Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,331
- 4,956
I know my dear....fikiria mie nina hali gani....
sitaki hata kujua! itaniathiri zaidi---pole sana!!!
:focus: so umekuja kuoa tena wake wanne??? ma ex wako tunajua?!?!?
I know my dear....fikiria mie nina hali gani....
sitaki hata kujua! itaniathiri zaidi---pole sana!!!
:focus: so umekuja kuoa tena wake wanne??? ma ex wako tunajua?!?!?
Hebu niambie bana....wambea watajifunza kuzoea....halafu nimekumiss dunia nzima....
Sema tu
hahahaaa unizidi mimi aisee, wambea wanazoeaga basi...... Tena sikuhizi kuna biashara ya umbea inaongozwa na Bishanga pamoja na mkewe The secretary.... Ngoja nije hapo ulipo nikuume sikio.
..........bado ninaumia sana Vin Diesel
Natakiwa kufanya yale maandalizi yetu? au ujio huu ni tofauti....hakikisha Heaven on earth hajui...
Natakiwa kufanya yale maandalizi yetu? au ujio huu ni tofauti....hakikisha Heaven on earth hajui...
Natakiwa kufanya yale maandalizi yetu? au ujio huu ni tofauti....hakikisha Heaven on earth hajui...
Heaven on earth ni wifi angu lazima nimfunge kitambaa kizito machoni, halafu tulisongeshe ila iwe siri please!
nikuulize wewe, ulipotelea wapi? Natamani nikuambie kitu lakini naogopa wambea wengi humu!
Japokuwa unakuja ila jiandae kujibu kesi.....nimekuta maneno hapa jukwaani...
sosoliso anajua kuhusu huko kuumia kwako kisa ex wako!!!!!!!!!sitaki hata kujua! itaniathiri zaidi---pole sana!!!
:focus: so umekuja kuoa tena wake wanne??? ma ex wako tunajua?!?!?
Maisha lazima yaendeleee.....
Tukirudi kwenye mada....natarajia kuoa wake wanne kwa mpigo....nafasi zi wazi...ma ex hawaruhusiwi kuomba nafasi...kuna nafasi ya kupasha kiporo...watabanana hapo
Japokuwa unakuja ila jiandae kujibu kesi.....nimekuta maneno hapa jukwaani...
hayo uliyoyakuta mbona ni machache sana
dah! we mbbbrayaaaah!!!
kifanyio umekinoa lakini?!?!?!
hayo uliyoyakuta mbona ni machache sana
kesi ipi tena??? Si nilishakuambia humu wambea wengi usiwasikilize.
tena wengi saana,namba moja nikiwa mimi wifi yako