Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

No wonder kuna binti mmoja hakimu alikuwa hana akili alipokiwa primary mpaka secondary lakini alipokija kiwa hakimu alipata utajiri mpaka akaenda kuoa sharo moja hivi akalitafitia na kazi kwenye mifuko ya pensheni ana ukwasi wa hatari.

Vijana someeni uhakimi unalipa sana bongo
Uhakimu hausomewi mkuu, inayosomewa ni sheria.
 
hujui hata unachoongea ..kakiri ili kurahisisha mambo ..hapo nafungwa miaka 3 au mitano akifungwa 3 anakaa 1.8 months mchezo umeisha anarudi kula mabilioni yake ...
Ila kafungwa.. ..na nina hakika hizo bilion wameshakula zimeisha
 
Nikiiangalia tena ile Live Show ya Fally Ipupa ya Dar es Salaam na kumwona Pedeshee Ndama Mtoto wa Ng'ombe jinsi alivyokuwa anamwagia Pesa tena ' Midola ' mitupu Fally Ipupa na wale Dancers wake wote pale ' Stejini ' halafu leo namwona akiwa ' Lupango ' nasema kuwa ama kweli dunia haina dhamana na ' Sifa ' ni mbaya mno na hakuna maisha mazuri kama kuishi zako tu simple life kama GENTAMYCINE kwani utakuwa na amani sana na furaha siku zote.
Nakuunga mkono na mguu ndugu mwaja JF.
Hawa jamaa wangekuwa wanakula kimya kimya hizo pesa haramu wala hakuna ambae angewa-mind. Tatizo hawa mapedeshee wataka magari mazuri yote mjini yawe yao, mademu wazuri wote mjini watembee nao na kila aina ya dhuluma. Mbona wanasiasa wengi sana nao wanatakatisha pesa hizi, sema wao ni kupiga kimya tu, husikii wakijinadi!
 
Huyo atachezea miaka kadhaa na faini imekwisha. Jamaa yuko bien akiuza gari 3 tu fine anaicover
 
Ndani ya miaka 5 Dili ngapi zimekupita? Uyo analipa faini na anamwagika uraiani. ......kupambana kwanza wanaibiwa wazungu....sawa tu.
sawa.................................................................................
 
Ndani ya miaka 5 Dili ngapi zimekupita? Uyo analipa faini na anamwagika uraiani. ......kupambana kwanza wanaibiwa wazungu....sawa tu.
Huu ndio utetezi wa wapigaji..wote wanasema " aa kwani si anaibiwa mzungu bwana" lakini hawaoni kwamba hapo kuna kosa limetendeka??
 
Huu ndio utetezi wa wapigaji..wote wanasema " aa kwani si anaibiwa mzungu bwana" lakini hawaoni kwamba hapo kuna kosa limetendeka??
Tafuta pesa ww uliona wapi duniani watu wote wanaajiliwa. ......wazungu kila siku wanachota dhahabu wanasepa wakiibiwa wao roho zinawauma. ......kweli mwafrika ngozi ya Pumbu.
 
Tafuta pesa ww uliona wapi duniani watu wote wanaajiliwa. ......wazungu kila siku wanachota dhahabu wanasepa wakiibiwa wao roho zinawauma. ......kweli mwafrika ngozi ya Pumbu.
Wapigaji ni wengi sana..ndio maana hapo awali comment yangu nilisema..hii industry..ina watu wengi sana...na ikichimbuliwa ipasavyo..watakao pona ni wachache sana...
 
Wapigaji ni wengi sana..ndio maana hapo awali comment yangu nilisema..hii industry..ina watu wengi sana...na ikichimbuliwa ipasavyo..watakao pona ni wachache sana...
Kuponaje sasa. .....kwaiyo umekaa unasubiri watu wafungwe utasubiri sana. .......izo zinaitwa akili za kenge kukimbia manyunyu ya mvua kuingia mtoni.
 
Mtalimia meno nyie msio jua mipango ya mujini. ....faini italipwa na Pedezeee atamwagika kula supu ya kuku kitaa.
Baada ya hapo cv itakua imeharibika.Hakuna mtu atakaekuwa tayari kufanya biashara na convicted criminal,labda kama ni biashara zenu za unga na utapeli wa madini
 
Uhalifu ni uhalifu tu mkuu, hata huko kwao wanaona kuua weusi sio kosa lakini mahakama zinawahukumu vifungo.
...naona tunaishi dunia mbili tofauti chief,
..hatuwezi kuelewana!
.cheers!
 
Kutumia njia ya udanganyifu ili kuzihalalisha fedha zilizopatikana kwa njia haramu.

Kwa mfano:-
Unauza ngada, mapato yatokanayo na ngada unafungulia bureau de change.

Unapofungua Bureau de Change umefanya udanganyifu gani?
 
Back
Top Bottom