Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Hiyo siwezi sema manake huenda huyu bwege na limke lake wamo kwenye huu Uzi yanafatilia.
Shoga unafeli sasa..ndo maana mm nasemaga kwa kujiamini hakuna kitu kinaishi kama uloz..ss wakiwa wanasoma humu ww nini inakukera? Sema tu kumebuma..

Ningekuwa mimi ndo wwe ningefanya haya;
1.kubadili jina la mwanangu mapema sana mahakamani
2.kuhama eneo naloishi ikiwezekana omba uhamisho
3.tafuta side hustle kama bado u mwajiriwa...jitumikishe mno mno uongeze kipato
4.ningebadili line za simu zangu na kuanza maisha mapya
5.hakikisha unakua na kipato kumzidi huyo Nguchiro...utaona uyakavyoishi kwa amani!
 
Shoga unafeli sasa..ndo maana mm nasemaga kwa kujiamini hakuna kitu kinaishi kama uloz..ss wakiwa wanasoma humu ww nini inakukera? Sema tu kumebuma..

Ningekuwa mimi ndo wwe ningefanya haya;
1.kubadili jina la mwanangu mapema sana mahakamani
2.kuhama eneo naloishi ikiwezekana omba uhamisho
3.tafuta side hustle kama bado u mwajiriwa...jitumikishe mno mno uongeze kipato
4.ningebadili line za simu zangu na kuanza maisha mapya
5.hakikisha unakua na kipato kumzidi huyo Nguchiro...utaona uyakavyoishi kwa amani!
Nitafanya hayo nikimaliza hii assignment
 
Aisee kweli...si auze shamba apate hela ya kupeleka mtoto shule? Anauza ili apate hela ya kuroga. Nonsense..
Ila bado naunga mkono jamaa arogwe
Kama umeamua Kuwa mlozi...ULOZI WAKO UTUMIKE KWA MANUFAAA YAKO....

Unauza kiwanja Kuroga mtu afilisiki na Wewe pia unafilisika

How much will it cost her mpaka Huyu JAMAA afilisiki.. inawezekana at the end mrogwa na mrogaji wote wakafikisika


Rubbish
 
Dah i see! They did a serious provokation to u kipepeo. Basi at this level ulipofikia na mauchungu hayo basi mtu wa kukutuliza need to be brought from Mars... laiti tungekua tunakijua icho kijeba tungeongea nacho man to man kiswallow his pride kije kukubembeleza hata kama ww ndo unazingua ( its sure you arent a saint either) ... naimani your heart could melt once again
Ishu kamgusa mwanangu na lile nyumbu lake,hivo tu,sihitaj hata kuongea naye,kwani Hana maajabu kwenye sekta pendwa
 
Sasa unatuchosha. Jibu maswali tunayokuuliza

Now you are starting to smell that fish too. Ukutage walijaribu au kibahati mbaya tu walimuumiza kaukucha tu mama akafyatuka like a lioness looking after its cubs. Be sure its not that bad aki.

Alafu nyie wanawake warembo sana ongeeni basi na uyu mwenzenu... not to entertain her... mara eti mkomeshe uyo mara lete mrejesho yaani

If it were our fellow men with balls tungesharekebisha kitambo
 
Eeh hata za dini. Yaani mkiwa mmegombana kuimba ni marufuku
HahhahahahahahahahahhaahhaahHahahahhahahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahaah...dah...ila ndoa zinafurahisha..so huimbi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mie huyo wiki tu ashanipa talaka...mie nna virevenge vya kukera mnoo..siwezag ongea..aku..mie nakuumiza hisia had utataman ufe..najipaga treat najspoil za kufa mtu aisee...
 
Kama umeamua Kuwa mlozi...ULOZI WAKO UTUMIKE KWA MANUFAAA YAKO....

Unauza kiwanja Kuroga mtu afilisiki na Wewe pia unafilisika

How much will it cost her mpaka Huyu JAMAA afilisiki.. inawezekana at the end mrogwa na mrogaji wote wakafikisika


Rubbish
Unaandika kama mwalimu wa historia 🤣🤣🤣 caption ndefuuu
 
Now you are starting to smell that fish too. Ukutage walijaribu au kibahati mbaya tu walimuumiza kaukucha tu mama akafyatuka like a lioness looking after its cubs. Be sure its not that bad aki.

