Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
š¤£š¤£š¤£ kwakweli kazi unayo...poleHuyu wangu angekutengua kiuno I swear...ujispoil??? Aisee unaanzia wapi.
Nachomuwezaga ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine ya kawaida kama sijaumia vile..akinuna na mie kimyaaaa, simuanzi ataanza yeye.

