Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara