- Thread starter
- #261
Hapana, sijapokea huo muamala.Kapokea jamani nimeiona uthibitisho kule juu
Hapana, sijapokea huo muamala.Kapokea jamani nimeiona uthibitisho kule juu
Nitake radhi,, hako kauchafu hakapo kwenye simu yangu.Ila we bimkubwa hako kadudu futa kwenye simu. Watoto wataona hapo nyumbani. 😊
Hajapokea, huyo mtu wa shirikisho kaleta usanii tu kutuonyesha picha halafu hajathibitisha muamala 😂Kapokea jamani nimeiona uthibitisho kule juu
Red black umezingua!Hapana, sijapokea huo muamala.
Tuma picha mambo kwa ushahidiJaman na mm n mgonjwa, naombeni msaada baada ya kujitibu atokee mdhamini wa kunibless 😎
Tumsubiri ajibuHajapokea, huyo mtu wa shirikisho kaleta usanii tu kutuonyesha picha halafu hajathibitisha muamala 😂
Red black umezingua!
View attachment 3590581
Unakaita kauchafu wakat Ndo uhai wa jamaa hapo 😂Nitake radhi,, hako kauchafu hakapo kwenye simu yangu.
Yangu hamtoweza kuitazama n nomaTuma picha mambo kwa ushahidi
Nitake radhi,, hako kauchafu hakapo kwenye simu yangu.
Hebu tulia we mzeeLakini si unajua nina presha mjukuu, mbona hivi jamani 😜
Nilikuonaga selfika nikapita kimyaaaaa.Yangu hamtoweza kuitazama n noma
Zitume hebu nijichimbie madini mie😆Sasa je 😊
Usijari kipenzi, changamsha genge tu hapa.Sawa, niwie radhi bimkubwa. 😊
Usijari kipenzi, changamsha genge tu hapa.
Kwani ke ana dhakari? Mbona unauliza maswali ya kipumbavu hivyo?Jinsi yako tafadhali
Kabisaaa. Hakuna kuwa na stress za kizembe zembeKweli, tuchangamke hapa tucheke, tusogeze siku mbele. 😁
Kuna watu vichwa panzi! Utaoneshaje sehemu za siri humu ndani utafikri Sisi ni madaktari? Anafikri hivyo ndivyo atawatamanisha masista hapa ndani? Jitu lenyewe limeshaambukizwa kisonono nani atalitamani? Hovyo kabisa! Na mods nao utafikri wanafurahia uchafu huu!Futa hii taka taka yako humu , nenda hospital gadeim 🚮
Mpaka hapo tu ushanirusha roho😮💨Nipm nikurushee roho
Hujamalizana na mshangazi hebu tulia kwanza hapo😁Nipigie, nimalize hilo jambo