Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,417
kijana hebu fafanua kwanza, wakati yapi yanaanza?Wakati yote yanaanza C6 hakuwepo....
copy: charminglady
Last edited by a moderator:
kijana hebu fafanua kwanza, wakati yapi yanaanza?Wakati yote yanaanza C6 hakuwepo....
ivi nani ni mwenyekiti rasmi wa mahusiano chitchat? maana majuzi Erickb52 aliibuka hapa na mkewe wakatangaza kujitwalia madaraka, leo wewe unatangaza ndoa, ivi nyie mmetufanya sisi watoto enheeeeeee?Ndugu wanajamvi kwa mamlaka niliyopewa na niliyojiongezea mimi mwenyewe nachukua fursa hii kutangaza RASMI ndoa kati ya nitonye na bibie Arabela itakayofanyika siku ya keshokutwa jumamosi tarehe 31/08/2013 huko kijijini kwao Kyabakali mkoani Kagera, Wote mnakaribishwa.. Kwa wale mtakaohudhuria harusini wasiliana na Bishanga na kyanaKyoMuhaya kwa ajili ya usafiri wa ndege ya kukodi hadi kijijini, kwa mlioko Mwanza wasilianeni na charminglady kuna boti ya kukodi pale iko standby, wakati huo KakaKiiza anawasiliana na wakala wa fastjet kwa ajili ya usafiri toka Dar, Arusha na Kilimanjaro.
Kwa sababu za kiusalama zubedayo_mchuzi na Mamndenyi hawataruhusiwa kuhudhuria..
Mtakaohitaji kutoa michango tumeni kwangu mwenyekiti kwa M-Pesa, Tigopesa na Ezypesa..
Wakatabahu
Baba V
The Life chairperson.
Lady doctor amekuwa mswahili sana...nadhan u doctor wake ni PhD ya Kiswahili...
my wii we acha, nilijikuta nageuza gari kurudi home
Ehee..Natakiwa kufanya yale maandalizi yetu? au ujio huu ni tofauti....hakikisha Heaven on earth hajui...
na Arushaone pia asijue........
Hebu niambie yote my dear.....
mwe kuna ya kunoa tena vifanyio lol
Naangalia tu..Inabidi tupange muda tumalizie yale mazungumzo yetu.......
Mwanzo wa muviHujawahi kuona?
Usaliti unaanzawe upitie home baadae,leo siendi kokote......,
MakubwaUko peke yako?
Yamekua hayo..Niko peke yangu,ntaruhusiwa kukagua kifanyio kama kimenolewa ipasavyo!!!!!!!
Udhalilishaji..Utamuazima na yeye,naona kimekuwa butu siku hizi
Mke wa mtu sumu..hiki kifanyio ukikigusa lazima unase.....
Naangalia tukwa upepo uendavyo naona watanasa wengi!!!!!!!!!
Chunga tamaa mbayaNaweza msaidia kutimiza wajibu wake....hapo vipi.
SweetVin Diesel we ni noma aiseee
Hata siaminiU-noma wangu u wapi tena....wewe usipokuwa upande wangu mambo yangu yote yataniharibikia....
Lady doctor, Baba Vmie mbona niko upande wako toka day one............
Hata wewe!?madoctor wenzie wanafanyaga kweli,mgonjwa yuko mahututi anahitaji
tiba yake halafu yeye anakuwa hatokei
Mwaaaah mwaaah....kamata mabusu hayo tasavali....
Hadi sasa siamini Lady doctor kaniacha kwenye mataa ya ubungo....
Ehee..
Naangalia tu..
Mwanzo wa muvi
Usaliti unaanza
Makubwa
Yamekua hayo..
Udhalilishaji..
Mke wa mtu sumu..
Naangalia tu
Chunga tamaa mbaya
Sweet
Hata siamini
Lady doctor, Baba V
Hata wewe!?
ulipofika ni pabaya. Heaven on earth unanisaliti. Tangia mwanzo nlikua najifanya sioni. Kwa taarifa yenu hata pm mlizo tumiana nmeziona. Kweli akufukuzaye hakuambii toka. Sikujua Heaven on earth kama ungefanya uasherati mbele ya macho yangu. Sijui nani kawaloga wanawake. Nmeudhika sana. Kumbe ndo mana naona nadharauliwa.
Asante sana Heaven on earth. Nlikupenda sana. Mia
kijana hebu fafanua kwanza, wakati yapi yanaanza?
copy: charminglady
Nikuongezee mwengine?
Najua weakness yako Heaven on earth....
naona umekasirika, basi leo ntakuja
man to man, we funguka hapa charminglady atniambia baadae nikitoka kaziniMuulize charminglady....atakueleza yoote..
kwa hiyo sa hivi hunipendi tena!!!!!!!!
kwani umezidiwa sana Vin Diesel???
Muulize charminglady....atakueleza yoote..
Majanga makubwa.
Hata mimi nakufuatilia ujue.
Yaani hakuna kama wewe Heaven on earth...dunia nzima