Alafu nyie wanawake warembo sana ongeeni basi na uyu mwenzenu... not to entertain her... mara eti mkomeshe uyo mara lete mrejesho yaani

If it were our fellow men with balls tungesharekebisha kitambo
Acha gupu,tuko kibarazani tunapiga story tu 🤣
 
wewe unagekuwa gil wangu, ningekuacha na kipigo kizito maana unaonekana una mdomo sana aisee
....Mkuuuu siwezi ishi kwa hisia
Nimepata malaria ...Kuna mtu kanitumia mbu....

Kama wewe unaamini una maajabu Sana ndo maana unarogwa sana...Sasa hayo maajabu Mimi nayataka ya Nini?

Naulivyosimamishwa kazi....Akikuroga ulimfanyaje?...

Huyo mume wa mtu unaetembea nae....utakuwa ushamroga Sanaaaa.....

Kama unamaajabu....Kwanini hao waganga wako wasikupe Dawa huyo mume wantu akuoe kihalali mke WAPILI....

Unajisifia Ulozi alafu Ni michepuko unafichwa kwa kiroba Cha Bangi.....nioneshe hiyo nyota yako kaliii...na hayo maajabu yako

Some Cognac for you or Bourbon?😍😍❤💝💝💎💎💎
 
Unaandika kama mwalimu wa historia caption ndefuuu
Naandika caption ndefu...utumie Ulozi wako Vizuri.... Kama KWELI unaamini ULOZI....
Basi uwe na manufaaaa....

Umejaaa madeni kwenye mshahara... Unauza na viwanja ili tu Kuroga baba mtoto afilisike... Sasa akifilisika Wewe ndo utakuwa tajiri...

 
Naandika caption ndefu...utumie Ulozi wako Vizuri.... Kama KWELI unaamini ULOZI....
Basi uwe na manufaaaa....

Umejaaa madeni kwenye mshahara... Unauza na viwanja ili tu Kuroga baba mtoto afilisike... Sasa akifilisika Wewe ndo utakuwa tajiri...

Kudaiwa kwa mtumishi kawaida Sana,Wala nataka arudi alipotoka tu 🤣
 
Naandika caption ndefu...utumie Ulozi wako Vizuri.... Kama KWELI unaamini ULOZI....
Basi uwe na manufaaaa....

Umejaaa madeni kwenye mshahara... Unauza na viwanja ili tu Kuroga baba mtoto afilisike... Sasa akifilisika Wewe ndo utakuwa tajiri...

Afu umekomaa na huu Uzi?una maslahi gani nao? wikendi hii wapeleke watoto beach wakafurahi na wao,mie Niko na wanangu na dady yao mcity wanabembea hapa fresh,wakati tumetulia samaki samaki na babe tukila prawns pilipili na saint Ana yetu pembeni.
 
Now you are starting to smell that fish too. Ukutage walijaribu au kibahati mbaya tu walimuumiza kaukucha tu mama akafyatuka like a lioness looking after its cubs. Be sure its not that bad aki.

Alafu nyie wanawake warembo sana ongeeni basi na uyu mwenzenu... not to entertain her... mara eti mkomeshe uyo mara lete mrejesho yaani

If it were our fellow men with balls tungesharekebisha kitambo
Hapana siwezi mshauri aache. Mwanaume asietunza mtoto wake na uwezo anao ni wa kurogwa tu..ili awe hopeless kabisa
 
HahhahahahahahahahahhaahhaahHahahahhahahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahaah...dah...ila ndoa zinafurahisha..so huimbi?mie huyo wiki tu ashanipa talaka...mie nna virevenge vya kukera mnoo..siwezag ongea..aku..mie nakuumiza hisia had utataman ufe..najipaga treat najspoil za kufa mtu aisee...
Huyu wangu angekutengua kiuno I swear...ujispoil??? Aisee unaanzia wapi.
Nachomuwezaga ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine ya kawaida kama sijaumia vile..akinuna na mie kimyaaaa, simuanzi ataanza yeye.
 
Afu umekomaa na huu Uzi?una maslahi gani nao? wikendi hii wapeleke watoto beach wakafurahi na wao,mie Niko na wanangu na dady yao mcity wanabembea hapa fresh,wakati tumetulia samaki samaki na babe tukila prawns pilipili na saint Ana yetu pembeni.
........ Kusoma kote huko nakuwa wakwanza kwenye interview...na kukusanya mapato makubwa halmashauri

Bado Huna Akili ya kuangalia lipi linamanufaaa kwako nalipi halina...

Bora yangu Mimi Elimu yangu inanisaidia kutumia smartphone tu
 
Back
Top Bottom