Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
- #381
Nikimaliza hili tutafanya usemavyo.Sasa...Mimi nachotaka Ni uolewe na huyo mwanaume...Mkae mleee hao watoto na mzae watoto....hiyo nguvu yako ya ULOZI ....elekeza huko.....Kama KWELI unaaamini kurogana.... Huko ndo unakotakiwa kuinvest Ulozi wako.....
