Hela alitumiwa tayari ili asafirishe dhahabu.. Lakini dhahabu hakuwatumia.
Kama alilipwa hela lakini dhahabu hakutuma kwa nini ahangaike kupeleka serikalini nyaraka feki zinazoonyesha kampuni yake inaruhusiwa kusafirisha dhahabu ajikamatishe?
Hela alitumiwa tayari ili asafirishe dhahabu.. Lakini dhahabu hakuwatumia.
Katika mazingira hayo hayo kama hujaenda kukutana na maofisa wa kodi unakuwa kwenye mazingira halali ya kuhusika na utakatishaji. unatakiwa ufike ofisi za TRA ukaeleze ulichovuna na serikali wapate chao.Hivi nikiokota dhahabu shambani kwangu ya kilo ishirini nikaenda kuiuza kwa wanunua madini na mimi sina efd ya kuwapa kuwa nimeauzia dhahabu lakini tukaandikishana kwa karatasi za kawaida ! Na mimi ela zangu zitakuwa chafu!?
Wivu tu,Sasa we jamaaa unachoshukuru sasa hivi ni kipi?...
Asee kuna watu akili zao fa fa fa..
Wewe jamaa ulimaliza darasa la saba?Unapofungua Bureau de Change umefanya udanganyifu gani?
Mkuu ndio wenye vyeti feki hawa system imewatema ha ha ha ha haWewe jamaa ulimaliza darasa la saba?
Chukua mfano huu,Naombeni mnisaidie maana ya hili neno "kutakatisha fedha"
Yule kapewa mchongo...kubal kosa haraka upigwe miaka 3...ambayo nikama miaka 2 tuu..then na hio 2 hukai unacheza na parole...yeye mjinga kukubal tuuAtakuwa anajua way out ama sivyo sio kirahisi hivyo
asilimia 99 ya wanadamu hawana maadili,wengine wezi,dhulmati,tapeli etcWizi ni wizi tu na dhulma ni dhulma tu hata kama utafanya kimya kimya UTALIPA TU SIKU MOJA
Kakubali makusudi,kakaa jela 3 yrs, anamalizia miwili =1 mwakani yuko nje hela yake aliyotapeli haijaguswanigekuwa mie ningekubali kukaa jela5 years 100 m sitoi walah
Wewe jamaa ulimaliza darasa la saba?
Tangu lini Ndama aliwahi kuwa mnene zaidi ya hapo? Kama hamuwafahamu watu kaeni kimya!Duh huyu ndio yule Ndama Mtoto wa Ng'ombe aliyekuwaga anamwaga pesa kwenye majukwaa ya muziki?! Aisee kweli jela mbaya
kama atafanikiwa kuzitumia pesa hizi kuwekeza biashara yoyote maana yake ni kwamba atakapoonekana ni tajiri chanzo cha utajiri kitaonekana ni biashara na si wizi wa pesa za uma.Kwa msingi huu pesa chafu zimefanywa zionekane safi kwa kivuli cha biashara.Hio ndio mqana ya kutakatisha fedha.
Wapigaji ni wengi sana..ndio maana hapo awali comment yangu nilisema..hii industry..ina watu wengi sana...na ikichimbuliwa ipasavyo..watakao pona ni wachache sana...
Dhahabu ina taratibu zake za kuuza, hizo sio nyanya.Hivi nikiokota dhahabu shambani kwangu ya kilo ishirini nikaenda kuiuza kwa wanunua madini na mimi sina efd ya kuwapa kuwa nimeauzia dhahabu lakini tukaandikishana kwa karatasi za kawaida ! Na mimi ela zangu zitakuwa chafu!?
Sikumaliza darasa la saba, uko sahihi.
Haya, tuachane na kumjadili mtu ambae hata la saba sijamaliza.
Kutakatisha fedha maana yake nini?
Sikumaliza darasa la saba, uko sahihi.
Haya, tuachane na kumjadili mtu ambae hata la saba sijamaliza.
Kutakatisha fedha maana yake nini?
Walimu wako wa darasa la pili walipata shida sana.
Watu zaidi ya watano wametoa maana ya kutakatisha fedha na mifano juu ila wewe bado tu unarudi na hilo swali.
Duh! What do you "ukabaki nayo!? " simply ni kuwa Pesa itayotokana na hiyo hotel itakuwa imetakatishwa!Okay.
Kwa hiyo ukitumia pesa chafu kununua asset kama hoteli, halafu ukabaki nayo, isiiuze. Hapo ni poa, huna kosa la kutakatisha?
Walimu wako wa darasa la pili walipata shida sana.
Watu zaidi ya watano wametoa maana ya kutakatisha fedha na mifano juu ila wewe bado tu unarudi na hilo swali.