Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Huyu wangu angekutengua kiuno I swear...ujispoil??? Aisee unaanzia wapi.
Nachomuwezaga ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine ya kawaida kama sijaumia vile..akinuna na mie kimyaaaa, simuanzi ataanza yeye.
🤣🤣🤣 kwakweli kazi unayo...pole
 
Afu umekomaa na huu Uzi?una maslahi gani nao? wikendi hii wapeleke watoto beach wakafurahi na wao,mie Niko na wanangu na dady yao mcity wanabembea hapa fresh,wakati tumetulia samaki samaki na babe tukila prawns pilipili na saint Ana yetu pembeni.
Dah..umetaja st anna...hebu Mungu aniponeshešŸ˜€
 
........ Kusoma kote huko nakuwa wakwanza kwenye interview...na kukusanya mapato makubwa halmashauri

Bado Huna Akili ya kuangalia lipi linamanufaaa kwako nalipi halina...

Bora yangu Mimi Elimu yangu inanisaidia kutumia smartphone tu
Aliyesoma Nani?labda wewe,mie hata mlango wa darasa siujui,Ila njia ya vilingeni nomeikariri na kuimasta🤣
 
kwakweli kazi unayo...pole
Keshaanza kujirekebisha maana anaona sijali, anapenda kununa basi na mie kimya simsemeshi.
Mi mtu nikimkosea nikamuomba msamaha mara mbili, mara tatu hasamehi loh namuacha...nakaa kimya simsemeshi tena. siku akiamua kuongea ataongea...hata wiki siongei kama atakavyo yeye.
 
Keshaanza kujirekebisha maana anaona sijali, anapenda kununa basi na mie kimya simsemeshi.
Mi mtu nikimkosea nikamuomba msamaha mara mbili, mara tatu hasamehi loh namuacha...nakaa kimya simsemeshi tena. siku akiamua kuongea ataongea...hata wiki siongei kama atakavyo yeye.
Hahahahahaa....anajua kuuchuna...lol..maisha haya jaman...mie ukiniboa wknd sishindi hom...naondoka asbh na wanangu tunarudi usk...
 
Halafu kuna wanaume wengine haturogeki ng'oooo utamaliza pesa zako bureeee.
Wewe jisifie na katavi yako hio, wengine tumevuka border hadi Congo huko ndani ndani.
Ukituma vitu vinakurudia mara mbili
 
Keshaanza kujirekebisha maana anaona sijali, anapenda kununa basi na mie kimya simsemeshi.
Mi mtu nikimkosea nikamuomba msamaha mara mbili, mara tatu hasamehi loh namuacha...nakaa kimya simsemeshi tena. siku akiamua kuongea ataongea...hata wiki siongei kama atakavyo yeye.
Afu akianza kuchepuka unaanza kulia,mkikosana Kama wapenzi ni suala la kuzungumza na sio kununa na kususa.msingi wa mahusiano ni mazungumzo.
 
Aliyesoma Nani?labda wewe,mie hata mlango wa darasa siujui,Ila njia ya vilingeni nomeikariri na kuimasta
UTAMALIZA WAGANGA..... Halimfiki Jambo mja Bali Mola kapanga.... Hata waganga na waganguzi wote wakiungana.... Kama Mola hajapanga ufikwe na balaaaa..... Halitokufika Asilani ABADANI.

Utafilisika kwa madeni na kuuza Mali... Utaishia kuwa mchepuko maisha yako yoote... Unahangaika na watoto wako bika msaaada....

Change YOUR MINDSET.... Think positive... Invest in yourself and your children... Change yourlife.... Mafanikio yatakufuata
Hutahangaika na Kuroga watu.... You will be at peace...
 
Auze shamba la Nini....anauwezo wakuroga...Jamani Huyu mtu anatutania Sasa...Kama KWELI Ulozi wake anaojisifia Hapa.... Unafanya kazi...

Huyo mwanaume huyo ndo alitakiwa auze Hadi brazia za mkewe...kuhakikisha mtoto wa Huyu dada anasoma....

