Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Mie nafikiri kila kitu kio sawa tu,Hapo sawa.... naona ushakubali iwe mkononi mwa shemejio.... mie wajua how I trust ukiwepo wewe au Husny....lol
Naona MJ1 Tumvutie subira.... yaana hadi nimechoka kumsumbiri aje angalie final touches...:yawn:
Mwita Manyara.... Reading between the lines... I am humbled. Utadhani umeona makala yangu ambayo am about to post Jukwa la Dini (lililo shindikana kuliko yooote) lol....
Sasa kwa haya maelezo I have a gurantee kua naja na mimi, maana kisingizio cha Sweetie hapa ilikua guys hawataki! lol.... Yaani hapa kakamatika kama hakutaka mwenyewe niwepo!
Love...hivi Mwita si alikuwa anatafuta tafuta, ndo tumuunganishe na huyu Kipipi... au vipi
Mwita Manyara.... Reading between the lines... I am humbled. Utadhani umeona makala yangu ambayo am about to post Jukwa la Dini (lililo shindikana kuliko yooote) lol....
Sasa kwa haya maelezo I have a gurantee kua naja na mimi, maana kisingizio cha Sweetie hapa ilikua guys hawataki! lol.... Yaani hapa kakamatika kama hakutaka mwenyewe niwepo!
ADI,
Nisaidie sifa za smiles inawezekana nitammudu, as long she is readily available!lol
Cantalisia namuona kama mtoto wa baba paroko kwa saaana!
Btw, jina langu ni Maranya not Manyara.
Yessssss!u luki mwaaaaaaaa!
Mie nafikiri kila kitu kio sawa tu,
Tumsaidie kufaino laiz coz naamini akitoka huko atakuwa amechoka sana na anahitaji kupumzika tu.
Mumtafutie kwani ye kipofu jamani...!! Angalia usijeharibu party ya babu......lol!
Halafu na wewe una kesi kubwa sana ya kujibu...... Unataka kuendelea kunidanganya bado unasuluhisha matatizo ya ndugu zako? Nlishakuambiaga mi najua kuoa tu, sijui kutoa talaka.There are currently 16 users browsing this thread. (11 members and 5 guests)
Mbona Birthday boy anachungulia tu?
Orait Big shem,haya vinywaji tayari tayari...just in case nimeweka pia Konyagi, Common na common sense, najuwa traditionalists watakuwepo tu (Maranya mmojawapo)....of course Amarula, na pia JD kwa muzee MTM and Co.
sasa ni mida ya kujiswafi....sweetie I need your help:tongue:
hapa mnaongelea nini sweetie? Am lost....
Yap yap yap!
Happy birtday buddy!
Hii birtday yako imenistukiza, itabidi niishiriki kwa ile style yetu kongwe ya LMM! LOL
Mwita Manyara ndio maana hii sherehe imegaiwa in three stages..... Ya kwanza babu anasheherekea na wajukuu (of coz na kuwakaguaz), Ya pili ni wooote hadi wageni waalikwa na wana MMU wooote. Ya tatu na mwisho hapo ndio nyie wakulu mwaingia hapo.... Nimeambiwa akina mama hatutaruhusiwa... sherehe kwetu itakua imeisha! lol
Ha ha ha ADI, nashukuru kwa ufafanuzi wa ratiba na protokali. Nilimuomba ODM anikabidhi mjukuu wake mmoja ili niwe mdau wa kudumu wa MMU lakini bado hajasomeka!
Hiyo hatua ya tatu na ya mwisho itabidi na wewe ushiriki, kwakuwa unacheza namba zote uwanjani isipokuwa position moja tu! Lol
Hakuna shaka ADI, nimekusoma.
ODM ni chalii yangu nitaongea nae ili atie uzito hatimaye uruhusiwe kutujoin, at the same time endelea kusema na shemeji yetu atakuelewa tu, mtu wako mwenyewe hawezi kukushinda.
Hapo nilipobold? Relax. Hapa JF sijaona bandiko lako kwenye jukwaa moja tu. Maeneo mengine niliyofanikiwa kupita hata bila kutia neno ninaona mkono wako! lol
Mwita Manyara.... Reading between the lines... I am humbled. Utadhani umeona makala yangu ambayo am about to post Jukwa la Dini (lililo shindikana kuliko yooote) lol....
Sasa kwa haya maelezo I have a gurantee kua naja na mimi, maana kisingizio cha Sweetie hapa ilikua guys hawataki! lol.... Yaani hapa kakamatika kama hakutaka mwenyewe niwepo!
Halafu na wewe una kesi kubwa sana ya kujibu...... Unataka kuendelea kunidanganya bado unasuluhisha matatizo ya ndugu zako? Nlishakuambiaga mi najua kuoa tu, sijui kutoa talaka.
Smiles
- Ni so loving and caring
- Crazy in a naive and sweet way.
- Still growing up (undecided in such matters)
- Unapesa ya kutosha? sio mtoto wa kuweza himili shida
- Are you good in the suck? (If no usijisumbue) lol
- Ni under ground mod na secretary wa Invisible.
Kwa sasa hizo zitakufaa..... Nakuonea huruma umemuopa Cantalisia.... She is almost perfect! lol