Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Ndio hapo sasa.

Hatujaambiwa katumia pesa chafu kufungua Chuo Cha Upadri wala Bureau De Change.

Na wala hawajasema ana pesa.

Na wala hawajasema dhahabu kaiba. For all we know dhahabu ya kwake.

Kosa kataka kuisafirisha Ausralia kwa nyaraka za kugushi kwa sababu kampuni haina vibali vya kusafirisha dhahabu.

Uwekezaji gani kafanya kwa pesa chafu?
Hela alitumiwa tayari ili asafirishe dhahabu.. Lakini dhahabu hakuwatumia.
 
Wakati ukuta na kila zama na kitabu chake pana kada flani hivi ya kupenda kuishi kiujanja ujanja ina waqt mgumu sana sasa hivi.
 
Huyo dogo wa pembeni ni mzuri sana kwenye computer kuanzia graphics,software,hardware,networking ndio maana hizi deal zote za kuchonga huwa hakosekani.
 
Ile show off yake ndo imemponza,na hili watu kama kina Diamond hawataki kujifunza,unajifanya una hela kwanini usifanye ishu zako kimya badala yake unatafuta sifa kwa watu,matokeo ndo kama hayo diamond kudaiwa kodi milion 400,
yaani mtaji kunyonga kiuno aafu ulipe kodi milion 400,

huyu nae kujionyesha ana pesa ndo kumemponza walipomkamata na kosa la kugushi wakamfilimba money laundry charge ili asitokemo ndani,

usikute hata dhahabu ilikuwa ya watu wengi wameungana kusafirisha kwakuwa yeye ndo wanamjua mishen town akapewa kusimamia show ya kuchonga vibali
Wizi ni wizi tu na dhulma ni dhulma tu hata kama utafanya kimya kimya UTALIPA TU SIKU MOJA
 
Tanzania ilikuwa shamba la " BiBi" enzi zileee!!

Asante Mhe JPM kwa kurejesha heshima kwa nchi yetu, sasa tunauwanja sawa wa kucheza!!! unjanja ujanja umepungua kama sio kwisha kabisa!!!!
Sasa we jamaaa unachoshukuru sasa hivi ni kipi?...

Asee kuna watu akili zao fa fa fa..
 
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara
Hii kitu ya kufungua viduka vya nguo uchwara iko Sinza....

Mtu kapaki hammer nje eti anauza viskintight[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Amekubali kutakatisha 1.18Bln

Adhabu kwa mujibu wa sheria hilo kosa
a) Kifungo kati ya miaka 5 kisichozid miaka 10 AU
b) Faini ya kati ya mili 100 mpaka 500

Hapo ndio nnapoipenda sheria.
Kama hukumu iko ivyo bora kukubali kuliko kukataa alafu ukaendelea kula miaka jela kwa kusubiri uchunguzi kukamilika...
 
Back
Top Bottom