Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
Hana maajabu chumbani ..alafu bado hajaachwa.. mwanaume ndo anakwambia mkewe Hana maajabu chumbani?.....
My sister wise up...chose your battles





Hana maajabu chumbani ..alafu bado hajaachwa.. mwanaume ndo anakwambia mkewe Hana maajabu chumbani?.....
My sister wise up...chose your battles





Unamaanisha anadanganywa au?Hana maajabu chumbani ..alafu bado hajaachwa.. mwanaume ndo anakwambia mkewe Hana maajabu chumbani?.....
My sister wise up...chose your battles




Tutafute tu hela tuishi kwa amaniUkicheka na cm yako anahisi unamcheka?![]()
Wanailogana wana stress za nini,je hao wana akili?Wana stress za ukapuku,mnapigana ili iweje?kwanza ni ukosefu wa akili pia
Hahahahah nacheka kingerezaBadala aroge apate mume wakumkuna na kulea watoto wake ...Anakazana kuroga baba wa mtoto wake....
Revenge Ni mafanikio yako....hilo ndo humuuma zaidi mwanadamu...
Ukatimize kwa weledi.Siogopi nimedhamiria.
Inaitwa brain manipulation....kukufanya ujione watofuati Sana.....ndo maana kipepeo anajiona Ana maajabu Sana..Unamaanisha anadanganywa au?![]()
Mbona umekomaa na Uzi wangu?Kuna sehemu nawe umeharibu so unajihisi?una maslahi gani na huu Uzi?kikawaida memba anarespond once or twice then anakausha,Ila wewe umeushupalia Uzi hahahahah,karibu nakonde.Na ndivyo ilivyo. Anahisi amerogwa, then anakimbilia kwa waganga
Haaaah Mimi nikuete THE IRON BUTTERFLY kwakweli nami kunajambo nimesamee miaka na miaka lakini muhusika kila siku huni fanyia kejeli naomba baada ya mwezi nikuulize matokeo kama ni positive nami unielekeze katavi.
Ok nafichwa mie Ila maumivu unapata wewe,maajabu ya 9 ya dunia.Binafsi nimeridhika na kufichwa Sina hata nongwa na yeyote,yaani full burudani.Inaitwa brain manipulation....kukufanya ujione watofuati Sana.....ndo maana kipepeo anajiona Ana maajabu Sana..
Kumbe in reality hakuja chakustaajabisha alichonacho Hadi AROGE.....
Kama kuroga ndo njia alochagua na inamtokeo...huyo anaemficha Kama kiroba Cha Bangi...ndo anatakiwa arogwe
Bila shaka mkuu🙏Ukatimize kwa weledi.
Money is not an issue, especially family hizi za kiafrica za kikapuku,mtu anapata hela ukubwan,amezaliwa na kukuliq kwenye dhiki,shule yenyewe kasoma kwa tabu,hawezi nisumbua mtu huyo,ukionq nimereact jua kaharibu na anastahili adhabu.Tutafute tu hela tuishi kwa amani
Ishu si kukomaa,atafanya muda si mrefu,Hilo halina shaka.Dini yake inamruhusu kua mke WAPILI...hili ndo unatakiwa ukomae afanye...hilo.la kukufanya mchepuko Dini hairuhusu my dear....
Mh mdogo wangu hiyo Hatari sasaWape juju kali, tena njoo inbox nkupe ufundi, unaweka juju ya kumaliza ukoo mzima, hakibaki kitu had kiumbe cha tumboni km kuna mwenye nacho ktk huo ukoo kinakwenda na maji.
Fanya kweli mom, usiogope.
Ok nafichwa mie Ila maumivu unapata wewe,maajabu ya 9 ya dunia.Binafsi nimeridhika na kufichwa Sina hata nongwa na yeyote,yaani full burudani.



....Hilo ndo linalonishangaza....NGUVU YAKO YA. ULOZI unayojisifia hapa IPO WAPI?... unatuma radi. .sijui unawaona wanahangaika ....ALAFU WEWE UNARIDHIA kuwa mchepuko.....



Hata wafalme na watawala wa zamani walifanya kwa wale wahuni waliojaribu kuchezea family zao,akuanzae mmalize.Mh mdogo wangu hiyo Hatari sasa
Basi chukua uzi wako uufiche.Mbona umekomaa na Uzi wangu?Kuna sehemu nawe umeharibu so unajihisi?una maslahi gani na huu Uzi?kikawaida memba anarespond once or twice then anakausha,Ila wewe umeushupalia Uzi hahahahah,karibu nakonde.
Hapana siwezi mloga mpenzi wangu,kaniona ,kanipenda kanipenda yumeridhiana tukawa pamoja.Ukimloga mtu akupende sio mapenzi.Huyu tunaye mshughulikia kanionea Sana Mimi na mwanangu na kunichokoza kwa muda mrefu,so anastahili hili.....Hilo ndo linalonishangaza....NGUVU YAKO YA. ULOZI unayojisifia hapa IPO WAPI?... unatuma radi. .sijui unawaona wanahangaika ....ALAFU WEWE UNARIDHIA kuwa mchepuko.....
Unanguvu ya kumfanya mtu afilisiki abakie pumbu TU...Alafu Huna nguvu zakufanywa mke...na anaekuita mchepuko
Inawezekana Wewe ndo umerogwa Sasa
Unadhani naumia....NAKUSHANGAAAAA
Huna vipaumbele vya maana....
Huyu binti anakinyongo na hasira sana ndani ya moyo wake. Alaf hii hasira na chuki wala haitokani na mtoto....Hilo ndo linalonishangaza....NGUVU YAKO YA. ULOZI unayojisifia hapa IPO WAPI?... unatuma radi. .sijui unawaona wanahangaika ....ALAFU WEWE UNARIDHIA kuwa mchepuko.....
Unanguvu ya kumfanya mtu afilisiki abakie pumbu TU...Alafu Huna nguvu zakufanywa mke...na anaekuita mchepuko
Inawezekana Wewe ndo umerogwa Sasa
Unadhani naumia....NAKUSHANGAAAAA
Hahahah nishauweka kwenye unknown folder,hutauona Tena🤣🤣Basi chukua uzi wako uufiche.