Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Tanzania ilikuwa shamba la " BiBi" enzi zileee!!

Asante Mhe JPM kwa kurejesha heshima kwa nchi yetu, sasa tunauwanja sawa wa kucheza!!! unjanja ujanja umepungua kama sio kwisha kabisa!!!!
 
Naombeni mnisaidie maana ya hili neno "kutakatisha fedha"
ni pale mtu unakua umepata pesa nying kwa njia sio ya halali so huez kuzispend ukahisi watu watakushtukia
so unaamua labda kutengeneza vi biashara vya uongo na kweli uonekane hela zako unazotumia mitaan kihalal
mf mtu anafungua mgahawa kwenye kitabu cha mauzo anaongeza mapato kuonesha biashara inaenda vzr mno
natumai umenielewa wajuz wengne watakuelewesha
 
Nikiiangalia tena ile Live Show ya Fally Ipupa ya Dar es Salaam na kumwona Pedeshee Ndama Mtoto wa Ng'omba jinsi alivyokuwa anamwagia Fally Ipupa na wale Dancers wake wote pale ' Stejini ' halafu leo namwona akiwa ' Lupango ' nasema kuwa ama kweli dunia haina dhamana na ' Sifa ' ni mbaya mno na hakuna maisha mazuri kama kuishi zako tu simple life kama GENTAMYCINE kwani utakuwa na amani sana na furaha siku zote.
Tembea polepole mkulu Gentamycine njoo vile tuko tunaendaka.chunga mbele.
kivumacho hakidumu
 
Mi naona hii case ni ya kugushi vibali,
labda kama dhahabu aliiba au aliipata kwa utapeli ama kainunua kwa pesa za madawa ya kulevya.

Lakini kama dhahabu kainunua kwa pesa halali akataka kuisafirisha akagushi vibali labda ili kuepuka kodi,
sijana laundry hapa au labda money laundry ina maana pana kuliko nayoijua
 
Mfanyabiashara, Ndama Shabani Hussein (Pichani katikati) maarufu kama Ndama mtoto ya Ng'ombe amekiri mahakamani kosa la kutakatisha zaidi ya billioni 1.2.

Ndama anadaiwa kuwa Februari 20, 2014 jijini Dar es Salaam, alighushi nyaraka ya kibali cha kusafirisha madini na sampuli za madini kwa kusudi la kuonesha kuwa kampuni ya Muru Platnum Tanzania Investment Company Limited iliruhusiwa kusafirisha maboxi manne ya dhahabu yenye kilogramu 207 yenye thamani ya Dola za Marekani 8,280,000.00 kwenda Australia kwa kampuni ya Trade TJL DTYL Limited wakati akijua si kweli.

Chanzo: Nipashe
Nakumbuka maneno yake tukiwa golden fork alinambia anataka kuishi maisha ya kutosumbuana na serikali kwani umri wake sasa ni wakutunza familia hivyo kujihusisha na mambo ya ujanja ujanja si vyema sasa. Lakin naona hesabu zimekataa.
 
Hahaha kama mlugaluga Bashite tu anaweza kuipata hiyo milion 100 kwa siku au wiki ndo ije kuwa mtoto wa mujini Ndama ambaye hiyo milioni 100 anaingiza kwa masaa tu.

Jela ni mbaya waulize Fm academia
haha hehee bashite sio mlugaluga kama ameweza kumchezesha bosi wake sebene ameingia chaka!! sasa anafanya mambo ya hovyohovyo ......... shkamoo bashite pale ziro inapoweza kuichezesha piihechi dii mnanda huo ni zaidi ya uhuni usimchukulie poa asee
 
Naombeni mnisaidie maana ya hili neno "kutakatisha fedha"
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara
 
Jamaa alimchukua dem wa papii kocha akamuoa kamzalisha fasta! Anaitwa Mirayesa mbombo alikuwa muimbaji na mcheza show wa Fm academia kaimba ktk ule wimbo wa Dunia kigeu geu
...acha umbea kwa vitu usivyovijua kuchafulia watu majina,
..kuku wewe!
 
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara

Mkuu nimekuelewa sana
 
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara

Mwanzoni nilikua nashangaa kwamba boutique zinalipa namna hile kumbe majanga sana Mambo ya chid Mapenzi pale naona duka kaliamisha kodi anadai kubwa
 
Amekubali kutakatisha 1.18Bln

Adhabu kwa mujibu wa sheria hilo kosa
a) Kifungo kati ya miaka 5 kisichozid miaka 10 AU
b) Faini ya kati ya mili 100 mpaka 500

Hapo ndio nnapoipenda sheria.

So zile pesa analipa au ndio bai bai?
 
Back
Top Bottom