Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,383
- 7,969
Hujui kama mwanamke anamajukumu mengine ya kuzaa na kuleaHuyu mwanamke ana Entrepreneur mind set within a year ame face reality nakujua kuna maisha mengine kabisa baada ya kumalizia UN na kuhakikishia brother huyu mwanamke mpe muda mfupi utakuja kushangaa anakuwa na restaurant ya maana kama hato kataa tamaa.
Kosa ulilo fanya ni moja tu ungempa hope na kumwambia umashagua kitu cha kufanya kilicho sahihi kuliko kusubiri ajira.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app