Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Kizaizai nae kachoka yuko kajificha kigamboni sehemu inaitwa kisiwani
Huyo muuza sura tu hajawahi kuwa pedejee, ndama mwenyewe dili zake ni juzi hakuwa makini tu ndo mana kashtukiwa,kuna watu wamepiga sana hela hapo kwenye madini.hawakuwahi kustukiwa, muulize Jack Pemba atakwambia.
Pedejée akaingizwa mjini na mipendejee
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Kwa Wajanja wa Mjini 100 Million ndani ya Miezi Sita wanaweza wakazipata, sasa Ukake Jela Miaka yote hiyo ukitoka unakuwa Mgeni wa Jiji na Pengine tayari 'Mke wa Watu'!
Mkuu kwanza hapa umeenda mbali, kinachosumbua wengi hawajawahi kupelekwa hata ofisi ya kijiji hivyo hawaelewi jela kukoje, aliyeko jela yuko tayari kutoka kwa lolote sasa wewe kesi yako ina hukumu ya faini useme eti bora nikae jela
 
hujui hata unachoongea ..kakiri ili kurahisisha mambo ..hapo nafungwa miaka 3 au mitano akifungwa 3 anakaa 1.8 months mchezo umeisha anarudi kula mabilioni yake ...
Nani kakudanganya kua watu wakifungwa hukaa nusu ya vifungo vyao wakati tuna watu wamefungwa miaka saba na wakakaa yote shida nikwamba mnashindwa kufatilia vizuri sheria
 
Hivi yule mume wake Kajala ambaye naye alikuwa na kesi kama hii ya utakatishaji fedha sijui kama ametoka?
 
Kesi ya money laundering (kutakatisha pesa) ukitiwa hatiani ni kifungo jela miaka 4 au 7 sasa huyu kama kweli amekiri atakuwa ametumia technique koz angeweza kukaa rumande kwa mrefu zaidi ya miaka tajwa kama yanayomkuta wakili msomi Mwala kule Arusha yupo rumande mwaka wa saba mfululizo mpaka sasa kwa kosa hilohilo.
Sio lazima kifungo kuna fine pia ambayo ndama anajuw ni sh. ngapi na anaweza kuilipa, ana akili sana jamaa. mwenye pesa hafungwi easily.
 
Back
Top Bottom