AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 12,241
- 20,543
Mwanetu umeshikwa pabaya mpaka umeanika dushe, ngoja nikupe CODE
Siku nyingine ukiugua Gonjwa lolote la sehemu za siri iwe mapele sijuii mijibu na mabakabaka yale yasiyopona hata upake maji ya battery fanya hivi nenda Pharmacy kubwa zile wahudumu wanakua wengi km sio 3 basi 4 mpaka 5 kuna chumba cha uangalizi kipo mule pale kuna wanaume na wanawake dawa zipo za kumwaga hakikisha una kibunda mfukoni mvute mwana ulie muelewa sio manzi pale kunakua na manzi na vijana km wewe mvune mwana ongea nae atakwambia tuingie mule ingia nae atawasha taa atavaa gloves chojoa nguo zote mwonyeshe akukague hapo unakua umejianika kwa mtu mmoja sio watu million 1, mwamba lazima atakuandika dawa ya kukuponya maana wale jamaa ni wanajua balaa baada ya kupewa dawa ukitumia ndani muda wewe umepona safi kabisa
Hio ni CODE simple sana nikiumwa gonjwa silielewi na limetokea maeneo nyeti hua natumia mbinu hio nawahi Pharmacy kubwa fasta nikimkuta mwamba yoyote niliemuelewa nalonga nae sio manzi hakikisha unaongea na mwanaume mwenzio maana mwanaume mwenzio kukukagua kujua ugonjwa sio big deal na haina aibu km ilivyo ukienda kwa manzi ataanza maneeno ya kingesengese mwamba atakukagua vizuri na atakupa dawa ya kukuponya na utapona ningekushauri uende hospital ila sometimes hua tunakwepa zile process za kujaza makadi na kusimama kwenye foleni wakati una issue zingine za kufanya
The Bittersweet truth from your Minor League Coaches.
Siku nyingine ukiugua Gonjwa lolote la sehemu za siri iwe mapele sijuii mijibu na mabakabaka yale yasiyopona hata upake maji ya battery fanya hivi nenda Pharmacy kubwa zile wahudumu wanakua wengi km sio 3 basi 4 mpaka 5 kuna chumba cha uangalizi kipo mule pale kuna wanaume na wanawake dawa zipo za kumwaga hakikisha una kibunda mfukoni mvute mwana ulie muelewa sio manzi pale kunakua na manzi na vijana km wewe mvune mwana ongea nae atakwambia tuingie mule ingia nae atawasha taa atavaa gloves chojoa nguo zote mwonyeshe akukague hapo unakua umejianika kwa mtu mmoja sio watu million 1, mwamba lazima atakuandika dawa ya kukuponya maana wale jamaa ni wanajua balaa baada ya kupewa dawa ukitumia ndani muda wewe umepona safi kabisa
Hio ni CODE simple sana nikiumwa gonjwa silielewi na limetokea maeneo nyeti hua natumia mbinu hio nawahi Pharmacy kubwa fasta nikimkuta mwamba yoyote niliemuelewa nalonga nae sio manzi hakikisha unaongea na mwanaume mwenzio maana mwanaume mwenzio kukukagua kujua ugonjwa sio big deal na haina aibu km ilivyo ukienda kwa manzi ataanza maneeno ya kingesengese mwamba atakukagua vizuri na atakupa dawa ya kukuponya na utapona ningekushauri uende hospital ila sometimes hua tunakwepa zile process za kujaza makadi na kusimama kwenye foleni wakati una issue zingine za kufanya
The Bittersweet truth from your Minor League Coaches.