Hii simu ijae picha zangu tuuu

Hii simu ijae picha zangu tuuu

Mc aliepost kaamua kuifuta hii clip. Na kuna post kafunga comments. Kama yule dada kaona zile comments ama wazazi watakuwa wamemwambia MC azifute post. Naona waja walishamshambulia kule Insta. Hatupoi hatuboi.

Ila hapa kuna wanaume mnacommnt kuwa jamaa ni fala, ukute baina yenu yuko jamaa hapo. Aliyejichekesha akiambiwa ajieleze. Ni vile hatujuani kwa Sura 😝
 
W
Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.

Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....

Kaka kazi unayo

Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Wanawake wa kileo hao, sifa yao kuu ni ujuaji, mabishano, shari shari na kupenda mizozo yani hata siku ya kwanza tu ya harusi mizozo.
 
Mc aliepost kaamua kuifuta hii clip. Na kuna post kafunga comments. Kama yule dada kaona zile comments ama wazazi watakuwa wamemwambia MC azifute post. Naona waja walishamshambulia kule Insta. Hatupoi hatuboi.

Ila hapa kuna wanaume mnacommnt kuwa jamaa ni fala, ukute baina yenu yuko jamaa hapo. Aliyejichekesha akiambiwa ajieleze. Ni vile hatujuani kwa Sura 😝
Wacuba tulishaidanlodi mudaa
 
Demu Kama huyo na uhakika kwanza anaweza kumaliza miez 6 bila hata kutongozwa kwahiyo ukijichanganya tegemea kung'ang'aniwa na kuandamwa kila sehem, anaweza hata kulipa watu wakufatilie
 
Aisee mada nyingine ngumu sana kuchangia nataka nichangie unachotaka wewe ili ujisikie walau vzr maana ni week ya kuchanganyikiwa hii anyway nachotaka unielewe mimi sijaelewa kwanza anavyomwelekeza matumizi ya simu huku anaiangalia mboto ni kweli anamaanisha simu au dudu nijuzwe nina dirty mind kinyana
Mkuu umelewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom