<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Big sisy,
Ile wala haikua kesi,
Ilikuwa janja ya babu kwa ivuga ili Mwali abaki na babu,
Ngoja nampigia soon atakuja pande hizi utete nae ila usintaje lol!



Khaaa! lol... Kweli wewe wamjua babu yako, ndo ilikua mpango? Maskini Ivuga ilikula kwake....lol
 
Siku ile King alikua hajielewi kabisa! lol kaka Paw alifanya tu kumbeba akiwa na mihasira kibao. Itabidi tumkomalie yeye ndio amnulie babu simu...lol
Au kama vipi shemeji Paw ajitolee kumpa ile ya kwake afu yeye atanunua ingine...
 
Khaaa! lol... Kweli wewe wamjua babu yako, ndo ilikua mpango? Maskini Ivuga ilikula kwake....lol
Mie namjua vizuri babu,ndio maana nikatii maumizi yake,
Ivuka ilikula kwake kaishia kushika chumvi walioenda kununua tu lol!
 


:A S 465:"Darling :A S 465: shem :A S 465: ODM":A S 465:


Najua mwaka kwako umeanza vibaya... Na I know ilifika a time ukaona kama
Mungu kakutupa vile....
Uzuri ni kwamba wewe Mwenyewe umekuja realise kua sio kweli...
God is still with you ila tu ni majaribu ambayo kila Mwanadamu hupitia.
Ukiwa kama a man of responsibilities, a father and a husband it is really really challenging i
f life takes toil on you. But sababu wewe ni MWANAUME BANA (Source: Asprin) kwa nguvu
za Mwenyezi Mungu umeweza himili hayo matatizo ya siku zote, na bado wasonga...

Today is your birthday na labda waweza feel worse sababu you are still on bed...
I am hoping ile thread ya
"ODM: Ready, Set... and Gooo" is really really applying....
We need you jamvini na we have Missed you a lot! Kuna wajukuu kibao wakusubiri kwa hamu
kutambulishwa, hopefully you make it soon to full recovery!

Asprin today make the most of it... hata kama bado upo kitandani na watumia
torch ya mama Matesha hapo kuja hapa JF, make it a fun day, ongea ya
akina Matesha walau mcheze hata games
(for I know ukiwa mzima ni mara chache hua wapata nafasi kama hizi
adimu za kuongea na watoto);
na huwezi jua at the end of the day labda hata utapata nguvu ya
kwenda mlimani na Mama Matesha! lol


:A S-rose::A S-rose::A S-rose:....HAPPY BIRTHDAY ODM with LOVE.....:A S-rose::A S-rose::A S-rose:


Pamoja Saana
AshaDii


P.S

Tokana na hali yako tumeshauriana wanafamilia sherehe itafanyika rumuni kwako!
Wifi King' na Sweetlady watakuja msaidia Mama Matesha kuweka
chumba katika hali presentable... Of coz usihofu kuhusu kinywaji Sweetie atawakilisha.
Nasikia saizi waruhusiwa tu Shark, appletiser na Red bull...lol



@Mwanajamii Moja!!

Shosti ndio nini kunisababishia napigiwa simu ya Mihasira na ODM? Eti kisa nimekuudhi mjukuu wake Mtakatifu na Mtiifu kwa kuto kuku-acknowledge kwa kazi kubwa
umefanya ya kushikilia ma Drip wakati anaumwa...
(Sijawahi muona/msikia ODM this MAD! Kumbe mkali eeeh? Dah!)
Enways.... MJ1 Mjukuu Mtiiifu wa Babu, Mjukuu Original wa Babu, Mjukuu wa wajukuu wa Babu;AshaDii anaomba MSAMAHA Kwa kuto kutaja.... Naomba wapitie na Shem RR, (na Fidel - hope atanitetea), Karibuni kwa Breakfast kabla ya kuenda huko.... Mimi na Sweetie (Roulette atakua M/Kiti) waiting hapa tutatue hiyo case. Alafu MJ1 Niombee Msamaha kwa Babu basi! Khaa!

