Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,200
Hujui kitu weww... Uliza yanayoendelea mahakama ya, mafisadi ndio utaelewa nini kinasemwaSiyo kwa jpm. Inabidi wasubiri mpaka 2025 ukawa ikichukua nchi
Hujui kitu weww... Uliza yanayoendelea mahakama ya, mafisadi ndio utaelewa nini kinasemwaSiyo kwa jpm. Inabidi wasubiri mpaka 2025 ukawa ikichukua nchi
Lema yupo keko nimemuona juzi tu hajatoka na yule muarabu wake na wafanyakazi wengine wa tra wameongezwa kwenye kesi.Yes.. Huyo huyo.. Yupo anatanua tuuu na, mitusi juu kwa serikariiii ya awamu ya tanooo..
Aulize wapi kwanini usiseme hapa ili wengi tufaidike.Hujui kitu weww... Uliza yanayoendelea mahakama ya, mafisadi ndio utaelewa nini kinasemwa
Mijitu yenye pesa zao majina yao ni kurusha tu kwenye masebene na kina christian bella..utaskia "Muzaamil katunzi kaka yako nakutakia maishaa mema na molaa....akusimamiee..katika kazi zote...." in bella voice[emoji443] [emoji444]Jamaa wamesumbua sana enzi za JK alikua huyu pedeshee ndama,kulikua na papaa msofe,alex masawe na muzamili katunzi
Wakati mwingine mtu anakana kwa sababu ukikubali na kuhukumiwa basi kuna baadhi ya vitu huwezi fanya au kupewa kwa vile sheria inazuia mtu aliewahi kukutwa na kosa jinai na kufungwa jela zaidi ya miezi sita.Kesi ya money laundering (kutakatisha pesa) ukitiwa hatiani ni kifungo jela miaka 4 au 7 sasa huyu kama kweli amekiri atakuwa ametumia technique koz angeweza kukaa rumande kwa mrefu zaidi ya miaka tajwa kama yanayomkuta wakili msomi Mwala kule Arusha yupo rumande mwaka wa saba mfululizo mpaka sasa kwa kosa hilohilo.
Umeelewa ulichoandika? Nani kakwambiA Miaka utakayokaa Mahabusu inahesabiwa ukifungwaKakubali makusudi,kakaa jela 3 yrs, anamalizia miwili =1 mwakani yuko nje hela yake aliyotapeli haijaguswa
ni kitendo cha kuingiza pesa iliyopatikana kihalifu katika mzunguko wa pesa halali.Naombeni mnisaidie maana ya hili neno "kutakatisha fedha"
Namkumbuka huyu Robert. Huyu ile kesi yake ya 2011 nadhani alipigwa miaka kadhaa. Hii kesi ya Ndama sijui anahusika vipi?Huyu kijana Robert mbetwa alikuwa na msala mwingine huu 2011 sijui uliishaje akaingia na huu wa 2017. Mja asili haachi asili.
MICHUZI BLOG: aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kutapeli na kutakatisha fedha haramu afutiwa mastaka leo
Tanzania ukiwa na fedha mambo yanisha kimya kimya acha majaji wengine wastaafu kwa staili hizi.
Hivi kwann wakili wake hasikatae hayo mashtaka ? Yaani aseme hiyo Ni fraud Na sio money laundering ( hili iwe money Ni laxima iwe Na stages Kama Tatu au nne ) eg placement,layering, intergrationIle show off yake ndo imemponza,na hili watu kama kina Diamond hawataki kujifunza,unajifanya una hela kwanini usifanye ishu zako kimya badala yake unatafuta sifa kwa watu,matokeo ndo kama hayo diamond kudaiwa kodi milion 400,
yaani mtaji kunyonga kiuno aafu ulipe kodi milion 400,
huyu nae kujionyesha ana pesa ndo kumemponza walipomkamata na kosa la kugushi wakamfilimba money laundry charge ili asitokemo ndani,
usikute hata dhahabu ilikuwa ya watu wengi wameungana kusafirisha kwakuwa yeye ndo wanamjua mishen town akapewa kusimamia show ya kuchonga vibali
Huyu jamaa huu msala wa ndama kumbe yumo?Dah namuona mwananguu mbetwa robert pembeni hapo... daaah jamaaa kapakaza sana gundi mademu zetu pale IFM kwa hizi hela walizopiga TTCL
Mara nyingine inaesabikaUmeelewa ulichoandika? Nani kakwambiA Miaka utakayokaa Mahabusu inahesabiwa ukifungwa
Umengea point mkuu, ingekua dhuluma inalipwa hapa hapa basi marais wa marekani wangeipata freshasilimia 99 ya wanadamu hawana maadili,wengine wezi,dhulmati,tapeli etc
so why wengine hawalipi,
mobutu alikuwa mwizi sana wa pesa za umma,lakini alikufa kwa uzee na ugonjwa,
idd amini alikuwa anasemwa anakula roho za watu,amemu outlive nyerere,kafa kwa uzee.
George bush kaua wairaq milion moja bado anadunda licha ya kuwa ana zaidi ya miaka 80.
Kuna watu wema sana hapa duniani ambao mwisho wao ulikuwa mbaya sana.
Japo pia wapo walioishi kwa amani mpaka mungu akawachukua,
kwahiyo sio lazima alipe,ni mipango ya mungu tu
Kivipi nduguMara nyingine inaesabika
Sio jela ya Tanzania unaweza ukaolewa huko jela,kama una uwezo jela sio mahali pazuri kwendaSijawahi kaa jela ila ni bora ukubali kosa ufungwe yaishe
Kwani billion moja point mbili ina 100m ngapi?nigekuwa mie ningekubali kukaa jela5 years 100 m sitoi walah