<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

poa hataskia .ngoja kwanza nikuulize(kwa sauti ya chini) lile pale kwa babu ni busha au macho yangu, au mbwembwe zake tuu

&#8203;what is busha?
Nyie wanadamu mtashtalkiwa kwa makosa mawili...
1. Kusheherekea besdei ya ODM kwa siku mbili
2.Kutongozana hadharani kwenye shughuli ya babu

Baada ya kusema hayo. Mwali hebu come this way uurudishie mkongojo wa babu mahali pake.
 
Mwali na saint ivuga
hawana adabu
babu watie bakora hao

ingekuwa mie ungeshaniadhibu, sikubali.
Orayt...we nakukabizi mtakatifu Ivuga (sijui utamwadhibuje), Ila mie niache Mwali nimcharaze bakora matakoni. ATASHAA!
 
zote anapalilia
bila kuonja hata tunda moja

natoa adhabu za kisaikolojia zaidi
hadi ashike adabu.

kha...nakusemea kwa babu. babu si unajua lazima tuwe tunamtania tania...ila adhabu uliyonipa ya kutokula lazima nikusemee kwanza babu. hii sio haki.
 
babu kishakubali
mwali atamshughulikia yeye mwenyewe

kha...nakusemea kwa babu. babu si unajua lazima tuwe tunamtania tania...ila adhabu uliyonipa ya kutokula lazima nikusemee kwanza babu. hii sio haki.
 
Leo hapokei tena simu, sijui kaipeleka kuchaji kwa Mangi pale dukani!..


Sio hivo... nasikia kuna mtu siku ya sherehe alii angusha toilet akidhani anaweka kwenye mkoba! aibu tupu yaaani! lol
 
Heshima yako big sisy,
Habari za babu anazijua Mwali,
Naamin yeye ndio alipata zali la kuangusha na babu usiku wa jana!!!



Mwali si alikua na case na babu.... loh! Babu anavopenda kushikiwa mkongojo kalegea mwenyewe... Mwite Mwali basi anihabarishe hali yake....
 
Sio hivo... nasikia kuna mtu siku ya sherehe alii angusha toilet akidhani anaweka kwenye mkoba! aibu tupu yaaani! lol
Afu lazima atakuwa ni my mke mwe King'asti manake mara ya mwisho nilimsikia ODM akimwambia amshikie ili akate keki... Wifi ujue mke mwenza alilewa sana siku ile?
 
Mwali si alikua na case na babu.... loh! Babu anavopenda kushikiwa mkongojo kalegea mwenyewe... Mwite Mwali basi anihabarishe hali yake....
Big sisy,
Ile wala haikua kesi,
Ilikuwa janja ya babu kwa ivuga ili Mwali abaki na babu,
Ngoja nampigia soon atakuja pande hizi utete nae ila usintaje lol!
 
Afu lazima atakuwa ni my mke mwe King'asti manake mara ya mwisho nilimsikia ODM akimwambia amshikie ili akate keki... Wifi ujue mke mwenza alilewa sana siku ile?


Siku ile King alikua hajielewi kabisa! lol kaka Paw alifanya tu kumbeba akiwa na mihasira kibao. Itabidi tumkomalie yeye ndio amnulie babu simu...lol
 
Back
Top Bottom