Hii simu ijae picha zangu tuuu

Hii simu ijae picha zangu tuuu

Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.

Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....

Kaka kazi unayo

Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Ila wanawake bwana! Hapo mwenyewe kafuraaaaahi!

Ushauri wa bure kwa huyo brother asitegemee kupata furaha kutoka kwa mwanamke never never never!
 
Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.

Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....

Kaka kazi unayo

Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Hawa bado watoto, wameoana wakati either wote ni immatured or mmoja wao
 
Jamaa kaingia cha kike.
Atanuswa mpaka mbupu akichelewa kurudi nyumbani.

hutu tumtu tulikokosa nyama huwa tunajikuta tubabe balaa.

Hivi ndio ile design ya nipige sasa kama wewe mwanaume kweli, halafu ukikandika konzi moja tu kinatundikiwa drip.
Jamaa ajipange hasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom