Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
aunt mwambie uncle wapwa tumetosha. Asije akaanza kutulisha chakula bila mboga kisa budget ndogo.
Mmh...sasa Hus mbona unaongea sana....leo sherehe bana...
aunt mwambie uncle wapwa tumetosha. Asije akaanza kutulisha chakula bila mboga kisa budget ndogo.
Usijali kabisa Husny..... Huyu Golden Mpole atakua mpwa wa mwisho for it is safer for your auntie.... maana asipokua mpwa mmmh!
Orait so tutapitia kwa Bakhresa hapo Hus..mwambie mwali ajiandae si tutaenda naye pia au atazilamba njiani kabla hazijafika?
Mmh...sasa Hus mbona unaongea sana....leo sherehe bana...
Golden Mpolee NO offence Dearest.... but you sound really really dangerous for the well being of my Man.... Si waelewa ule msemo wa abiria chunga mzigo wako? lol
Usijali kabisa Husny..... Huyu Golden Mpole atakua mpwa wa mwisho for it is safer for your auntie.... maana asipokua mpwa mmmh!
Huyu RR unajua sijui mataputapu? Yeah U can have Kimey for the time being, tukirudi sherehe imeanza then tunaresume majukumu yetu. So Kimey ataenda Langoni kucheki ulinzi na wazamiaji.lol
usihofu aunt, ngoja sherehe iishe tukae kikao cha familia uncle atuambie anataka wapwa wangapi. Hapa tunalinda maslahi ya familia. Lol
Golden Mpole ni dhahabu rohoni kwake. U love me I love U. U hate me I hate U. niamini tu na nitakua niece wako wa adab mwenyewe utashanga! mbona bab yy haji?
Good gal... ndio maana hata nikisafiri na ukiwepo nakua na amani.... Ka Mwali kanamfichia saana siri ankal wako!
Heshima yako Big sisy,Good gal... ndio maana hata nikisafiri na ukiwepo nakua na amani.... Ka Mwali kanamfichia saana siri ankal wako!
Asante sisy,FINALLY The Birthday cake.... Poleni saana Kid sis kwa kuiandaa... Ipo murua kweli kweli! Najua babu yenu ataipenda! poleni na maandalizi!
Heshima yako Big sisy,
Nimepita humu kumuwishi huyu swty babu yetu!
Mpe hi my big Shem Kaizer.
Heshima yako Big sisy,
Nimepita humu kumuwishi huyu swty babu yetu!
Mpe hi my big Shem Kaizer.
Hahahaha!Heshima imepokelewa kwa mikono yooote miwili! lol
Babu leo yupo na mjukuu mmoja tu! Na huyo ni Mjukuu
wa wajukuu (MJ1) na wameweka "No disturbance note mlangoni!"
Shem wako mbona kasema mnaenda woote kwenye vinywaji... Kakuacha?
Sweetie naomba soma post hii ya GM.... Golden Mpolee I like you.... I think we will blend well me as your auntie....lol
Welcome to the Family, tutaandaa sherehe maalum kwa ajili yako!