<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Hahahaha!
Namuaminia mjukuu mtiifu(MJ1) ataifanya siku aya BABU kuwa a day to remember,
Lazima hiyo note iheshimiwe,nami naungana na wenzangu kuiheshimu,
Shem alinambia mpaka umpe ruhusa yako ndio ataweza nipitia hapa niongozane naye kwa anasema umeimarisha ulinzi shirikishi na police jamii mda wote,
Basi km umeshampa geti pass atanipitia soon, mwambie namsubiri.



Mbona ruhusa nilisha mpatia.... Nilisema wewe na Smiles na fb woote muende! Hivi wako wapi sasa - tell them waache utegezi mara moja! lol
 
naona mwaka mpya umeamua kunichunia. Sawa tuuu...
Am sorry sisy wangu wa ukwe'eeeee!
Unajua kbs usingetangulia kutoka tumbon kwa mama hata mie cjui ningepitia wapi,
Mimi iko penda sana ww atiii!
Kamwe siwezi kukuchunia,c unajua dingi kaizingua siku ile umeona mkwara wake nimeishia kurushiwa jero kwenye simu.
 
aunty mm c tayar family? can i go with ankal?



Golden Mpolee dear... si umesema utawa obedient eeeh? nakuhitaji hapa, kuna veggies za salad hazijaandaliwa... kama hujui ni muafaka wako wa kujifunza.... umenielewa dear?
 
Mbona kama vile siku hizi umeanza nizidi kete? lol naona uzee usha niiingia sasa....
Umesahau lengo lako ilikuwa kunirithisha mikoba ya hii fani?
Usijali hata ukizeeka ujuzi hauzee Big sisy,
Nami nitakuwa nakutupia maujanja ya new veshen za mapishi ya dot com atiii!
 
Am sorry sisy wangu wa ukwe'eeeee!
Unajua kbs usingetangulia kutoka tumbon kwa mama hata mie cjui ningepitia wapi,
Mimi iko penda sana ww atiii!
Kamwe siwezi kukuchunia,c unajua dingi kaizingua siku ile umeona mkwara wake nimeishia kurushiwa jero kwenye simu.

afadhali umerespond sisy roho yangu imetulia. Lol. Mdingi dawa ni kumwibia tu maana amezidi ubahili. Sahv nishajua password, nikitaka vocha navuta tu simu yake.
 
Golden Mpolee dear... si umesema utawa obedient eeeh? nakuhitaji hapa, kuna veggies za salad hazijaandaliwa... kama hujui ni muafaka wako wa kujifunza.... umenielewa dear?



teh teh teh... aunty nimekupenda, kwel we mkabaj! lolz.... nakuja kujifunza mm na mapish ni tom and jerry.
 
Mbona ruhusa nilisha mpatia.... Nilisema wewe na Smiles na fb woote muende! Hivi wako wapi sasa - tell them waache utegezi mara moja! lol
Orait BIG SISY,
Smile si unajua yuko na ile sera yake ya kuwekeza kwa more than one mchumba ata sijui mida hii yuko pande ipi,
Ila FB yupo anamalizia assignment zake atatujoin badae.
 
Golden Mpolee dear... si umesema utawa obedient eeeh? nakuhitaji hapa, kuna veggies za salad hazijaandaliwa... kama hujui ni muafaka wako wa kujifunza.... umenielewa dear?

aunt umeona eeh, wenzie wote tuko jikoni. Mwali tangu asubuhi anahangaika na sambusa halafu huyu anataka kutoka. Hajui mtoto wakike lake jiko.
 
Umesahau lengo lako ilikuwa kunirithisha mikoba ya hii fani?
Usijali hata ukizeeka ujuzi hauzee Big sisy,
Nami nitakuwa nakutupia maujanja ya new veshen za mapishi ya dot com atiii!



Ndio maana nilikuachagua wewe kukurithisha... Uko makini kuliko wooote put together....lolz hapa Smiles, fb, Mwali na Husny wanisamehe!
 
Ndio maana nilikuachagua wewe kukurithisha... Uko makini kuliko wooote put together....lolz hapa Smiles, fb, Mwali na Husny wanisamehe!

nishakusamehe, kizuri kipewe sifa. Lol.
 
Orait BIG SISY,
Smile si unajua yuko na ile sera yake ya kuwekeza kwa more than one mchumba ata sijui mida hii yuko pande ipi,
Ila FB yupo anamalizia assignment zake atatujoin badae.



Kikubwa wasikose wakati wa kukaguliwa! Maana sasa mamboa yooote yaenda vizuri na maandalizi soon yatakua super! Saizi naanza ku relax sasa..... Dah!
 
afadhali umerespond sisy roho yangu imetulia. Lol. Mdingi dawa ni kumwibia tu maana amezidi ubahili. Sahv nishajua password, nikitaka vocha navuta tu simu yake.
Haahahahaha!
Ni kosa la jinai kuicha roho ya sisy wangu wa ukwe'ee ikihangaika mtaana ile hali ndugu yake nipo,
Usijali kwan nishajua akapoficha kibubu chake,tabu ni kwamba kibubu chenyewe cha chuma,
Itabidi hapo tuungane na kujua namna ya kupata mkwanja uliomo!
 
teh teh teh... aunty nimekupenda, kwel we mkabaj! lolz.... nakuja kujifunza mm na mapish ni tom and jerry.


It's worth it... You fight for it and you fight it for keeps Dear.....lol... Hio ni Lesson # 1 (if you are interested join Mwali for the classes)


Kwa mwanamke yeyote yule Mapishi ni muhimu.... It is kind of a weapon, hivo you want to be my niece you learn to be a Great woman! lol
:eyebrows:
 
Ndio maana nilikuachagua wewe kukurithisha... Uko makini kuliko wooote put together....lolz hapa Smiles, fb, Mwali na Husny wanisamehe!
Asante sana Big SISY,
Hope wadogo zako unatujua kila mtu ana fani yake,najua na wao utawakumbuka kulingana na fani zao,
Km nilivokueleza lengo langu ni kumfanya shemeji yako aenjoy mapishi yangu km Our Bg shem Kaizer Unovompagawisha na mahanjumati ya Ukwe'ee!
Ndio maana nilikuonesha nn napenda nawe ukaamua kunipa mikoba lol!
 
Asante sana Big SISY,
Hope wadogo zako unatujua kila mtu ana fani yake,najua na wao utawakumbuka kulingana na fani zao,
Km nilivokueleza lengo langu ni kumfanya shemeji yako aenjoy mapishi yangu km Our Bg shem Kaizer Unovompagawisha na mahanjumati ya Ukwe'ee!
Ndio maana nilikuonesha nn napenda nawe ukaamua kunipa mikoba lol!


hahahaha!! Umeona eeeh? Hebu mwambia Golden M aache uvivu wa kupika (hata ka Husny yeye mpaka aamue!) lol
 
Back
Top Bottom