sharifa mohamedi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 247
- 266
Hatari
" Money laundry"
Simply, pesa chafu kununua kitu halali then kukiuza na kupata pesa safi!
Tupe wewe habari kamili[emoji12] [emoji12] [emoji12]Acha biashara ya kudhani hapa
MahakamaniPicha ipo wapi?
Iliyopo kwenye threadTupe wewe habari kamili[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Unapiga b. Unawapa mia yao 900/unaenda kula bata.Amekubali kutakatisha 1.18Bln
Adhabu kwa mujibu wa sheria hilo kosa
a) Kifungo kati ya miaka 5 kisichozid miaka 10 AU
b) Faini ya kati ya mili 100 mpaka 500
Hapo ndio nnapoipenda sheria.
Serikali kutengeza Noti Mpya halafu inatumika na Noti ya Zamani inaendelea kutumika kwa zaidi ya Miezi sita na kutokea nchi kutumia Noti Mbili za thamani sawa kwa Machapisho tofauti na kupitiliza miaka ikiwa hivyoo.Kutumia njia ya udanganyifu ili kuzihalalisha fedha zilizopatikana kwa njia haramu.
Kwa mfano:-
Unauza ngada, mapato yatokanayo na ngada unafungulia bureau de change. Sasa mapato yatokanayo na biashara ya bureau de change yatakuwa halali yenyewe pamoja na mtaji wake.
Wengine ongezeeni mifano.
Unaulizwa chanzo cha mapato yako unachokitegemea.Siwajahi kujaza fomu ya kufungua akaunti benki ambayo inauliza pesa hii umeipata pataje. Benki gani hiyo?
Kwa hiyo definition ya kutakatisha fedha inazidi ku evolve. Kutunza benki hela chafu nayo ni kosa.
Huo nao ni utakatishaji fedha.Serikali kutengeza Noti Mpya halafu inatumika na Noti ya Zamani inaendelea kutumika kwa zaidi ya Miezi sita na kutokea nchi kutumia Noti Mbili za thamani sawa kwa Machapisho tofauti na kupitiliza miaka ikiwa hivyoo.
Safiii kabisaaUnapiga b. Unawapa mia yao 900/unaenda kula bata.
....Kwa hiyo akiteta vema na hakimu anapigwa faini then huyoo mtaani...Amekubali kutakatisha 1.18Bln
Adhabu kwa mujibu wa sheria hilo kosa
a) Kifungo kati ya miaka 5 kisichozid miaka 10 AU
b) Faini ya kati ya mili 100 mpaka 500
Hapo ndio nnapoipenda sheria.
hapo kulikuwa hakuna jinsi kwani papii yuko ndaniJamaa alimchukua dem wa papii kocha akamuoa kamzalisha fasta! Anaitwa Mirayesa mbombo alikuwa muimbaji na mcheza show wa Fm academia kaimba ktk ule wimbo wa Dunia kigeu geu
Hyo ndio sheria mkuu....Kwa hiyo akiteta vema na hakimu anapigwa faini then huyoo mtaani...
Mgoogie basi naweweGoogle money laundering
Ndo Mke wake.Jamaa alimchukua dem wa papii kocha akamuoa kamzalisha fasta! Anaitwa Mirayesa mbombo alikuwa muimbaji na mcheza show wa Fm academia kaimba ktk ule wimbo wa Dunia kigeu geu
Hivi nikiokota dhahabu shambani kwangu ya kilo ishirini nikaenda kuiuza kwa wanunua madini na mimi sina efd ya kuwapa kuwa nimeauzia dhahabu lakini tukaandikishana kwa karatasi za kawaida ! Na mimi ela zangu zitakuwa chafu!?Unaulizwa chanzo cha mapato yako unachokitegemea.
Ina maana kama umejaza kuwa wewe ni mwalimu, tunatarajia kuwa mapato yako halali kwa mwezi ni mshahara pamoja na marupurupu yanayoakisi ngazi yako ya mshahara i.e TGS...
Hutaeleweka ukipeleka milioni mia kadhaa!!! labda kama umeuza mazao (receipt za mauzo utapaswa kuzitunza) au umekopa bank.
Mamlaka zikihoji uwe na justification ya pesa zako. Ukishindwa basi uharamu wa pesa zako unakuwa open and vivid clear.
....Sasa si uweke rekodi sawa? Matusi ya nini?...acha umbea kwa vitu usivyovijua kuchafulia watu majina,
..kuku wewe!