AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
- Thread starter
- #321
Huyo mzee mwenzangu ntakuwa naye haitebo. Chondechonde watu wa getini hakikisheni haingii na ule msuli wake au ile kaunda suti yake ya rangi ya njano (jamaa linaipenda yanga kuliko mkewe) Ila ananichaanganya anapoivaa hiyo kaunda suti yake na raba za zambarau.... Akija kihivyo, sherehe itaahirishwa mpaka itakapotangazwa tena.
Shem tuache hayo mengine kwanza.... Mkewe analitambua hilo? lol
Mtambuzi nadhani atakuwa amekaa akiburudika na oldies huku anawasimulia Hus na Canta hadithi...mzee wetu huyu....atakuja na emergency kit yake kutibu watakaozima...of course at a fee
hahahahaha! Sweeetie nimevuta taswira and it is almost PERFECTOOOO! lol