ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Alafu mwanamke ana mdomo mdomo sio type za kuoa hizo. Jamaa kaoa Manara wa kike
We need a backupOne man down
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Anakuwekea ma spy wa kufuatilia nyendo zako hii kali sanaDemu Kama huyo na uhakika kwanza anaweza kumaliza miez 6 bila hata kutongozwa kwahiyo ukijichanganya tegemea kung'ang'aniwa na kuandamwa kila sehem, anaweza hata kulipa watu wakufatilie
Aisee noma sana ndio maana mwanamke anaset condition.!Umuache huku unatumia Subaru Forester yake kuvimbia Samaki Samaki🤣 dogo hayo ni maisha yanapiganiwa.
Ajira zimekuwa ngumu sana.
Kuna uwezekano mkubwa ile million 3 aliolipa mahari imetoka kwa demu wake huyo huyo.
Kamuokoeni mwenzenu anaangamiaWe need a backup

Yani hapo ni kwamba jamaa ni mjumbe ndio na hana jinsi maana mwanamke ana kisu japo hana adabu ila mwamba analazimika kuvumilia tu. Yale yale ya BenPol na Anerlisa ni swala la muda tu.Aisee noma sana ndio maana mwanamke anaset condition.!
Kama MABESTE na mama Kendrick!..au LUKAMBA sijui na yule mazi wake walioachana,..wanawake wembamba wanashida sana.Hahahah we unashangaa hilo wakati wengine wanalipiwa hadi mahari kabisa na wake zao.
Noma sana ukosefu wa pesa za kutosha nayo ni aina ya laana. Mtu mzima anadhalilika hapo.Yani hapo ni kwamba jamaa ni mjumbe ndio na hana jinsi maana mwanamke ana kisu japo hana adabu ila mwamba analazimika kuvumilia tu. Yale yale ya BenPol na Anerlisa ni swala la muda tu.
Dada mtata huyo, jamaa anamwambie nimekuelewa anamlazimisha ajielezee
Aah ani dakika za mwanzo tu unaleta mzozo, huyo alitakiwa apate yule jamaa wa "SITAKI SHOWOFF" ndio wangeenda sambamba![]()
Nitakua wa kwanza kabisa kujitoleaKamuokoeni mwenzenu anaangamia![]()
men will always be men. wanaume hata akiwa bwegeee, ila ni mjanja mjanja hongera kwa me wote dunia hasa wale wenye utashi wa kimazingira.Hahahahahah mwamba kampaka wese, eti hahaha.... Mke wangu mtarajiwa najua unajua matumizi mazuri ya simu kwahio usihofu nitaitumia kwa matumizi sahihi 🤣🤣🤣 yani hamna alichoongeza ila kazunguka mbuyu tu
Na hivyo ndivyo ndugu zetu wanapendaga yani uwe mtu wa kabobo 🤣🤣🤣men will always be men. wanaume hata akiwa bwegeee, ila ni mjanja mjanja hongera kwa me wote dunia hasa wale wenye utashi wa kimazingira.
Faiza Ally mnamuacha wapi 😀😀😀Kama MABESTE na mama Kendrick!..au LUKAMBA sijui na yule mazi wake walioachana,..wanawake wembamba wanashida sana.
Ile mazi hapana aisee, uzuri ilikutana na Kiburi(SUGU).!Faiza Ally mnamuacha wapi 😀😀😀
Acheni kelele. Order 😆
Hahahah Sugu alivumilia sana kama drama ndio zilikuwa zile ndani ya nyumba.Ile mazi hapana aisee, uzuri ilikutana na Kiburi(SUGU).!
Hahahah, yani mazi inaonesha mpaka inavyojifungua!Hahahah Sugu alivumilia sana kama drama ndio zilikuwa zile ndani ya nyumba.