Hatimaye nimefanikiwa kuacha punyeto

Hatimaye nimefanikiwa kuacha punyeto

Hii ni wiki yaa pili sasa tangu nimeacha huu mchezo wa CHAPUTA ingawa sio kazi lahisi sana lakini ninajikaza sana,ninafanya mazoezi,ninakuwa busy,pia nimeacha kabisa kumuangalia Mia khalifa, Cherokee Nina Rotti nk...najua members wa CHAPUTA mnawajua hao ni wasanii wakubwa sana katika tasnia yetu.
Bye bye CHAPUTA.

Update.
Hatimaye nimemaliza mwezi mmoja l bila nyeto japokuwa sio kazi rahisi.
Asanteni wote kwa ushauri wenu.
Hongera kwa kauachana na UCHAPUTA karibu tusherehekee pale kati mkuu😀😀😀
 
Baba wiki mbili?? Ndo umeacha... Mi nishaattempt kuacha mpaka mwaka ila nikarudi kwa spidi zotee.. Full mihatrick!! Ila sishangai kwa mpiga nyeto nguli aliyebobea wiki mbili ni Kama mwaka vileee
Duu ila huu mchezo mbaya sana aiseee.
 
Kwa wanawake tunafuata utelezi tu, utamu tunao wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nshajipigia kimoja kabla ya kuja job
Hivi wanawake nao huwa wanafamya hivi kweli ila jamani puchu ni addiction Moja mbaya sanaaa.
 
Yaani chama pekee ambacho kinaweza kuitoa CCM madarakani ni CHAPUTA, maana kina wafuasi wengi hakuna mfano. Si wanawake, si wanaume. Hivi kwa nini hiki chama kisisajiliwe kama chama cha siasa.?

Heheeheheehee
kitachukua nchi
 
angalau ukifika mwaka mmoja ndo tutaanza kuamini umeacha...
hapo bado sanaa
 
Chaputa ni nomaa kuna siku nipo na dem wangu usiku tumelala namuamsha tupige shoo anakoroma tuu, Nikaona ushenz, alinikuta bafuniiiii Tatu bila, Tangu siku ile nikikohoa tuu huyoo kageuka
 
Ukweli unaouma ni kuwa "Once you're in, you can never get out"
Hata upumzike(uache) miaka 5 ipo siku utamiss nyeto!
Nyeto ina laana guys, Nyeto ni kama ukimwi ukianza hakuna dawa, kuna kupunguza tu makali lakin hakuna kuacha[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mtoa mada, wish u all the best brah!
 
Back
Top Bottom