Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

Mkuu........yeye si atanaka tuchangie........tunachangia sasa! mbona ameingia mitini!!
:A S 112::A S 112:
Ngoja tumchangie leo zifike hata alfu afurahii lol....
Never see CRAP like this....!!:A S 112:
 
kOKUDO thread yako imenifanya nicheke sana banaa l.o.l binafsi sina kinyongo na wewe na thread zako huwa nachangia kama mchango wangu huwa ni mdogo kwenye thread zako nitaongeza juhudi l.o.l
 
inawezekana topic zao ni kali sana na zinavutia watu humu JF hasa jukwaa la mapenzi.

Sababu nyingine wameenda kwa sangoma ili post zao zipate wachangiaji.......joke wazee:wink2::hand:
Ahaaaa ahaaaa ahaaaaa:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Yani wivu hadi kwenye thread??

Kokudo, kaza buti, cha maana ni kama unafikisha ujumbe wako kwa jamii.... dont worry kabisa

days will come
Ngoja leo tumjazie page mkuu!! kwani kuna gharama basi kucheza na keyboard??
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

Ukiona watu hawachangii sredi uliyoanzisha ujue HAINA MASHIKO.....Kuhusu muda wa members ndani ya JF angalia joining dates zao utajua wana muda gani......
 
Nahakikisha hii thread leo inafika page hadi ya 20 l.o.l
 
Kokudo anaweza kuwa na hoja nzuri tu hapa. Sina hakika na uwasilishwaji wake ila anachokisena kipo na kipo wazi kabisa.
 
Ukiona watu hawachangii sredi uliyoanzisha ujue HAINA MASHIKO.....Kuhusu muda wa members ndani ya JF angalia joining dates zao utajua wana muda gani......
Mkuu Balantanda usipotee sana kamanda tunakumiss na zile zetu za middle school ujue!!
Kakudo lea ameomba indirect thread yake ichangiwe ngoja tumjazie posts leo!
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

Na wewe una miaka mingapi ndani ya JF? Watu tumetongoza,tumechumbia,tumeoa,tumezalisha mpaka wengine tunaitwa babu Aspirin na wala hatubabaiki kama posts zinajazwa page mia au la...FUATA NYAYO ZA NOTE ENOUGH..naskia kesha anzisha Jf yake mbagala.
 
duh,ovyo sana wewe.....mimi sijawahi acha changia thread kama naweza.....thread nyingine simply sina cha kuchangia sasa wataka nifanyeje??

We endelea tu na fikra zako potofu....nimekuja JF Nov 2010 nina post 3000+ unasema nabagua cha kuchangia? we mgonjwa,tafuta tiba!!!
 
Yani wivu hadi kwenye thread??

Kokudo, kaza buti, cha maana ni kama unafikisha ujumbe wako kwa jamii.... dont worry kabisa

days will come

Nimecheka mpaka basi na thread zake mbili nimezisogeza karibu
 
Mkuu Balantanda usipotee sana kamanda tunakumiss na zile zetu za middle school ujue!!
Kakudo lea ameomba indirect thread yake ichangiwe ngoja tumjazie posts leo!
Hommie hebu fanya fanya hii thread ifike page ya 20 mbona unachelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom