Hii simu ijae picha zangu tuuu

Hii simu ijae picha zangu tuuu

Nimeishia kusikitika tu. Bwana akaujenge huu mji mwenyewe. Nazidi kujifunza kwamba..unapokuwa mbele za watu, either uwe mkimya kabisa aka samaki maji mdomoni. Ama kama utaongea basi akili na mdomo viwe na connection. Sana sana maneno ya kuongea mbele za watu ni Asante, Samahani, pole sana, au maneno ya baraka. Lakini hizi niaje hizi huwa wanawake wengi tunajichanganya. Ogopa Mungu afu ogopa mitandao....
 
Kumbe ulishawakagua...ila ja weweeeeeeee 🤣🤣🤣
Demu mmbovu una ball nae vipi kama hajiongezi? Hapo kujinunulisha iphone 13 ni kujikosha tu maana wengi wanaogopaga na kuhisi unaweza mkacha anytime sababu umemuacha sana kimvuto.

Au saingine unakuta homeboy yuko Ngaa apeche bin alolo so demu anamuweka updated.
 
Hahahah huo ndio ubaya wa vimodo, huwa vinatakaga kumiliki mwanaume kama mali yake. Atataka ajue upo wapi na nani kila mda, ukichelewa gubu, yani vikorofi sana videm vyembamba.
Demu Kama huyo na uhakika kwanza anaweza kumaliza miez 6 bila hata kutongozwa kwahiyo ukijichanganya tegemea kung'ang'aniwa na kuandamwa kila sehem, anaweza hata kulipa watu wakufatilie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom