A date with you later on tonightMhh Honey we ujifungie ndani tuu kila siku nani aje kwako lol:wink2:
Endelea kuchangia tunafanya harambee hii THREAD leo ifike page ya 20kasomeni mi-thread yake yote tumechangia...leo analalamika uongo,mwanaume gani unapenda attention za lazima kiiivyo? kama tunakukera hama kabisaaa sie tupo sana tu hapa ndo nyumbani.......!!!!
Mamito punguza hasira, mbona tumeshafikisha page ya tatu..leo atafurahi mwenyewe!! lol...kasomeni mi-thread yake yote tumechangia...leo analalamika uongo,mwanaume gani unapenda attention za lazima kiiivyo? kama tunakukera hama kabisaaa sie tupo sana tu hapa ndo nyumbani.......!!!!
kasomeni mi-thread yake yote tumechangia...leo analalamika uongo,mwanaume gani unapenda attention za lazima kiiivyo? kama tunakukera hama kabisaaa sie tupo sana tu hapa ndo nyumbani.......!!!!
aiiiiseeeeeeeeee..LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi
Ongeza spidi na wewe mimi nimeingia sheli kuongeza mafutaAngalau naona page ya tatu ishafika Kimey, TF kaza buti
A date with you later on tonight
But don't deny me that thing you know what i mean...Ohoo thats sweet
Hivi si naweza kuituma kwa FEDEX au DHLVipi Albatar yangu wewe
homu boyi na Thanx tumpatie ama? akimaliza hii anaweza kuja kusema tunamnyima thanx...Endelea kuchangia tunafanya harambee hii THREAD leo ifike page ya 20
To me you just sound absurdWatu kweli mmeguswa. Msingeguswa wala msingewaka!!
inawezekana topic zao ni kali sana na zinavutia watu humu JF hasa jukwaa la mapenzi.
Sababu nyingine wameenda kwa sangoma ili post zao zipate wachangiaji.......joke wazee:wink2::hand:
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi