NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,253
naamini hujaelewa mkuu![emoji2]Unapofungua Bureau de Change umefanya udanganyifu gani?
naamini hujaelewa mkuu![emoji2]Unapofungua Bureau de Change umefanya udanganyifu gani?
Kwani ni yupi katika hii picha? Mbona nilisikia alikua amenona sana kama ndama?Pedeshee ndama mtoto wa ng'ombe daah kweli wakati ukuta hujui la mbeleni
Siyo kwa jpm. Inabidi wasubiri mpaka 2025 ukawa ikichukua nchiNo wonder kuna binti mmoja hakimu alikuwa hana akili alipokiwa primary mpaka secondary lakini alipokija kiwa hakimu alipata utajiri mpaka akaenda kuoa sharo moja hivi akalitafitia na kazi kwenye mifuko ya pensheni ana ukwasi wa hatari.
Vijana someeni uhakimi unalipa sana bongo
Mimi nimetoa mfano ili kumfanya muuliza swali aelewe,mwenye busara angetumia akili zake kufafanua kile anachokifahamu ili muuliza swali elewe lakini mjinga anahangaika na mtu aliyeelewa kilichoulizwa.Jitahidi kuwa na hekima walau kidogo humu sio facebookLazima uwekeze?
Ukizikalisha benki hujatakatisha fedha?
Alex Massawe yeye kaikimbia nchi.Jamaa wamesumbua sana enzi za JK alikua huyu pedeshee ndama,kulikua na papaa msofe,alex masawe na muzamili katunzi
Matelephone nae kaisha tepeta bado jamaa flani anajiita BUYE siku zake zinahesabikaAlex Massawe yeye kaikimbia nchi.
Mimi nimetoa mfano ili kumfanya muuliza swali aelewe,mwenye busara angetumia akili zake kufafanua kile anachokifahamu ili muuliza swali elewe lakini mjinga anahangaika na mtu aliyeelewa kilichoulizwa.Jitahidi kuwa na hekima walau kidogo humu sio facebook
Ni kweli alikuwa na kizaizai bali hakufika mahakamani iliishia polisiWewe!!
Acha utani mkono wa nani??[emoji15] [emoji15]
Umefafanua vizuri sana. Hakuna haja ya kuongeza kitu.Laundering linatokana na laundry, sehemu ya kufulia nguo zitakate. Ni slang ya kizungu kuwa hela ambayo siyo halali ni ni hela ambayo ina uchafu, haikupatikana kihalali. Hela chafu na sheria inaikataza. Ina adhabu kubwa. So, unachofanya unaifua, kuitakatisha ili sheria isikuandame. Unaiweka kwenye biashara halali ionekane uliipata kwa njia halali! then from hiyo biashara halali unaizalisha bila kuandamwa na sheria.... something of tha nature ( though in a nutshell for a beginner)
Mchambuzi ongeza nami huwe siyaelewi vizuri haya mambo...
Ooh ndugu yangu we acha tu huyu Magu huyu... Eti katoa nusu ya hela aliyoiba 6billion maelekezo yakatoka sarakasi zikafanyika shtaka likabadilishwa kapewa dhamana.. Na yuko Arusha anajigamba balaa kuwa hawamuwezi hata wafanyaje.. Ndio Tanzania yetu hiyo..Mkuu kwani kesi yake imeisha? Imetolewa hukumu?
Mirayesa ni demu wa kaka yake papii.. Nguza mbangu "mashine" siku hizi kawa mchungaji baada ya, kuachiwahapo kulikuwa hakuna jinsi kwani papii yuko ndani
Jack Pemba limekamatwa Uganda linatapeli liko lupangoJamaa ana bahati sana..
Yaani Alex na Jack Pemba mzimu wao unafanya Kazi...
Hahaaa gundi vitu flani hivi amazing vinatokaga kwenhe dyudyuu ikigusana na k na kuketa mvuvumuko unaosababisha kani ya umemetuli kuongezeka mwiliniWe jamaa una matusi ya kisoro
Gundi ndo nini???
Yes.. Huyo huyo.. Yupo anatanua tuuu na, mitusi juu kwa serikariiii ya awamu ya tanooo..Lema wa m7 kwa dk 1?
Huyu naye alizidi mashauzi .. Mxxxxxx... Makelele kutwa, utafikiri ndio katokewa bikira kumbe limekubuhu sugu kama turubai..Duka limetoka Kinondoni, limeenda mwananyamala [emoji3]
Salma huyu mbunge wa kuteuliwa au?Ninao huo wimbo nikutumie
Kukojoa nini? Maana unatuchanganya mambo ya, kukojoa mazito sana hayamfano, mtu anakuuliza; neno kukojoa lina maana gani,?
mtu anajibu, maana ya kukojoa ni "urination".
..................