Hii simu ijae picha zangu tuuu

Hii simu ijae picha zangu tuuu

Demu Kama huyo na uhakika kwanza anaweza kumaliza miez 6 bila hata kutongozwa kwahiyo ukijichanganya tegemea kung'ang'aniwa na kuandamwa kila sehem, anaweza hata kulipa watu wakufatilie
Soko lao gumu sana kwahio atajitahidi kuku keep kwa gharama yeyote tu.
 
Aisee mada nyingine ngumu sana kuchangia nataka nichangie unachotaka wewe ili ujisikie walau vzr maana ni week ya kuchanganyikiwa hii anyway nachotaka unielewe mimi sijaelewa kwanza anavyomwelekeza matumizi ya simu huku anaiangalia mboto ni kweli anamaanisha simu au dudu nijuzwe nina dirty mind kinyana
Inawezekan ni duduwash
 
Naskia ni mtoto wa mwenye gari za luwinzo
Unyalukolo moja hyoo
Niliwaza hivi pia, mara nyingi wanawake ambao anaolewa anahisi yeye ana uwezo zaidi ya mumewe wanakuwa hivyo... hii ndoa mwanaume atateseka sana, mwisho ni ulevi na kuwa na mwanamke nje...mke ataishia kisirani tu.
Mke hana busara kabisa.
 
Hahahah huo ndio ubaya wa vimodo, huwa vinatakaga kumiliki mwanaume kama mali yake. Atataka ajue upo wapi na nani kila mda, ukichelewa gubu, yani vikorofi sana videm vyembamba.
Si kweli 🤨
 
Labda amependa ndani...si mnasemaga wembamba huwa ni watamu ndani??
Ni kweli mwanamke anaolewa kutokana na tabia yake na siyo muonekano wake maana hata awe mzuri vipi ukikaa nae siku mbili tu utamzoea na kumuona wa kawaida inabaki unaishi kutokana na tabia yake.

Sasa huyu manzi kwanza uzuri hana alaf hata tabia inaonekana ni mtu ambae ni mropokajimropokaji na makelele kibao, Hawa ndo wale wanawake wanaofanya mwanaume usitamani kurud nyumbani kutokana na kelele za mke
 
Demu mmbovu una ball nae vipi kama hajiongezi? Hapo kujinunulisha iphone 13 ni kujikosha tu maana wengi wanaogopaga na kuhisi unaweza mkacha anytime sababu umemuacha sana kimvuto.

Au saingine unakuta homeboy yuko Ngaa apeche bin alolo so demu anamuweka updated.
Yaniii unajua kunyaliii 😉
 
Ni kweli mwanamke anaolewa kutokana na tabia yake na siyo muonekano wake maana hata awe mzuri vipi ukikaa nae siku mbili tu utamzoea na kumuona wa kawaida inabaki unaishi kutokana na tabia yake.

Sasa huyu manzi kwanza uzuri hana alaf hata tabia inaonekana ni mtu ambae ni mropokajimropokaji na makelele kibao, Hawa ndo wale wanawake wanaofanya mwanaume usitamani kurud nyumbani kutokana na kelele za mke
Wanaitaga gubu, ila namuita control freak kwa kizungu. Uko wapi, unafanya nini, mbona hujarudi mpaka sahizi, kwahio mi na marafiki zako nani muhimu, ntakukomesha ww hunijui vizuri naona. Bwana harusi haya ayategemee kama sehemu ya maisha yake.
 
Wanaitaga gubu, ila namuita control freak kwa kizungu. Uko wapi, unafanya nini, mbona hujarudi mpaka sahizi, kwahio mi na marafiki zako nani muhimu, ntakukomesha ww hunijui vizuri naona. Bwana harusi haya ayategemee kama sehemu ya maisha yake.
Naskia bint ni mtoto wa mmiliki wa ma bus flan inawezekana muhuni anaskilizia mchongo tu.
 
Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.

Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....

Kaka kazi unayo

Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Hakuna watu wenye masharti magumu kama wanawake, sasa ajichangaye huyo mwamba ndio ataelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom