Nina mpango wa kuja Blue LagoonHahahahahahaha siamini imefikia pages zote hizi, ama kweli harambee imelipa
<br />Virgmark Hotel (shy town)saa 2 ucku na kuendelea karibuni
<br />
<br />
Peleka Karena bana kuna upepo sana pale. Seif hotel mmh Butiama nako aah
<br />Dena Amsi umeshika lindo hadi sa hizi pole kapumzike. Acha Finest na Hashycool wafanye doria, then Kokudo aingie night shift.
Dena Amsi umeshika lindo hadi sa hizi pole kapumzike. Acha Finest na Hashycool wafanye doria, then Kokudo aingie night shift.
Kha!we dena mpaka huku unakujua?Karena kulishachuja sasa hv ni Liga,katemi,virgmark nk umenifurahsha sana.kwani we uko pande zipi hapa tz?mama yngu hizi nickname unaweza kua hata jirani yangu alafu ckujui.<br />
<br />
Peleka Karena bana kuna upepo sana pale. Seif hotel mmh Butiama nako aah
dearest chetuntu...
<br />
<br />
Mie mpaka kieleweke
Sema mobali ya ngenge!!!
<br />
<br />
HC mdogo mdogo
chetuntu mbona unapenda kunikwaza lakini u know what i am talkin aboutOk, basi ngoja nikuandalie hata fruit puree kidogo.
nipe habari shelii wangu wa nguvu
Word up!!!!!!DA Tafadhali....l.o.l
Kwani wanacheza leo l.o.l halafu wewe unataka:spider::spider:Hivi jamani mbona hamchangii kwenye thread yangu?acheni ubaguzi....si vizuri,umesikia wewe Chetuntu,TF,Kokudo na Hashycool?
Manchester United my a.....!:A S 13: