Hali ya wanachuo mtaani

Hali ya wanachuo mtaani

Tatizo vijana wa ckuiz Ni wavivu kupitiliza,Yaani kijana akishahitimu elimu ya chuo utamuona akizunguka maofisini na bahasha kutafuta white collar jobs ambazo Ni ngumu kupatikana.

Vijana wanatakiwa wajiongeze wajifunze kazi za mikono ambazo zitawawezesha kujiajiri.
Ndo maana nikimaliza gamba langu hili, nataka miende hotel management n tourism, nikitoka hapo niwe mpishi au muongoza watalii.

kunalipaa aseee.
 
Majobless tumebaki kubet tu balaaa
Mimi madogo wa chuo nawaambiaga hakikisha kabla ujamaliza boom la mwsho ununue viwalo vya kutosha
Depo la mtaani huku utavaa boksa inaisha hadi inabaki na kamba kama nanga
Serikali iangalie kama inashindwa kuaccomodate graduates basi waombe mazingira vijana wakajarbu ng'ambo
ila kweli wanachuo wakiwa mtaani wanakuwa aje sijui. Uwiiiiih
 
😅😂 mnalia ajira ngumu na ID zenu fake wakat kilasiku humu JF mnajifanya mna maisha mazuri mnatutukana wafanyakaz.... Mnasema mna maisha mazuri mnamiliki nyumba na magari 😅😂 vijana wa bongo hopeless kabisa ndio maana mnashindwa kusaidika...
Ok sawa jiingizeni ktk Bodaboda maana huwa mnasema bodaboda ana pesa nyingi kuliko mtumish wa umma 😅😂
 
Petroleum ilikua ni faculty ya kisiasa?? How?
Baada ya ugunduzi wa gesi, wachina waliojenga Bomba wakatoa scholarships za watu kusomea Petroleum and related fields, watu wakahamasishwa, serikali ikachukua the best kusomea hiyo course.

Wakasoma, walipomaliza Utawala ukabadilika, ukasitisha uwekezaji wote
Petrobas, Stateoil waliokuwa wakifanya utafit deep sea wakaahirisha utafiti na kurudi kwao maana mazingira ya uwekezaji yalikuwa hayako upande wao.

Halliburton walikuwa na Ofisi zao karibu na India CC nao wakaondoa.

Ukijaribu ona, ni siasa ndo chanzo cha yote kutokea
 
Uzoefu unapata Kwa kufanya vibarua..
Hao civil engineers hawataki kufanya vibarua
Kuna watu wamekuwa wasuka nondo wakutegemewa ila hawajawahi enda veta wala wapi, ila haumchengi kwenye kusuka nondo, muda mwingine wanawakosoa hadi structural eng,
Wengi wamejifunza kwa kuangalia, kutumwa, kufanya.

Mtu akishakuwa na degree yake hawezi fanya.

NB:Binafsi huwa nafanya kazi yoyote ile sababu, unaowaonea aibu ukiugua watakucheka
 
Kuna dada mmoja alikuwa pini sana chuoni..kamaliza mwaka jana..nilimfukuzia sana lkn wapi alikuwa anaweka ngumu sana( nadhani alikuwa na mshkaji wake) sasa mwaka huu nipo kwenye mishemishe zangu si nikakutana nae sehemu anauza vitumbua...ameisha...ule uzur wake umepungua haswaaaaa...yani alishtuka kuniona akawa anavunga tu...nikamuungisha nikasepa zangu

Sikutaka kufanya lolote kwan nilijua tu huyu safar hii hachomoi..na zigo lote litaniangukia mm(gharama za kumtunza)
Hahaaaaa we kijana...
 
ila serikali inacho wafanyia graduates, bas tyuuh kwa kweli.
Serikali imefanya kinachotakiwa, imejenga vyuo, imekopesha watanzania wasome, Suala la ajira sio la Serikali ni la akili ya mtu, wapumbavu wataendelea kusubiri ajira, wale waliokuwa wajinga wakaelimika kwa msaada wa Serikali tupo nao mtaani wanasongesha maisha.
 
Ndo maana nikimaliza gamba langu hili, nataka miende hotel management n tourism, nikitoka hapo niwe mpishi au muongoza watalii.

kunalipaa aseee.
Indeed you have a very awesome target, I reckon this gameplan of your's will see you through financial constraints out there.
All the best.
Ndo maana nikimaliza gamba langu hili, nataka miende hotel management n tourism, nikitoka hapo niwe mpishi au muongoza watalii.

kunalipaa aseee.
 
Baada ya ugunduzi wa gesi, wachina waliojenga Bomba wakatoa scholarships za watu kusomea Petroleum and related fields, watu wakahamasishwa, serikali ikachukua the best kusomea hiyo course.

Wakasoma, walipomaliza Utawala ukabadilika, ukasitisha uwekezaji wote
Petrobas, Stateoil waliokuwa wakifanya utafit deep sea wakaahirisha utafiti na kurudi kwao maana mazingira ya uwekezaji yalikuwa hayako upande wao.

Halliburton walikuwa na Ofisi zao karibu na India CC nao wakaondoa.

Ukijaribu ona, ni siasa ndo chanzo cha yote kutokea
Kheeeeh makubwaaa haya, duuh sasa kwann inaendelea kuwepo. Bas ifutwee tyuuh.
 
Wanaosoma wana ndoto labda mradi wa LNG utawaokoa, vinginevyo waombe kazi Oilcom, Lakeoil, WorldOil, Camel etc
Huko kwenyewe kupata ni connection, huyu jamaa nlishawahi kukaa nae kuzungumza, aliomba Oil com na Lake oil kule kule home, cha ajabu alikataliwa katuuuu.

Yaan hadi namuonea huruma kwa kweli, kaamua achukue bajaji na kuwa afisa usafirishaji.
 
Huko kwenyewe kupata ni connection, huyu jamaa nlishawahi kukaa nae kuzungumza, aliomba Oil com na Lake oil kule kule home, cha ajabu alikataliwa katuuuu.

Yaan hadi namuonea huruma kwa kweli, kaamua achukue bajaji na kuwa afisa usafirishaji.
Kama sio mwenzao hupewi unaeza hujumu kampuni
 
Back
Top Bottom