaanza Sasa kukumbuka Kuroga Baada ya kuachwa
Hahahah we theory zako bana🤣mapenzi ya Siri matamu wewe jaribu uone.
 
Hahahah we theory zako banamapenzi ya Siri matamu wewe jaribu uone.
Penzi la Siri traaaamu..... Sasa ukauza kiwanja Cha Nini Upate hela ya Kuroga....hata Kuroga huyo mwanaume akupe hela Napo umeshindwa......

Ulozi wako....HAUNA MASILAHI....

njoo tu tuungane kuomba Mungu ....tukifanya dhambi tunatubu...nakuendelea kuomba bila kuchoka...
 
Huyu binti anakinyongo na hasira sana ndani ya moyo wake. Alaf hii hasira na chuki wala haitokani na mtoto
Mapenzi haya....yaaani huyo mwanaume kumgaramia....akamfanya awe mali alafu akamuacha na kuoa mwingine...Hapo ndo kwenye Donda bichi...litoalo Damu
 
Penzi la Siri traaaamu..... Sasa ukauza kiwanja Cha Nini Upate hela ya Kuroga....hata Kuroga huyo mwanaume akupe hela Napo umeshindwa......

Ulozi wako....HAUNA MASILAHI....

njoo tu tuungane kuomba Mungu ....tukifanya dhambi tunatubu...nakuendelea kuomba bila kuchoka...
Aisee kweli...si auze shamba apate hela ya kupeleka mtoto shule? Anauza ili apate hela ya kuroga. Nonsense..
Ila bado naunga mkono jamaa arogwe
 
No revenge is a must,jua hivyo,wameanza namaliza,hii Vita mshindi atajulikana kwa Vita ya dunia ilivyoishia pale Hiroshima kwa bomu la nyuklia,na dunia ikatulia.

Hahah baby now this is so damned. Kumbe una reserve ya atomic yakutosha sana na nuke pia eti. Just remember i will be sorry if anything bad happens to any of you or casualties. If you must... make it mild na uhakikishe it does not turn to a complete annihilation. I rest my case
 
Aisee kweli...si auze shamba apate hela ya kupeleka mtoto shule? Anauza ili apate hela ya kuroga. Nonsense..
Ila bado naunga mkono jamaa arogwe
Auze shamba la Nini....anauwezo wakuroga...Jamani Huyu mtu anatutania Sasa...Kama KWELI Ulozi wake anaojisifia Hapa.... Unafanya kazi...

Huyo mwanaume huyo ndo alitakiwa auze Hadi brazia za mkewe...kuhakikisha mtoto wa Huyu dada anasoma....

Ndo maana Mimi Nashangaaa......Mana kwanzia Uzi unaanza Ni kujifia uwezo wa waganga wake wa katavi. . Sijui yeye mfipa...

Mbona HATUONI HAYA MAAJABU ya hao wafipa..na lyamba la wafipa

Alishindwa hata mroga huyo baba watoto asimuache.... ..Atumie nguvu yake ya Ulozi vizuri...sasa
 
Ha haaa aisee wewe ni chiz, mie sithubutu mbona nitakula mateke niwe kilema
Nop demi...mm naupendaga tu...nauimba sana .sasa kama anahis nampa ujumbe inabii akubali hali halisi..ss ww anamind hata nyimbo za siasa jaman? Hahahah
 
Haya maswali yako nitayajibu shoo ikiisha.

Dah i see! They did a serious provokation to u kipepeo. Basi at this level ulipofikia na mauchungu hayo basi mtu wa kukutuliza need to be brought from Mars... laiti tungekua tunakijua icho kijeba tungeongea nacho man to man kiswallow his pride kije kukubembeleza hata kama ww ndo unazingua ( its sure you arent a saint either) ... naimani your heart could melt once again
 
Back
Top Bottom