Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,083
- 125,944
Daktari wa kukaanga 😂Daktari shift ya mchana🤭
Daktari wa kukaanga 😂Daktari shift ya mchana🤭
Ingekuwa ni mimi ningekupm chap kuomba usizuie kaka ujue nashida sana mwenzio🫢Ngoja nizuie transaction
Kuna uzi aliwahi kusema anakaa sinzaIla mbaga umejuaje anakaa sinza lakini😁 dada wa watu anajisitiri mpaka kaanzisha uzi unakuja kumpondea huku sio sawa🤭
Vipi shemeji 😁
Dahh hapo kazi kwako sasa mkuu😑Kuna uzi aliwahi kusema anakaa sinza
Si inang’aa tu shemeji😬Umejuaje kama bado mpya shemeji?
Mchangie pesa ya hospitaliPole sana kijana kwa changamoto hiyo kafanye vipimo upate na Dawa
Aimen! 😎 (Kwa sauti ya Moses Maghembe).
Kwa leo siko vizuri baadhi ya watu naona wameshika mkono aanze na hichoMchangie pesa ya hospitali
Pamoja mkuu!Kwa leo siko vizuri baadhi ya watu naona wameshika mkono aanze na hicho
Kwani mkuu ulikuwa umeomba kuchangiwa? Mimi hoja yangu imejikita kwenye kuonesha maungo yako ya siri! Hata kama unaumwa huwezi kuonesha hadharani kiasi hicho. Hiyo ilitakiwa ni wewe na mkeo au Daktari wako! Umevuka misingi ya uafrika wetu!Chuki yote hii ya nini hata hatujuani?
Jamiiforums ina watu wema na wabaya.
Mpaka sasa wadau wawili wamenichangia wote jumla 35k
Ningekaa kimya na maradhi , ningepata wapi huo wema?
Au ulitaka usikie TANZIA alafu uandike R.I.P daah kwanini hakusema?
Mungu ni mwema, nitapona tu.
Ona hii takataka nayo! Hivi unaona huo ni utu kuonesha dhakari hadharani? Ndiyo maana ikaitwa sehemu za siri! Kwani lengo lake kuonesha ilikuwa apate mchango wa fedha? Basi kama ni hivyo vijana wa Tanzania mna kazi aisee mmefika mahali mnavua utu wenu shauri ya pesa?Acha ujinga asee, bila shaka wewe ni jitu kutoka ile Kanda ,Kuna shida gani mtu kuonesha tatizo lake? Mtu afe kisa anakuogopa wew?
NB ya sugu inakuhusu
Kumbe zilizotumika hazing'ai shemejiSi inang’aa tu shemeji😬
Dah!!Haya bhanaHahahha zimepauka hizo🤣
Bhasi tu huwa nafurahia uwepo wako shemeji,wewe ni mcheshi sana.Kwanini😁
Asante shemeji karibu sana😁Dah!!Haya bhana
Bhasi tu huwa nafurahia uwepo wako shemeji,wewe ni mcheshi sana.
Nikaribie moyoni na hadharani?Asante shemeji karibu sana😁
WartsNilijua ni fungus,
Popote kambi tu shemNikaribie moyoni na hadharani?