Hali ya wanachuo mtaani

Hali ya wanachuo mtaani

Well, lakini pia mfumo wa kujiajiri nao haupo favourable kabisa, ili ujiajiri bongo kisha uje kutoboa ie. Business lazima uwe na mtaji mkubwa at least from 3M, niambie kijana alietoka chuo anapata wapi hiyo pesa, pesa chini ya hapo kutoboa ni ngumu sana, lakini pia tukumbuke hizi kazi za kujiajiri hazijawahi kumtoa mtu, huwa tunajipa moyo pambana ila kiuhalisia mafanikio yake mara nyingi ni hela ya kula na kulipa kodi ndio inayopatikana,
Mimi ni mhanga nimemaliza chuo mwaka jana sijui nini kitakachotokea huko mbele japokua kurudi nyumbani nimekaza japo maisha bado yanagonga kwenye mshono
Mjifunze kuwa street smart maana mtaani nadhani unajionea hali ilivyo.
 
Tatizo vijana wa ckuiz Ni wavivu kupitiliza,Yaani kijana akishahitimu elimu ya chuo utamuona akizunguka maofisini na bahasha kutafuta white collar jobs ambazo Ni ngumu kupatikana.

Vijana wanatakiwa wajiongeze wajifunze kazi za mikono ambazo zitawawezesha kujiajiri.
In general vijana wengi wa Tanzania ni wavivu. Huwezi compare na mkenya au mnigeria ambaye anakuja bongo hapa hana ndugu au jamaa na ndani ya mwaka ana maisha kuliko vijana ambao wamekulia hapa hapa bongo miaka yote.
 
wengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.

Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,

Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8

Namuangalia nasemaa hiiii,
Kuna maana hauwezi ajiriwa?
 
Elimu si tiketi ya kukimbia blue collar jobs. Ni inakuwezesha uzifanye kifanisi na kwa akili zaidi. Big up wasomi wote wasioona aibu kupika vitumbua, kufanya mama ntilie, kuwa chinga, kulima nk.
 
Kuna dada mmoja alikuwa pini sana chuoni..kamaliza mwaka jana..nilimfukuzia sana lkn wapi alikuwa anaweka ngumu sana( nadhani alikuwa na mshkaji wake) sasa mwaka huu nipo kwenye mishemishe zangu si nikakutana nae sehemu anauza vitumbua...ameisha...ule uzur wake umepungua haswaaaaa...yani alishtuka kuniona akawa anavunga tu...nikamuungisha nikasepa zangu

Sikutaka kufanya lolote kwan nilijua tu huyu safar hii hachomoi..na zigo lote litaniangukia mm(gharama za kumtunza)
Mtengeneze upya atakushukuru
 
wengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.

Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,

Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8

Namuangalia nasemaa hiiii,
kufurahishwaa km sio kushangazwaa

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Well, lakini pia mfumo wa kujiajiri nao haupo favourable kabisa, ili ujiajiri bongo kisha uje kutoboa ie. Business lazima uwe na mtaji mkubwa at least from 3M, niambie kijana alietoka chuo anapata wapi hiyo pesa, pesa chini ya hapo kutoboa ni ngumu sana, lakini pia tukumbuke hizi kazi za kujiajiri hazijawahi kumtoa mtu, huwa tunajipa moyo pambana ila kiuhalisia mafanikio yake mara nyingi ni hela ya kula na kulipa kodi ndio inayopatikana,
Mimi ni mhanga nimemaliza chuo mwaka jana sijui nini kitakachotokea huko mbele japokua kurudi nyumbani nimekaza japo maisha bado yanagonga kwenye mshono
Kujiajiri ndo kunawatoa watu, ila inatakiwa juhudi na uthubutu, ukiajiriwa mishahara ipo caped , unless uwe mwizi kazini ndo unaweza kupata maendekeo chap chap.
 
Mpuuzi wenu huyo Magufuli ndio aliyesababisha hii hali ,mbona enzi za Kikwete ajira zilikuwa zinamimimnika kwa wasomi kuanzia sekta binafsi mpaka serikali ,Magufuli mpumbav aliua sekta binafsi na kuidumaza kwa sera zake na bado akazuia serikali kuajiri kwa zaidi ya miaka mitano ,
 
Back
Top Bottom