Ndo maana Mimi Nashangaaa......Mana kwanzia Uzi unaanza Ni kujifia uwezo wa waganga wake wa katavi. . Sijui yeye mfipa...

Mbona HATUONI HAYA MAAJABU ya hao wafipa..na lyamba la wafipa

Alishindwa hata mroga huyo baba watoto asimuache.... ..Atumie nguvu yake ya Ulozi vizuri...sasa

My dear mbona una muattack huyu mleta mada
Tumuache na maisha yake,hivi tukisema kila mtu alete maisha yake hapa mbona tutakimbiana
 
UTAMALIZA WAGANGA..... Halimfiki Jambo mja Bali Mola kapanga.... Hata waganga na waganguzi wote wakiungana.... Kama Mola hajapanga ufikwe na balaaaa..... Halitokufika Asilani ABADANI.

Utafilisika kwa madeni na kuuza Mali... Utaishia kuwa mchepuko maisha yako yoote... Unahangaika na watoto wako bika msaaada....

Change YOUR MINDSET.... Think positive... Invest in yourself and your children... Change yourlife.... Mafanikio yatakufuata
Hutahangaika na Kuroga watu.... You will be at peace...
Sawa mwalimu wa zamu nimekusikia,sabato njemašŸ™šŸ¤£
 
Afu akianza kuchepuka unaanza kulia,mkikosana Kama wapenzi ni suala la kuzungumza na sio kununa na kususa.msingi wa mahusiano ni mazungumzo.
Kwamba usiponuna mume hachepuki? Mbona yy ananuna na hatak aman itawale..huwajui wanaume wewe hata kidg
 
Afu umekomaa na huu Uzi?una maslahi gani nao? wikendi hii wapeleke watoto beach wakafurahi na wao,mie Niko na wanangu na dady yao mcity wanabembea hapa fresh,wakati tumetulia samaki samaki na babe tukila prawns pilipili na saint Ana yetu pembeni.

Apo safi. Kwaio usharudi toka Sumbawanga ndani ndani huko eeh?

Mi prawns sizipendagi wallahiiii kitu kina external skeleton unakivunja using teeth i felt nasty to chew it yaani...

Ask a waiter there kama kuna Bourbon ... kama ipo tufanyie table reservation nataka nimlete Quetzal nmempenda mno
 
Mwache huyo aliolewa kwa kumloga mwanaume,anadhani kila mwanamke anafosi ndoa Kama yeye.mapenzi ni ufundi

Huwa sielewi mtu analeta kisa chake hapa kwa sababu nyingi
Sisi wasomaji tunaweza kumshauri ila hatuwezi kulazimisha mtu apokee ushauri
Pili tunajifunza
Huwezi kuwapangia watu maisha
Kila mtu akisema aelezee kisa cha maisha yake hapa tutakimbiana,hakuna mkamilifu
Binafsi uamuzi wako wa kumkomesha huyo mume sikubaliani nao lakini kama ni maamuzi yako nayaheshimu
At the end maisha ni yako yakikunyookea au yakibuma shauri yako mimi siumii chochote
Ndio maana nashangaa mtu mpaka anakauka mate kukushambulia kuhusu maamuzi yako
Looh
 
Huwa sielewi mtu analeta kisa chake hapa kwa sababu nyingi
Sisi wasomaji tunaweza kumshauri ila hatuwezi kulazimisha mtu apokee ushauri
Pili tunajifunza
Huwezi kuwapangia watu maisha
Kila mtu akisema aelezee kisa cha maisha yake hapa tutakimbiana,hakuna mkamilifu
Binafsi uamuzi wako wa kumkomesha huyo mume sikubaliani nao lakini kama ni maamuzi yako nayaheshimu
At the end maisha ni yako yakikunyookea au yakibuma shauri yako mimi siumii chochote
Ndio maana nashangaa mtu mpaka anakauka mate kukushambulia kuhusu maamuzi yako
Looh
Noted and šŸ™
 
Back
Top Bottom