Hako kabint ni Bab ake Ni tajiri Wenda lkn ,ndio hvyo havinaga maadili na Bab ake ajawai kumchenjiaa au kumfokea utasiki Bab akisa Sarah stoop tokea amezaliwa hajawai kufukewa hvyo lzm jmaa apelekeshwe putaJamaa si anakuwaga mbali site huko, michepuko lazima anayo sema kwa style nayoona huyu dada ni kwamba ndiye amefosi kuolewa haraka haraka maana ni control freak. Mwanamke mwenye guts za kuongea hivyo mbele za watu itakuwaje mkiwa mko mtu bee mjengoni? Mbaya zaidi ndio awe na hela zaidi weee.
Samahani dada nikuulize????Huyu uchumi wake upoje??????Maana sisi wanaume wenye ndevu ni mwiko kwa mwanamke kuongea vile tena mbele ya hadhara!!!!!Na huo ujasiri kautoa wapi kuongea vile??????tena kwenye stage ya uchumbaHayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.
Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....
Kaka kazi unayo
Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Eti soko lao gumu Sanaa nyieee wanaumee😂😂😂😅Soko lao gumu sana kwahio atajitahidi kuku keep kwa gharama yeyote tu.
Changamoto sna hyo mkuuHahahah huo ndio ubaya wa vimodo, huwa vinatakaga kumiliki mwanaume kama mali yake. Atataka ajue upo wapi na nani kila muda, ukichelewa gubu, yani vikorofi sana videm vyembamba.
🤣🤣🤣🤣🤣 Dirty mindAisee mada nyingine ngumu sana kuchangia nataka nichangie unachotaka wewe ili ujisikie walau vzr maana ni week ya kuchanganyikiwa hii anyway nachotaka unielewe mimi sijaelewa kwanza anavyomwelekeza matumizi ya simu huku anaiangalia mboto ni kweli anamaanisha simu au dudu nijuzwe nina dirty mind kinyana
Hapo hakuna mwanaume kuna mvulana hapo!!!!Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.
Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....
Kaka kazi unayo
Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
One man downJamaa si anakuwaga mbali site huko, michepuko lazima anayo sema kwa style nayoona huyu dada ni kwamba ndiye amefosi kuolewa haraka haraka maana ni control freak. Mwanamke mwenye guts za kuongea hivyo mbele za watu itakuwaje mkiwa mko mtu bee mjengoni? Mbaya zaidi ndio awe na hela zaidi weee.
Praying that you get a quick recoveryWe Acha tuu
Sina hamu na dunia na mambo yake kabisaaa.
Ila kuna dawa nimepata zitanisaidia pakubwa
Kipenda roho 🤣🤣🤣Huyo mdada kazingua sana
Unamkomandieje mwanaume wako hivo? Tena mbele ya hadhira!
Huko ndani mwanaume huenda atajuta kumfahamu huyo mdada
Naona kala nyama mbichi aseeKipenda roho![]()

Hahahahahah mwamba kampaka wese, eti hahaha.... Mke wangu mtarajiwa najua unajua matumizi mazuri ya simu kwahio usihofu nitaitumia kwa matumizi sahihi 🤣🤣🤣 yani hamna alichoongeza ila kazunguka mbuyu tuUkitaka kujua kuwa wanaume ni wanasiasa kutoka moyoni, jaribu kuangalia na kusikiliza iyo video mara mbili mbili.
Hahahah kumbe vimodo mpo humu pia 🤣! Naweza kusema si wote ila wengi mnatutesaga jamani. Ukiangalia tako tu ukiwa naye ujue umetafuta ugomvi.Si kweli 🤨
Mpuuzi sana huyo mwanamke. Siku magonvi yakitokea ama akikuta pic zingine atakuwa ana refer hiyo clip. What a f.ckDada mtata huyo, jamaa anamwambie nimekuelewa anamlazimisha ajielezee
Aah ani dakika za mwanzo tu unaleta mzozo, huyo alitakiwa apate yule jamaa wa "SITAKI SHOWOFF" ndio wangeenda sambamba![]()
Umuache huku unatumia Subaru Forester yake kuvimbia Samaki Samaki🤣 dogo hayo ni maisha yanapiganiwa.Yani nianze kuulizwa maswali mengi kama nipo kituo cha polisi na huyo mwanamke. Na kupewa masharti kama ya bwana jela?
hakika ningemuacha sahiyo hiyo gaderm shit. Jemed.
"...man down over"Hayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.
Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....
Kaka kazi unayo
Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447