Hatimaye nimefanikiwa kuacha punyeto

Hatimaye nimefanikiwa kuacha punyeto

Hivi mnapata hisia kabisa hadi unamaliza shida yako!!!??
 
Hii ni wiki yaa pili sasa tangu nimeacha huu mchezo wa CHAPUTA ingawa sio kazi lahisi sana lakini ninajikaza sana,ninafanya mazoezi,ninakuwa busy,pia nimeacha kabisa kumuangalia Mia khalifa, Cherokee Nina Rotti nk...najua members wa CHAPUTA mnawajua hao ni wasanii wakubwa sana katika tasnia yetu.
Bye bye CHAPUTA.
Baba wiki mbili?? Ndo umeacha... Mi nishaattempt kuacha mpaka mwaka ila nikarudi kwa spidi zotee.. Full mihatrick!! Ila sishangai kwa mpiga nyeto nguli aliyebobea wiki mbili ni Kama mwaka vileee
 
Hii ni wiki yaa pili sasa tangu nimeacha huu mchezo wa CHAPUTA ingawa sio kazi lahisi sana lakini ninajikaza sana,ninafanya mazoezi,ninakuwa busy,pia nimeacha kabisa kumuangalia Mia khalifa, Cherokee Nina Rotti nk...najua members wa CHAPUTA mnawajua hao ni wasanii wakubwa sana katika tasnia yetu.
Bye bye CHAPUTA.
RAHA JIPE MWENYEWE..LINAH BWANA ''SIJUI ALIWAZA NINI
 
Baba wiki mbili?? Ndo umeacha... Mi nishaattempt kuacha mpaka mwaka ila nikarudi kwa spidi zotee.. Full mihatrick!! Ila sishangai kwa mpiga nyeto nguli aliyebobea wiki mbili ni Kama mwaka vileee
[emoji2] [emoji2]
 
Nimepata shida ndiyo maana nimeamua kuacha mkuu
Inabidi ujitolee kweli kweli hapo ushapoteza vingi Sana...!! Low testosterone(hormoni ya kuleta hamu ya tendo kwa mwanaume) adrenal fatigue (tezi lako la adrenal limechoka hivyo halitengenezi tena hormones kwa ufasaha), back pain (mgongo kuuma), poor erection (ukidinda ngoma haisimami Kama msumari inasimama kwa ulege ulege na inalala kwa haraka), poor memory (tatizo la kumbukumbu kwa sababu umeunguza kemikali nyingi Sana za taarifa ubongoni kwenye kujitomba mwenyewe, aceytochloline na dopamine)
Unajua sex is natural but nyeto isnt, nyeto pale unauumiza Sana ubongo kuassume kitu ambacho hakipo.. Laiti ungelijua ulichokifanyia mwili wako ungeacha immediately
 
Ilifika kipindi siogi wiki nzima .....hizo zilikua jitiada za kuacha puchu...coz nkienda bafuni nkipaka povu lile,hisia zinaamia kwenye puchuu.......... Mazara niliyoyapata. ,, kutokanana na puchu......dem akija geto.""jogoo wangu alikua anachelewa sana kuamka ...pia akiamka anakojoa fasta....uwezo wake ulikua v..2/v..3 navyo ni vya fasta fasta... ..,imeenda enda mpaka sasa nimeludisha uwezo wangu asili....huwa .nafanya mpaka mizunguko 8 tena ya heshima..............acha kabisa huo mchezoo
 
Dk 10 zilizopita nimetoka kupiga kimoja, ndiyo nikaona ngoja niangalie mpya ya leo jf nakutana na hii thread!!

Ile kitu wala sina mpango wa kuiacha siku za karibuni

Naeza kukurupuka kitandani saa saba za usiku na nikapiga kimoja cha fasta
 
Back
Top Bottom