Ngoja tu nilog off mpaka hii case iishe!
pomoja na kurudia mara mbili mbili kusoma hii thread,bado sielewi.lol
 
pomoja na kurudia mara mbili mbili kusoma hii thread,bado sielewi.lol


wewe Kadoda acha ukorofie....lol... Yeye mhusika kaelewa every word! lol na wahusika wanafamilia woooote. hapo wewe ilitakiwa tu uelewe kua na BD ya ODM.... Haya toa pongezi zake basi....
 
Hivi alishika? mbona naambiwa hakushika? Hebu nipe habari kamili kabla sijachukia! lol
Hahahahah!
Punguza presha big sisy,
Ivuga aliishika juu ya kinailon cha ile packi tu hakuifungua,
Labda Mwali alivobaki na babu wakati wa ukaguzi ndio sina uhakika km ilinusurika au vp!!!
 
Hahahahah!
Punguza presha big sisy,
Ivuga aliishika juu ya kinailon cha ile packi tu hakuifungua,
Labda Mwali alivobaki na babu wakati wa ukaguzi ndio sina uhakika km ilinusurika au vp!!!



Nimecheka mpaka baaas! The imagination ya Ivuga kuishika juu ya nailon....lol.... Dah! Hay pressure imeshuka.
 
Nimecheka mpaka baaas! The imagination ya Ivuga kuishika juu ya nailon....lol.... Dah! Hay pressure imeshuka.
Haahahahahaha!
Ndio ivo kijana wa watu aliishia kushika tu juu ya nailon lol!
Hala hala usinintaje tu maana,sijajiaandaa kusutwa kwa mavuvuzela.
 
wewe Kadoda acha ukorofie....lol... Yeye mhusika kaelewa every word! lol na wahusika wanafamilia woooote. hapo wewe ilitakiwa tu uelewe kua na BD ya ODM.... Haya toa pongezi zake basi....
teh teh teh.btw hii ODM ndo kile chama cha kisiasa kule kenya!!!?
 
Haahahahahaha!
Ndio ivo kijana wa watu aliishia kushika tu juu ya nailon lol!
Hala hala usinintaje tu maana,sijajiaandaa kusutwa kwa mavuvuzela.



Hakuna kitu napenda kama wadogo zangu, wanangu na niece zangu wapendane na waishi kwa amani..... Siwezi wagombanisha, mimi najua mwenyewe jinsi ya kumingia Mwali... (tena kenyewe kambea na hupenda mfichia maovu ankal wake - the only kasoro thou) lol.... shem wako mmeonana leo?
 
Hakuna kitu napenda kama wadogo zangu, wanangu na niece zangu wapendane na waishi kwa amani..... Siwezi wagombanisha, mimi najua mwenyewe jinsi ya kumingia Mwali... (tena kenyewe kambea na hupenda mfichia maovu ankal wake - the only kasoro thou) lol.... shem wako mmeonana leo?
Hahahahaha!
Big shem kuna mahali nimemuana but yuko tite kidogo na shuhuli za kiofisi,
But najua kwa vile anafahamu upo pande hizi atakuja akishamalizana na mambo yake ya kiofisi,
Usiwe na hofu ulinzi shirikishi na polisi jamii niko kazin kwa ajili yako sisy!
 
Hahahahaha!
Big shem kuna mahali nimemuana but yuko tite kidogo na shuhuli za kiofisi,
But najua kwa vile anafahamu upo pande hizi atakuja akishamalizana na mambo yake ya kiofisi,
Usiwe na hofu ulinzi shirikishi na polisi jamii niko kazin kwa ajili yako sisy!


Mimi ndio maana sina wasi wasi ukiwepo wewe juu ya shemejio....lol... Hapa nina Imani kabisa, I hope ulimpa mahitaj yooote asubuhi na alipata breakfast ya maana.... anapenda saana kalmati, ulizianda ambavo hua naandaa?
 
Back
Top Bottom