Hatimaye nimefanikiwa kuacha punyeto

Hatimaye nimefanikiwa kuacha punyeto

Hii ni wiki yaa pili sasa tangu nimeacha huu mchezo wa CHAPUTA ingawa sio kazi lahisi sana lakini ninajikaza sana,ninafanya mazoezi,ninakuwa busy,pia nimeacha kabisa kumuangalia Mia khalifa, Cherokee Nina Rotti nk...najua members wa CHAPUTA mnawajua hao ni wasanii wakubwa sana katika tasnia yetu.
Bye bye CHAPUTA.
Ahahaa wiki mbili ushaacha unajisifu watu tuliacha hadi miezi miwili[emoji3] [emoji1]
 
Yaani chama pekee ambacho kinaweza kuitoa CCM madarakani ni CHAPUTA, maana kina wafuasi wengi hakuna mfano. Si wanawake, si wanaume. Hivi kwa nini hiki chama kisisajiliwe kama chama cha siasa.?

Heheeheheehee

Niteueni niwe Mwenye kiti nianze mchakato 2020 tuingie katika uchaguzi wa uraisi,nawa ahidi bando la luperuzi mtandaoni pamoja na smartphone na laptop Ili msipate tabu ya kuangalia mambo yetu bila kusahau WIFI kila mtaa....
 
Mkuu niko serious ujue,hiyo kitu sitaki tena.
Mkuu nakutania tu,,,
pia nakupa HONGERA kwa hizo wiki ulizofikisha kwan kuna wengine huku tunapigania KUACHA lakin statement inakuwa ile ile " dah ngoja nikiamshe leo kwa mara ya mwisho''
Afu kinachoendelea kinaeleweka,,,
 
Kuacha inawezekana.binafsi mwanzo niliona Ni ngumu lkn nilipoweka nia nikaacha toka mwaka Jana mwezi WA 9 mpk Leo.dawa kubwa Ni kuavoid kuangalia porno v.na hakikisha unakuwa Na mwenzi.
Kwa kwel mm n muangalia porno namb moja na Punyeto sitpig, niliwai kujalib miaka km miwl nyuma lakn ikanishinda, sikuinjoi chochote.

Msiwahusishe porn star kwny addiction zenu za mipunyeto
 
Daah nashkuru MLETA HUU UZI UMENIKUMBUSHA BANA..
NDOMAANA NAJIULIZA MBONA SIPATI USINGIZI KAMA MAJUZI KATI?
KUMBE NLIKUA NISHAJISAHAU KUA CHAPUTA NDO MPANGO MZIMA.NKISHUSHA VIBEE AU VI3 NA DOZI FREEEESHHH SISKII HATA MBU NA ASUBUI NAAMKA NA FULLL APATAIT YA MSOSI.
 
Mkuu nakutania tu,,,
pia nakupa HONGERA kwa hizo wiki ulizofikisha kwan kuna wengine huku tunapigania KUACHA lakin statement inakuwa ile ile " dah ngoja nikiamshe leo kwa mara ya mwisho''
Afu kinachoendelea kinaeleweka,,,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vizuri unaeelekea pazuri cha msingi dharau punyeto halafu ona kama upuuzi usiangalie porno get buzy huwezi amini amini niliacha huo upuuzi 4 years ago ila ukikua utaacha kabisa
 
kwa hiyo mkuu hata kikipita kipande cha soap hapo na picha ya Cherokee D Ass huwezi piga mgalala
 
issue ya punyote na porn iko very spiritual. hapo ndo shetani unasa watu kwa ajii ya kuhalibu hatima/destiny zao. Nakushauri uombe sana Mungu/kwa Imani yako aivunje hiyo roho ya ngono (spirit of lust) ambayo shetani kaiingiza kupitia porn na nyeto. Bila Mungu kuingilia kati itarudi tu mkuu kwani lengo la shetani ni kuku lostisha.
 
ko ww unatak ukitelekez chama sio,acha utan kijan huwez kuwaach wenzako hiv hiv kule chputa bado inakuhitaj mana mchango wako ni mkubwa xan na pengo lako halitazibika mkuu rudi tafadhli
 
Nimesoma page ya 1,2 ,3 nikachekaa sanaa, nikaruka hadi page 12 pia nikachekaaa nikamalizia na page ya mwisho nikakutana na mwanachama mkongwe kastaafu Uanachama
 
Back
Top Bottom