Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

hahahaaa... Basi tufichiane siri atii, nami yule prezidaa wangu mtarajiwa asije akajua kinachoendelea, sawa!!!![/QUO

usijali my dear! nna kifua sana!!! ila jemedari wako hawezi kukuacha kabisa!!! atapewa "tiba" na nani!!!!

yule jemedari wangu namuogopa, kuna siku alinipiga kofi mbele ya Mamndenyi eti kisa nimemmis x wetu.
 
Last edited by a moderator:
my wii, mie waaala sitaki kifanyio mwenzio, kuna biznesi ninataka tufanye kwa rum kwake, inahitaji ziro distensi ili tuweze kufanikisha...... Si unajua mambo ya biashara haramu yanavyohitaji usiri?

mwe wii wangu bussiness kama hiyo nataka nijadiliane na prezidaa sijui ntaruhusiwa
 
Maisha lazima yaendeleee.....
Tukirudi kwenye mada....natarajia kuoa wake wanne kwa mpigo....nafasi zi wazi...ma ex hawaruhusiwi kuomba nafasi...kuna nafasi ya kupasha kiporo...watabanana hapo

Angalia usije ukakimbia na boxer mkononi, wanawake wanne utaishia kuchovya vidole tu
 
Back
Top Bottom